Makonda ajihakikishia Ukuu wa Mkoa

Makonda ajihakikishia Ukuu wa Mkoa

MKUU MPYA WA MKOA WA DSM AJAE MAKONDAKTA! KUMBE KUMPIGA WAZIRI MKUU MSTAAF, NA KUMKASHIFU MH LOWASSA HAPO NDO KAZI YAKE ILIPOONEKANA! CCM NI WAPUUZI MNO! Mmptuuuuu!!!
 
Alizionyesha Tokea Akiwa University Hivyo Tunaomjua Hatushangai Na Labda Tu Kwa Jitihada Ambazo Amekuwa Akizifanya Hasa Katika Wilaya Niishiyo Ya KINONDONI Tungeshangaa Kama Mheshimiwa Rais Dr. MAGUFULI Asingempandisha Cheo. Paul Makonda Ni MTENDAJI KIJANA ALIYETUKUKA Na Pengine It's High Time We Youths Especially To Emulate Him In Our Managerial And Leadership Positions. Nifah, Mussolin5 Na UncleBen Mpo?
Sina tatizo na hilo Mkuu ,ila awe na adabu asitupigie wazee wetu vibao tena ,Amfuate Mwigulu amfundishe alitumia njia gani kujirudi ,Mwigulu sasa namwona ni mtu wa kutumainiwa tofauti na zamani
 
Sidhani kama Kubenea anaweza kuugua sababu ya makonda,kwasababu yeye kachaguliwa na wananchi wakati Makonda anapewa viti maalum.

Na Labda Inawezeana Shule Yako Ni Ndogo Hivyo Huelewi Mambo Ila Tumeshakusamehe. Ni Kwamba Popote Pale Duniani Kiuongozi Mtu Anayeteuliwa Na Rais ( Executive ) Kushika Nafasi Yoyote Kwa Mfano Hapa Kwetu Nchini Tanzania Hasa Ya DC au RC au AMBASSADOR Huwa Ana HADHI Kubwa Na Ya Juu Kuliko Hata Mbunge. Na Kwa Kumalizia Tu Ili Nidhihirishe UPOPOMA Wako Ni Kwamba Nakuachia Swali Ambalo Nataka Unijibu Haraka Upesi Sana Kwamba Mkuu Wa Wilaya Nzima Na Mbunge Wa Jimbo Lililopo Ndani Ya Hiyo Wilaya Nani Ni Mkubwa? Sometimes Muwe Mnaficha Udhaifu Wenu Wa KUFIKIRI.
 
Hongera Makonda. Nyota yako imewaka. Mh Raisi kakuona... Sasa usiende kulala.

Nadhani leo Mbunge wa Ubungo (Mh Kubenea) ataugua homa...
no logic kubenea anamjua makonda kuliko unavyodhani ni sawa na kupiga ngumi ukutani ............subiria nani ataugua homa kati ya makonda na kubenea .
 
Huku analiponda gazeti linalokosoa serikali(mwanahalisi?)
Huku anamwagia sifa adui ya mmiliki wa gazeti hilo nakutaka kumpandisha cheo
very shallow vendetta strategy
 
Mtamuelewa tu Mh Rais muda ukifika. Tanzania mpya haiko mbali. Tutaheshimu Serikali na Watanzania kwa ujumla.....na hapa siongelei wenye URAIA wa kupewa na kununua na wanaomiliki passport tatu tatu.
Kuna Jambo niliwahi kuongelea siku za nyuma kuhusu hawa jamaa (Wahindi na Warabu) wasivyoheshimu sheria na taratibu za nchi yetu...nikasema SISI WATANZANIA ASILIA HATUNA SEHEMU YA KWENDA HAPA PAKIHARIBIKA. Na Leo Mh Rais amesema Yale Yale . Tuwe wazalendo ndugu zangu. Nchi yetu sio maskini Kama tunavyoamini. Kuna watu wachache wametufikisha hapa, kwa kutugawanya Kiitikadi,Kidini na UKANDA ili watutawale vizuri.
Unadhani watanzania sio wazalendo? Tatizo nihao watawala wanawatangazia watu NCHI maskini lkn wao na watoto wao wanajificha kwenye Magari ya 500ml then unaniambia niwe mzalendo HAIWEZEKANI?,,,ingawa bado mapema lkn MAGUFULI anaonekana anamaanisha akifanya namna hii kwa Vitendo hakuna MTU atakaehamasishwa Kuwa mzalendo MTU mwenyewe anaguswa....tu...
 
