Makonda aivua nguo CCM na Serikali?

Makonda aivua nguo CCM na Serikali?

Kujitutumua tu baadh ya watu cjui iwaje mtu kama uyo akipew uwazir c ndo anakupga risas ata bila kosa kisa waziri
 
Wangekuwa wanawajibika kwa kusikiliza kero za wananchi na kuzitatua kwa haki huko serikali. Wananchi wasingekimbilia kwa Makonda.

Ni uozo uliopo huko ndio unafanya Makonda aonekane hope ya kuwasaidia.
 
View attachment 2890894
Mwanasheria mkuu Elieza Feleshi ameshangaa wananchi kumpelekea Makonda mamalamiko wakati jamaa hayupo kwenye mfumo wa nchi na hana mamlaka ya kuyatatua badala yake ni mahakama.

This is what I was saying.Ziara ya Mwenezi na style yake ni aibu na inaivua nguo serekali.Mtendaji kijiji,Kata,DC,RC,wizara husika,wote wapo,wananchi hawawaamini hadi aje Mwenezi?.Je Mwenezi ni njia sahihi ya kutatua?.Mwanasheria mkuu kaona negative yake!

Jaji Mugasha, Mahakama Ya Rufaa alipinga kuongezewa muda kwa Jaji aliyepo sasa hiv. Wananchi wameuchoka na hawataki mfumo wa Mahakama wa sasa, kama wapinzani wameuchoka mfumo na hawauamini hasa kwa kesi zote wanazopeleka kuamuiwa kisiasa, je vipi kwa wananchi wa CCM kuupinga?
Mahakama zipi? Hizi hizi za ccm?
 
Mahakama Ya Rufaa
Wananchi wanaona mahakamani mizinguo kibao hawapewi haki zao that's why wanaenda kulialia kule kutema nyongo zao kuwasemelea kua pamoja na kwamba wameenda mahakamani Ila mahakama haijawapa MSAADA walioutarajia kuna yule Mama Mchimbaji alieporwa million 19 na polisi ameenda mahakamani mara 4 na kesi yake inarushwarushwa TU haki hapewi na mtuhumiwa yupo mahakimu wapo majaji wapo wanasheria wapo polisi wapo mtu anadhulumiwa sasa what's the hell is mahakama km watu hawapewi haki?
 
Wananchi wanaona mahakamani mizinguo kibao hawapewi haki zao that's why wanaenda kulialia kule kutema nyongo zao kuwasemelea kua pamoja na kwamba wameenda mahakamani Ila mahakama haijawapa MSAADA walioutarajia kuna yule Mama Mchimbaji alieporwa million 19 na polisi ameenda mahakamani mara 4 na kesi yake inarushwarushwa TU haki hapewi na mtuhumiwa yupo mahakimu wapo majaji wapo wanasheria wapo polisi wapo mtu anadhulumiwa sasa what's the hell is mahakama km watu hawapewi haki?
Saaa makonda atamsaidia nini
 
Makonda yupo sahihi kwa 100%
Kwa sababu hiii;

1. Anajua kuwa ccm inamtumia hasa kuivuta kanda ya ziwa ili ccm ivuke salama 2024.

2. Naye Makonda snaitumia ccm kujijenga.

3. Anajua fika hatatui shida za wananchi bali anaigiza.


Concl: ccm na Makonda wote wanatumiana kila mmoja kufikia malengo
Hehehee
 
Hizi ziara za Makonda kwangu naona ni nzuri maana inatusaidia kujua aina ya viongozi tulionao.Na kwa kweli tumepata jibu moja murua kwamba kuna ombwe kubwa mno la uongozi.Malalamiko mengi ni kuhusu udhalimu kila mahali.Ni ishara kwamba tumezungukwa na MADHALIMU,WALAFI,WAHUNI,WAZEMBE,WAVIVU,VIBURI kwenye nyanja zote zote za huduma.
 
Hakuna ambaye hajui kwamba Serikali Imepwaywa...

Hakuna ambaye hajui kwamba Mahakama watu Kesi zao zinapigwa danadana....; Hakuna ambaye hajui Kwamba kinachoendelea ni Maigizo.... Lakini katika Maigizo hayo unadhani huyo mwananchi anamuona nani wa Maana yule aliyepo pale ambaye anampa media outlet ya kusema fulani hajafuatilia hapa au yule aliyepo kule anasema huyu hatakiwi kufanya hivi kwa mujibu wa Sheria ?

