Captain Fire
JF-Expert Member
- Jul 23, 2023
- 1,653
- 3,241
Kwani hiyo Tume wameletewa wapinzani???Ndio maana mmletewa tume huru kwa jina
Hamna akil
Piga kura, hata kama ni ya Hapana [X]Eti upinzanzi kwa style hii tuwape Nchi.
Hapana kwa kweli bora nikaa bila kupiga kula
Nakazia!!Kama anatumia pesa zake hamna tatizo
Kama anatumia pesa za umma tatizo lipo