Makonda ajihakikishia Ukuu wa Mkoa

Makonda ajihakikishia Ukuu wa Mkoa

Mtakuwa watumwa wa watu hadi lini?
Kutwa kujikomba japo jk anawaombea nafasi kwa watawala,
Ok nenda kwake ukamfulie basi akukumbuke na wewe mjaza server....shame upon uuuu
Roho iskuuume sana mkuu hizi ni siasa tu,,,, upepo ukivuma kwa kubenea na wewe utafurahi tu...
 
Makonda Wewe, na nahisi Kuwa Unaweza Kuwa wewe ndiwe mwandishi wa Uzi huu, Wewe Kwangu ni Mwanasiasa Mchafu, Kibaraka Mchumia tumbo, anayejipendekeza. Nilisema wewe ni Kama Kunguni na Hakuna Tofauti yoyote wakati ule na leo. Kunguni akitaka damu, Atakunywa ya Mtu yeyote, Mtu mzima, Kichanga, hata ya Mwenye Ukimwi atakunywa Majuto baadaye. Ndivyo walivyo wanasiasa wachafu aina ya Makonda. 1) Wanajikweza, 2) Wanavuka madaraka yao(go out of their mandate) 3) Wanajitangaza Kwa Kila walifanyalo liwe dogo, kubwa, la Upuuzi, watajitangaza. 4) Wako tayari Kutumika na wengine (Ukibaraka) 5) Wanapenda sana Kuchafua wengine. 6) Wanapenda sana Kutumia Kila wawezalo Kukandamiza au kuwekea Kauzibe wengine. 7) Ni washirikina 8) Lolote walifanyalo, hata ikiwa ni kwa jamii end result in Kujipromote wao. 9) Kamwe, Asilani, hawafanyi chochote bila faida yao kisiasa. 10) Kwa Kukosa Lugha nzuri, Wanajifanya sanaaa, Wanajitia sanaaa. Ndio Maana Kwa Lugha Moja Nawaita KUNGUNI, Kuokoa wino wangu na Muda wenu! Kama Huyu sii Makonda Niambieni!

1.JPG
Mpuuzi anazunguka na Askari kila aendako, Utadhani Mkuu wa Nchi, Kumbe Ni Kimkuu cha Wilaya Kinachojikweza. Hii Ndio Kuchapa Kazi au Kujiuza? please hivi Africa tumeingiwa na "Mdudu gani"
Nakuona ulivyofura. . .,,, lakini ndio hivyo huwezi kuzuia kwamba makonda amekuzidi,,
 
Kijana anaona kazi pasipo na kazi...
Amewaonyesha wakuu wenzake wa wilaya kuwa kuwa mkuu wa wilaya si symbol tu...
Kuna kazi nyingi za kufanya ukiwa mbunifu...
Huyu kijana alinivutia from day one...
Nafurai Magu kamuona pia
 
Niwape Kahistoria, Kidogo, Miaka ya Nyuma, 1995, Kuna RPC wa Kilimanjaro aliyekuwa akiitwa Omari Mahita Huyu alihusika sana Kuwapiga Mabomu hasa NCCR Mageuzi, Nusu awatoe Ubongo akina Mrema na Akina Masumbuko Lamwai. Aliposhinda tu Mkapa akampandisha Cheo na Kumfanya Mkuu wa Polisi IGP. Nchi nzima.

Makonda ametumiwa sana Na CCM Kiuzandiki, a) Kumtukana Lowassa na Kunzulia, b) Kumfanyia Fujo Warioba c) Kumfanyia Ubabe Saed Kubenea ambaye CCM Walikuwa na Bifu naye Muda Mrefu. d) Bila Kusahau kuhusika kwa sakata la Kudandia Ugomvi wa Gwajima na Pengo, Haya Ndiyo hasa yanayomfanya Magufuli Kuahidi Kumpa Cheo Makonda. Huu Ni Mkakati wa CCM, Na Kama wanataka Kumpa Ukuu wa Mkoa watampa Ukuu wa Mkoa wa Dar es salaam ili wamtumie Kuvuruga Utawala wa Jiji Ulio chini ya UKAWA.

Hii hasa Ndio Kiini cha Kupewa sifa na Mkuu.

Kwenye Mkutano wa CCM Naweza Kuhisi Uliimbwa Wimbo huu!

(Magufuli) Tumtume Nani
(Kikwete) Mtume Makonda, Mtume Bwana
(Magufuli) Tumtume Nani
(CCM) Mtumeni Makonda Mtume Bwana,
Atakwenda Kuvuruga Madiwani wa Ukawa,
Atakwenda Kutukana Wabunge wa Ukawa,
Atakwenda Kutumia Rungu La Kidola
Mtume Makonda Mtume Bwana

Atakwenda Finyafinya Wadau wa Ukawa
Atakwenda Tisha tisha Madiwani wote
Amekuwa ni yu tayari kusema lolote
Amekuwa Ni Jasiri kutusi yeyote
Mtume Makonda Mtume Bwana.

