Makonda aivua nguo CCM na Serikali?

Makonda aivua nguo CCM na Serikali?

Wananch hawana uelew wa wapi wapeleke malalamiko yao ivo akitokea ata mtu yyte ana msafara kama makonda na anabwabwaja bas si wajua ukiw na shida unaona utasaidika pengne, sabu kama kiongoz mkubwa wake hamkanyi wananch inabid waone uyu ni msaada
Ila kweli, level ya literacy ipo chini sana.
Wanchi wengine wanapeleka misikitini, wengine wanaloga, wengine kwa mahakama, wengine kesi za kiraia wanapeleka polisi yaani kwa ujumla sisi ni kati ya nchi zisizojielewa kabisa duniani.
 
Mwanasheria mkuu wa serikali ambaye pia kicheo ni Jaji, yaani alikuwa mwanasheria wa SErikali, akateuliwa na Magufuli kuwa Jaji lakini sijui alionekanaje kwenye hiyo nafasi na akarudishwa ofisi ya AG ila kwakuwa alikuwa na cheo ilibidi apewe uanasheria mkuu ambaye ndio Elieza Feleshi ameshangaa wananchi kumpelekea Makonda mamalamiko wakati jamaa hayupo kwenye mfumo wa nchi na hana mamlaka ya kuyatatua badala yake ni mahakama.

This is what I was saying.Ziara ya Mwenezi na style yake ni aibu na inaivua nguo serekali.Mtendaji kijiji,Kata,DC,RC,wizara husika,wote wapo,wananchi hawawaamini hadi aje Mwenezi?.
Je Mwenezi ni njia sahihi ya kutatua?.Mwanasheria mkuu kaona negative yake!

Jaji Mugasha, Mahakama Ya Rufaa alipinga kuongezewa muda kwa Jaji aliyepo sasa hiv. Wananchi wameuchoka na hawataki mfumo wa Mahakama wa sasa, kama wapinzani wameuchoka mfumo na hawauamini hasa kwa kesi zote wanazopeleka kuamuiwa kisiasa, je vipi kwa wananchi wa CCM kuupinga?
Mwanzo alikuwa ni DPP
 
Wananch hawana uelew wa wapi wapeleke malalamiko yao ivo akitokea ata mtu yyte ana msafara kama makonda na anabwabwaja bas si wajua ukiw na shida unaona utasaidika pengne, sabu kama kiongoz mkubwa wake hamkanyi wananch inabid waone uyu ni msaada
Upo sahihi, mfano ukiwa una umwa malaria na Dr hakusaidie akitokea mtu akasema mkojo wa punda ni dawa lazima utakunywa tu sababu huna uelewa, Makonda anachua wananchi wengi ni wajinga na diyo mtaji wake
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Mwanasheria mkuu wa serikali ambaye pia kicheo ni Jaji, yaani alikuwa mwanasheria wa SErikali, akateuliwa na Magufuli kuwa Jaji lakini sijui alionekanaje kwenye hiyo nafasi na akarudishwa ofisi ya AG ila kwakuwa alikuwa na cheo ilibidi apewe uanasheria mkuu ambaye ndio Elieza Feleshi ameshangaa wananchi kumpelekea Makonda mamalamiko wakati jamaa hayupo kwenye mfumo wa nchi na hana mamlaka ya kuyatatua badala yake ni mahakama.

This is what I was saying.Ziara ya Mwenezi na style yake ni aibu na inaivua nguo serekali.Mtendaji kijiji,Kata,DC,RC,wizara husika,wote wapo,wananchi hawawaamini hadi aje Mwenezi?.
Je Mwenezi ni njia sahihi ya kutatua?.Mwanasheria mkuu kaona negative yake!

Jaji Mugasha, Mahakama Ya Rufaa alipinga kuongezewa muda kwa Jaji aliyepo sasa hiv. Wananchi wameuchoka na hawataki mfumo wa Mahakama wa sasa, kama wapinzani wameuchoka mfumo na hawauamini hasa kwa kesi zote wanazopeleka kuamuiwa kisiasa, je vipi kwa wananchi wa CCM kuupinga?
Tulia sindano iwaingie vizuri. Acha kuongea kama mlevi.
 
Saa chelewa inapitishwa kwenye kishimo na kupekechwa utakuwa unawajibu polisi hivyo.
Usalama wa nchi hauchezewagi ndio maana kama hujui hata wapinzani wataongea mambo yote ila hata sikumoja hujawai kusikia wanasema flani ni raisi, hata kama hawatambui matokeo ila hawataji flani, sasa wewe na SUKUMA GANG endeleeni.
Na wewe acha mikwara, hata TFF Kuna Rais.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom