Makonda aivua nguo CCM na Serikali?

Makonda aivua nguo CCM na Serikali?

Kachambua sawasawa. Tatizo halitatuliwi na mtu. Tatizo linatatuliwa na taasisi imara zenye raslimali fedha watu na zenye weledi na maadili yanayotakiwa. Vituo hivyo kulitafutia ufumbuzi tatizo hilo. Vizingatie sifa zinazohitajika kuzifanikisha.
Wewe unaona nchi ina taasisi yoyote imara? Taasisi kubwa kuliko zote nchi hii imelega na haina maana yoyote.
 
s.Ziara ya Mwenezi na style yake ni aibu na inaivua nguo serekali.Mtendaji kijiji,Kata,DC,RC,wizara husika,wote wapo,wananchi hawawaamini hadi aje Mwenezi?.Je Mwenezi ni njia sahihi ya kutatua?.Mwanasheria mkuu kaona negative yake![emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ikibid mahakama ziwe znahukum wanasiasa tu kesi za wananchi tuwape machifu
Hili pia ni wazo Ila wanasiasa na mahakama ni wale wale maana hao majaji na mahakimu na wanasheria anaewaweka na kuwalipa mishahara ni huyo huyo mwanasiasa kwa hio hapo Ngoma draw
 
s.Ziara ya Mwenezi na style yake ni aibu na inaivua nguo serekali.Mtendaji kijiji,Kata,DC,RC,wizara husika,wote wapo,wananchi hawawaamini hadi aje Mwenezi?.Je Mwenezi ni njia sahihi ya kutatua?.Mwanasheria mkuu kaona negative yake![emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
Akiona hivyo ajue mahakamani kumejaa Mende na Kunguni akaanze huko kufanya usafi sio anakurupuka tu tena abebe kabisa na Dawa za kuulia wadudu
 
Kondacta anasaidia kuonesha mapungufu ktk utendaj wa maeneo tofaut ni jambo zuri
 
Huyo mwanasheria naye vipi, maahakamani yanapelekwa mashauri yanayohitaji mambo ya madai nk. Sasa huyu mwananchi anahitaji pembejeo hazijafika kwa wakati, mradi wa maji umejengwa haujaanza kazi, hakuna dawa kwenye zahanati, barabara mbovu nk aende mahakamani naye hiyo mahakama kesi zilizopo tu hawajamaliza anataka na haya?

Kama anataka na yeye afuatwe si apite na yeye barabarani au aende magerezani akasikilize wenye shida!!
wewe naona aidha huna akili au haujui chanzo cha hii mada. wananchi wameenda kwenye mkutano wa makonda wakilalamikia mambo yanayohusiana na kesi zinazoendelea mahakamani, zilizocheleweshwa au wengine wanafikiri mwanasiasa angewasaidia mambo ya kimahakama badala ya kwenda Mahakamani kulekule. hiki ndicho kinachojadiliwa hapa na ndicho alichomaanisha.
 
View attachment 2890894
Mwanasheria mkuu Elieza Feleshi ameshangaa wananchi kumpelekea Makonda mamalamiko wakati jamaa hayupo kwenye mfumo wa nchi na hana mamlaka ya kuyatatua badala yake ni mahakama.

This is what I was saying.Ziara ya Mwenezi na style yake ni aibu na inaivua nguo serekali.Mtendaji kijiji,Kata,DC,RC,wizara husika,wote wapo,wananchi hawawaamini hadi aje Mwenezi?.Je Mwenezi ni njia sahihi ya kutatua?.Mwanasheria mkuu kaona negative yake!