Tumikia wananchi wako wa ubungo acha kulialia
 
Roho iskuuume sana mkuu hizi ni siasa tu,,,, upepo ukivuma kwa kubenea na wewe utafurahi tu...
Mkuu siasa niliacha baada ya kupiga kura tar 25/10/2015, hutaona wala kusikia nikijipendekeza kwa lowasa, mbowe wala kubennn wako, wanasiasi wasio watu wakusifiwa wala kuaminiwa ndio maana sijikombi kwao. Najua kuwa mtz sawa na mtoto yatima au aliyetelekezwa maana hakuna anayetujali wala kutupenda, wakifanya jema moja ni danganya toto ili wafanikishealengo yao na ndo kiombeo cha kura...haya wew endelea na makonda wako,,bye
 
Nakuona ulivyofura. . .,,, lakini ndio hivyo huwezi kuzuia kwamba makonda amekuzidi,,

Makonda hata angekuwa Nani, Kwangu Mimi he is still insignificant na watu wa aina yake huwa wanjimaliza wenyewe no matter how high they get, Nguruwe hujikaanga kwa Mafuta yake! "there is no shortcut for real success". And by the Way Mimi sio Mbunge wa Jimbo Lolote Tanzania. Nashangaa watu mnaosema Makonda amenizidi. In short Wakuu wa Wilaya, Mikoa etc. Wako Kwenye Mhimili wa Serikali, Hawana Ukubwa wala Mammlaka Yeyote Juu ya Wabunge ambao Ni Mhimili Mwingine. Mbunge anauwezo wa Kumhoji Mkuu wa Mkoa au Waziri chini ya Kiapo, Na akikataa Ushirikiano. Kama Mbunge Ni mkuu wa Kamati fulani anauwezo wa Kumweka Mkuu wa Mkoa Yeyote, au Wilaya Jela!
 
mkuu....
nikweli Makonda alikua akikosolewa kwa mambo kadhaa au kashfa ambazo zikimsibu, lakini kuna jambo ambalo limejificha sana kuhusiana na sakata la makonda kumpiga mzee Warioba, na kumbuka media nyingi zilinasa picha wakati makonda akimvuta mzee Sinde kwaajili ya kumuondoa katika eneo la tukio.
Now........
Kwakua waTz wengi tunakua ahatuna namna ya kupata ukweli wa kuhusu ahabari nyingi au matukio kadhaa, hii hutupelekea kuamini kile kinachokua kimeandikwa kwa mara ya kwanza.
Hili jambo Makonda amewahi kulizungumzia marakadhaa akihojiwa kuhusu tukio la kumpiga Mzee Warioba, pengine kwakua wengi wetu tumekua watu wa kujadili mambo kwa mihemko kutokana na habari za kwanza.
Pipi Warioba hazungumzii suala hili na hana TATIZO na Makonda.
Hakuna mwanafamilia ya Warioba anayezungumzia suala hili.
Warioba hana tatizo na Makonda.Ni kwanini mnakomalia suala hili kwa MASLAHI yenu ya kisiasa wakati hata Warioba mwenyewe hamkubalini nae ni mwanaCCM????????????????
 
Wakuu wa wilaya wengine waige mfano wa Makonda, pengine wanaweza kuambulia.
Unanistaajabisha ...tangu tumbani unaoengea..teh teh...arrogance for nothing!...kweli wewe ni low profiled person..very very raw...au primitive kwa maneno mengine!
 
Pipi Warioba hazungumzii suala hili na hana TATIZO na Makonda.
Hakuna mwanafamilia ya Warioba anayezungumzia suala hili.
Warioba hana tatizo na Makonda.Ni kwanini mnakomalia suala hili kwa MASLAHI yenu ya kisiasa wakati hata Warioba mwenyewe hamkubalini nae ni mwanaCCM????????????????
Huu ni ugonjwa mkubwa sana humu jf.
Kimsingi sivyema na haulazimishwi kuchangia mada au ku quote mada ikiwa haujaisoma na kuimaliza.
 
Huu ni ugonjwa mkubwa sana humu jf.
Kimsingi sivyema na haulazimishwi kuchangia mada au ku quote mada ikiwa haujaisoma na kuimaliza.
Kazungushe kwanza MIKONO,ULE NA BANGE NA VIROBA kwanza
 
ifike pahala vijana wampe ushirikiano kijana mwenzao ili kujenga imani kwa viongozi wetu kwamba vijana wanaweza.
cha kushangaza wapo vijana kila siku wanapiga kelele vijana wapewe nafas lkn kijana kachaguliwa wao wanaanza kuponda.
tuwe waungwana jameni
 
Makondakta hamna kitu, mtu wa kujipendekeza na kupenda media attention, tupa kule.
 
Alizionyesha Tokea Akiwa University Hivyo Tunaomjua Hatushangai Na Labda Tu Kwa Jitihada Ambazo Amekuwa Akizifanya Hasa Katika Wilaya Niishiyo Ya KINONDONI Tungeshangaa Kama Mheshimiwa Rais Dr. MAGUFULI Asingempandisha Cheo. Paul Makonda Ni MTENDAJI KIJANA ALIYETUKUKA Na Pengine It's High Time We Youths Especially To Emulate Him In Our Managerial And Leadership Positions. Nifah, Mussolin5 Na UncleBen Mpo?
makonda huyu au ?? Nooo way !!!
 
Back
Top Bottom