Huyo ambaye anasema huyu hatakiwi kufanya hivi angetumia muda wake vizuri kukemea kwamba Taasisi hizi na Serikali hii inapwaya Sio kuongelea habari za serikali kuvuliwa nguo (kwahio ilikuwa imevaa) ? Yaani mambo yalikuwa yanakwenda sawa na hao wananchi hawana Changamoto ?
 
Huyo mwanasheria naye vipi, maahakamani yanapelekwa mashauri yanayohitaji mambo ya madai nk. Sasa huyu mwananchi anahitaji pembejeo hazijafika kwa wakati, mradi wa maji umejengwa haujaanza kazi, hakuna dawa kwenye zahanati, barabara mbovu nk aende mahakamani naye hiyo mahakama kesi zilizopo tu hawajamaliza anataka na haya?

Kama anataka na yeye afuatwe si apite na yeye barabarani au aende magerezani akasikilize wenye shida!!
 
Hizi ziara za Makonda kwangu naona ni nzuri maana inatusaidia kujua aina ya viongozi tulionao.Na kwa kweli tumepata jibu moja murua kwamba kuna ombwe kubwa mno la uongozi.Malalamiko mengi ni kuhusu udhalimu kila mahali.Ni ishara kwamba tumezungukwa na MADHALIMU,WALAFI,WAHUNI,WAZEMBE,WAVIVU,VIBURI kwenye nyanja zote zote za huduma.
Uko sahihi kabisa. Lakini madhara yake yanaenda mbali. Ni kama kumwachia kichaa fanye atakavyo, ataharibu.
 
Wananch hawana uelew wa wapi wapeleke malalamiko yao ivo akitokea ata mtu yyte ana msafara kama makonda na anabwabwaja bas si wajua ukiw na shida unaona utasaidika pengne, sabu kama kiongoz mkubwa wake hamkanyi wananch inabid waone uyu ni msaada
Wananchi hawana uelewa!!
Nikweli
Kumbuka Babu wa Loliondo alivyo somba watu sembuse Makonda
 
Katema nyongo kusema kinachoendelea na Sisi tujue uozo unaofanyika huko, mtu hapewi haki yake sasa utaiamini vipi mahakama kwamba inatenda haki?
Wanaolalamika ni wanaccm, makonda ccm mahakama za ccm na Makonda....ccm

kalaghabahooo!!!!
usiwaamini hawa matapeli
 
Huyo mwanasheria naye vipi, maahakamani yanapelekwa mashauri yanayohitaji mambo ya madai nk. Sasa huyu mwananchi anahitaji pembejeo hazijafika kwa wakati, mradi wa maji umejengwa haujaanza kazi, hakuna dawa kwenye zahanati, barabara mbovu nk aende mahakamani naye hiyo mahakama kesi zilizopo tu hawajamaliza anataka na haya?

Kama anataka na yeye afuatwe si apite na yeye barabarani au aende magerezani akasikilize wenye shida!!
Haya uliyoorodhesha hata huyo Makonda hawezi kuyafanya. Ni maigizo tu.
 
Wananchi wanaona mahakamani mizinguo kibao hawapewi haki zao that's why wanaenda kulialia kule kutema nyongo zao kuwasemelea kua pamoja na kwamba wameenda mahakamani Ila mahakama haijawapa MSAADA walioutarajia kuna yule Mama Mchimbaji alieporwa million 19 na polisi ameenda mahakamani mara 4 na kesi yake inarushwarushwa TU haki hapewi na mtuhumiwa yupo mahakimu wapo majaji wapo wanasheria wapo polisi wapo mtu anadhulumiwa sasa what's the hell is mahakama km watu hawapewi haki?
Ikibid mahakama ziwe znahukum wanasiasa tu kesi za wananchi tuwape machifu
 
Mwanasheria mkuu Elieza Feleshi ameshangaa wananchi kumpelekea Makonda mamalamiko wakati jamaa hayupo kwenye mfumo wa nchi na hana mamlaka ya kuyatatua badala yake ni mahakama.[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom