Makonda ajihakikishia Ukuu wa Mkoa

Makonda ajihakikishia Ukuu wa Mkoa

MKUU MPYA WA MKOA WA DSM AJAE MAKONDAKTA! KUMBE KUMPIGA WAZIRI MKUU MSTAAF, NA KUMKASHIFU MH LOWASSA HAPO NDO KAZI YAKE ILIPOONEKANA! CCM NI WAPUUZI MNO! Mmptuuuuu!!!
Waajiriwako pale Ufipa washaacha siasa za majitaka....we bado unaendeleza tu wakati hamjalipwa mishahara toka november 2015.
 
Sidhani kama Kubenea anaweza kuugua sababu ya makonda,kwasababu yeye kachaguliwa na wananchi wakati Makonda anapewa viti maalum.


You are so naive. Pole. Ubungo walileweshwa pombe inaitwa 'Lowassa' vinginevyo wasingechagua kilaza. Walikuwa provoked!
 
Makonda ateuliwe ubunge .apewe uwaziri.Kuna mawaziri wameanza kuchemsha..achukue nafasi zao.
 
Kama kawaida yao; ukawa hua wanazua vioja na sio hoja.
 
Leo makonda anakesha baa.. Sio kwa sifa hiziii...
Hard work pays
 
MKUU MPYA WA MKOA WA DSM AJAE MAKONDAKTA! KUMBE KUMPIGA WAZIRI MKUU MSTAAF, NA KUMKASHIFU MH LOWASSA HAPO NDO KAZI YAKE ILIPOONEKANA! CCM NI WAPUUZI MNO! Mmptuuuuu!!!
Ukawa mmebaki kulia lia tu,mara kamfunga viatu kikwete,kazi yake kama mkuu wa wilaya imeonekana,tuwape moyo vijana kama hawa
 
MKUU MPYA WA MKOA WA DSM AJAE MAKONDAKTA! KUMBE KUMPIGA WAZIRI MKUU MSTAAF, NA KUMKASHIFU MH LOWASSA HAPO NDO KAZI YAKE ILIPOONEKANA! CCM NI WAPUUZI MNO! Mmptuuuuu!!!
Hii issue ya makonda kumpiga waziri mkuu mstaafu, kiukweli ilikuzwa na media zetu hizi.
Lakini nimewahi kushuhudia Makonda alipo hojiwa kuhusika na tukio hili la kumpiga Mzee Sinde, Dahh...... kwanza Makonda alionyesha kusikitika kwake na tukio lile la kumpiga mzee, kumbe badala yake alikua akimsaidia kuuondoa mzee katika tukio lile ili asipate kuumizwa
 
Kijana nyota yake inazidi kung'aa
Mkuu....
Naamini kijana anang'arishwa na juhudi zake binafsi, pamoja na kukitendea haki kiti alicho pewa akalie kabla hakija mponyoka
 
Na Labda Inawezeana Shule Yako Ni Ndogo Hivyo Huelewi Mambo Ila Tumeshakusamehe. Ni Kwamba Popote Pale Duniani Kiuongozi Mtu Anayeteuliwa Na Rais ( Executive ) Kushika Nafasi Yoyote Kwa Mfano Hapa Kwetu Nchini Tanzania Hasa Ya DC au RC au AMBASSADOR Huwa Ana HADHI Kubwa Na Ya Juu Kuliko Hata Mbunge. Na Kwa Kumalizia Tu Ili Nidhihirishe UPOPOMA Wako Ni Kwamba Nakuachia Swali Ambalo Nataka Unijibu Haraka Upesi Sana Kwamba Mkuu Wa Wilaya Nzima Na Mbunge Wa Jimbo Lililopo Ndani Ya Hiyo Wilaya Nani Ni Mkubwa? Sometimes Muwe Mnaficha Udhaifu Wenu Wa KUFIKIRI.
Haaahh!!! Mbona umepanic mkuu, mbona kuna wakuu wa wilaya na mikoa wengi tuu walitoswa kwenye kura za maoni wakapozwa na vyeo vya kupewa, inawezekana kweli labda makonda ni mchapakazi lakini hii haiwezi kumnyima usingizi Kubenea.
 
Kweli kabisa,naona Rais kampaishaaaa alianza kwa kumsifia kwamba ukipanda cheo wasije kukushangaa.Akapigilia msumari kuwa Makonda ameshajihakikishia haina mjadala.
Tushawazoea viongozi wa ccm,hivyo siyo ajabu
 
Back
Top Bottom