Jaji Mugasha, Mahakama Ya Rufaa alipinga kuongezewa muda kwa Jaji aliyepo sasa hiv. Wananchi wameuchoka na hawataki mfumo wa Mahakama wa sasa, kama wapinzani wameuchoka mfumo na hawauamini hasa kwa kesi zote wanazopeleka kuamuiwa kisiasa, je vipi kwa wananchi wa CCM kuupinga?
Kunatatizo katika mnyororo wa kimahakama na kisheria, iweje wananchi wajisikie kuwa huru na wawazi zaidi kuhadithi matatizo yao mengine ya kisheria kwa mwenezi OBVIOUSLY KUNA TATIZO MAHALA, WAKATI MWINGINE TUNAPOSIKIA YA KUTUHUSU NI HEKIMA KWENDA MBIO MBIO KUYASHUGHULIKIA,NA HATIMAYE KUYATATUA NA KUMALIZA TATIZO, SIO HEKIMA KUANZA KUWATUHUMU WAPIGA KURA WETU,HUENDA KUNA HAKI ZAO AMBAZO ZINAPINDISHWA KATIKA NGAZI ZA KIMSINGI WA KIMASHAURI.
 
Kama izo taasis hazina maadili hazwez tatua matatizo ndipo apo watu huona makonda ni bomba
Yeye ana maadili yep anayoweza kuyaghani hadharani.......????
Au maana ya maadili (ethics) haieleweki vizuri hapo lumumba?
 
Saa chelewa inapitishwa kwenye kishimo na kupekechwa utakuwa unawajibu polisi hivyo.
Usalama wa nchi hauchezewagi ndio maana kama hujui hata wapinzani wataongea mambo yote ila hata sikumoja hujawai kusikia wanasema flani ni raisi, hata kama hawatambui matokeo ila hawataji flani, sasa wewe na SUKUMA GANG endeleeni.
Mie nilijua hoja kumbe una kinyongo na SUKUMA GENG kiazi mviringo #Makonda piga nyundo wakome
 
wewe naona aidha huna akili au haujui chanzo cha hii mada. wananchi wameenda kwenye mkutano wa makonda wakilalamikia mambo yanayohusiana na kesi zinazoendelea mahakamani, zilizocheleweshwa au wengine wanafikiri mwanasiasa angewasaidia mambo ya kimahakama badala ya kwenda Mahakamani kulekule. hiki ndicho kinachojadiliwa hapa na ndicho alichomaanisha.
Amedandia gari kwa mbele, ni hatari sana.
 
Mwanasheria mkuu Elieza Feleshi ameshangaa wananchi kumpelekea Makonda mamalamiko wakati jamaa hayupo kwenye mfumo wa nchi na hana mamlaka ya kuyatatua badala yake ni mahakama.

This is what I was saying.Ziara ya Mwenezi na style yake ni aibu na inaivua nguo serekali.Mtendaji kijiji,Kata,DC,RC,wizara husika,wote wapo,wananchi hawawaamini hadi aje Mwenezi?.Je Mwenezi ni njia sahihi ya kutatua?.Mwanasheria mkuu kaona negative yake!

Jaji Mugasha, Mahakama Ya Rufaa alipinga kuongezewa muda kwa Jaji aliyepo sasa hiv. Wananchi wameuchoka na hawataki mfumo wa Mahakama wa sasa, kama wapinzani wameuchoka mfumo na hawauamini hasa kwa kesi zote wanazopeleka kuamuiwa kisiasa, je vipi kwa wananchi wa CCM kuupinga?
Weka clip tusikilize wenyewe kwa masikio yetu, acheni kulisha maneno watu hovyo
 
Mwanasheria mkuu Elieza Feleshi ameshangaa wananchi kumpelekea Makonda mamalamiko wakati jamaa hayupo kwenye mfumo wa nchi na hana mamlaka ya kuyatatua badala yake ni mahakama.

This is what I was saying.Ziara ya Mwenezi na style yake ni aibu na inaivua nguo serekali.Mtendaji kijiji,Kata,DC,RC,wizara husika,wote wapo,wananchi hawawaamini hadi aje Mwenezi?.Je Mwenezi ni njia sahihi ya kutatua?.Mwanasheria mkuu kaona negative yake!

Jaji Mugasha, Mahakama Ya Rufaa alipinga kuongezewa muda kwa Jaji aliyepo sasa hiv. Wananchi wameuchoka na hawataki mfumo wa Mahakama wa sasa, kama wapinzani wameuchoka mfumo na hawauamini hasa kwa kesi zote wanazopeleka kuamuiwa kisiasa, je vipi kwa wananchi wa CCM kuupinga?
Watu wataangaika sana na Makonda. Makonda anafanya kazi za watu waliotakiwa kuzifanya wanahangaika na upigaji na wala hawasikilizi kero za wananchi. Sasa yeye katenga muda angalau kuwasikiliza wananchi.
Ukweli ni kwamba hii inamuongezea yeye sifa.

Kuna wakati watu walisema Magufuli anafanya kazi za mawaziri; ilikuwa kweli coz wengine hawakujua wafanye nn.

Ukweli ni kwamba, Makonda hazuiliki.
 
Hizi ziara za Makonda kwangu naona ni nzuri maana inatusaidia kujua aina ya viongozi tulionao.Na kwa kweli tumepata jibu moja murua kwamba kuna ombwe kubwa mno la uongozi.Malalamiko mengi ni kuhusu udhalimu kila mahali.Ni ishara kwamba tumezungukwa na MADHALIMU,WALAFI,WAHUNI,WAZEMBE,WAVIVU,VIBURI kwenye nyanja zote zote za huduma.
Noted
 
Watu wataangaika sana na Makonda. Makonda anafanya kazi za watu waliotakiwa kuzifanya wanahangaika na upigaji na wala hawasikilizi kero za wananchi. Sasa yeye katenga muda angalau kuwasikiliza wananchi.
Ukweli ni kwamba hii inamuongezea yeye sifa.

Kuna wakati watu walisema Magufuli anafanya kazi za mawaziri; ilikuwa kweli coz wengine hawakujua wafanye nn.

Ukweli ni kwamba, Makonda hazuiliki.
Acha awaumbue..
 
Mwanasheria mkuu Elieza Feleshi ameshangaa wananchi kumpelekea Makonda mamalamiko wakati jamaa hayupo kwenye mfumo wa nchi na hana mamlaka ya kuyatatua badala yake ni mahakama.

This is what I was saying.Ziara ya Mwenezi na style yake ni aibu na inaivua nguo serekali.Mtendaji kijiji,Kata,DC,RC,wizara husika,wote wapo,wananchi hawawaamini hadi aje Mwenezi?.Je Mwenezi ni njia sahihi ya kutatua?.Mwanasheria mkuu kaona negative yake!

Jaji Mugasha, Mahakama Ya Rufaa alipinga kuongezewa muda kwa Jaji aliyepo sasa hiv. Wananchi wameuchoka na hawataki mfumo wa Mahakama wa sasa, kama wapinzani wameuchoka mfumo na hawauamini hasa kwa kesi zote wanazopeleka kuamuiwa kisiasa, je vipi kwa wananchi wa CCM kuupinga?

Yani Sasa hivi Makonda ndio kila kitu. Rais , Waziri Mkuu na Jaji Mkuu. Ila hii serikali Ina shida kubwa sana.
 
Mwanasheria mkuu Elieza Feleshi ameshangaa wananchi kumpelekea Makonda mamalamiko wakati jamaa hayupo kwenye mfumo wa nchi na hana mamlaka ya kuyatatua badala yake ni mahakama.

This is what I was saying.Ziara ya Mwenezi na style yake ni aibu na inaivua nguo serekali.Mtendaji kijiji,Kata,DC,RC,wizara husika,wote wapo,wananchi hawawaamini hadi aje Mwenezi?.Je Mwenezi ni njia sahihi ya kutatua?.Mwanasheria mkuu kaona negative yake!

Jaji Mugasha, Mahakama Ya Rufaa alipinga kuongezewa muda kwa Jaji aliyepo sasa hiv. Wananchi wameuchoka na hawataki mfumo wa Mahakama wa sasa, kama wapinzani wameuchoka mfumo na hawauamini hasa kwa kesi zote wanazopeleka kuamuiwa kisiasa, je vipi kwa wananchi wa CCM kuupinga?

Yani Sasa hivi Makonda ndio kila kitu. Rais , Waziri Mkuu na Jaji Mkuu. Ila hii serikali Ina shida kubwa sana
 
Back
Top Bottom