Mawazo mazuri sana haya hakika lakini uongozi wewe hapa ni Tanzania na wewe ni Mnyarwanda tutakuaminije? Maana ukiwa humu huwa hauishi kutoa sifa kedekede kwa wanyarwanda na nyinyi ndio mnaoivuruga eastern Congo tutakuaminije kuwa hautatuhujumu ...kwa la Makonda nakuunga mkono lakini la wewe nawe kufikiriwa kupewa uongozi aisee HAPANA KAONGOZE KIGALI
Alizionyesha Tokea Akiwa University Hivyo Tunaomjua Hatushangai Na Labda Tu Kwa Jitihada Ambazo Amekuwa Akizifanya Hasa Katika Wilaya Niishiyo Ya KINONDONI Tungeshangaa Kama Mheshimiwa Rais Dr. MAGUFULI Asingempandisha Cheo. Paul Makonda Ni MTENDAJI KIJANA ALIYETUKUKA Na Pengine It's High Time We Youths Especially To Emulate Him In Our Managerial And Leadership Positions. Nifah, Mussolin5 Na UncleBen Mpo?
 
Jamani hizi sifa mbona msizitoe kabla rais hajasema tuache unafki

Tulikuwa Tunasubiria Kwanza Protokali Mkuu. Sisi Wana CCM Tunaheshimu Sana Taratibu Muhimu Za Kiprotokali Na Huwa Hatukurupuki Kama Wale Wanywa Viroba Na Vibaka Ambao Huwezi Kujua Sasa Nani Ni Mwenyekiti Na Mgombea Urais Kwani Kila Mtu Anakurupuka Tu Kuongea Na Kuitisha Press Conference. CCM Tunajitambua Hivyo Sasa Baada Ya Mkuu Wetu Wa Nchi Kutambua UTENDAJI KAZI WA KUTUKUKA Wa Mkuu Wa Wilaya Paul Makonda Sasa Sisi Wafuasi Tunafuata Kutiririsha Pongezi Na Sifa Zetu Kwake.
 
Mtamuelewa tu Mh Rais muda ukifika. Tanzania mpya haiko mbali. Tutaheshimu Serikali na Watanzania kwa ujumla.....na hapa siongelei wenye URAIA wa kupewa na kununua na wanaomiliki passport tatu tatu.
Kuna Jambo niliwahi kuongelea siku za nyuma kuhusu hawa jamaa (Wahindi na Warabu) wasivyoheshimu sheria na taratibu za nchi yetu...nikasema SISI WATANZANIA ASILIA HATUNA SEHEMU YA KWENDA HAPA PAKIHARIBIKA. Na Leo Mh Rais amesema Yale Yale . Tuwe wazalendo ndugu zangu. Nchi yetu sio maskini Kama tunavyoamini. Kuna watu wachache wametufikisha hapa, kwa kutugawanya Kiitikadi,Kidini na UKANDA ili watutawale vizuri.

Acha Uongo na Unafiki! Huwezi kukemea Ubaguzi huku sasa mwenyewe unabagua watu kwa Rangi ya Ngozi zao!
Ubaguzi na kejeli za kidini,kikabila na hata kiitikadi zimejaa sana hata humu JF zinaletwa na wahindi na waarabu? Tatizo letu kubwa ni kusingizia Watu kwa matatizo yanayosababishwa na Mikono yetu. Wizi na Ufisadi na ubadhirifu kuanzia Maofisini mpaka mitaani tunafanya sisi wenyewe na ikitokea kuna Mwarabu muhindi au Mzungu basi pia kuna Mkono wa Mswahili mwenzetu.
 
Back
Top Bottom