Makonda aahidi kuwasaka mashoga mahotelini

Makonda aahidi kuwasaka mashoga mahotelini

Hahahahha.... Sasa ukimkamata mtu utakuwa na ushahidi gani kuwa yeye ni shoga...??
 
Unajua kukaa kimya wakati mwingine siyo kwamba huna chakusema au kufanya kwani huenda ni mojawapo ya jibu au unatafakari cha kujibu au kufanya kwa busara zaidi.
Ndiyo maana laiti kama wengi wetu tuko karibu na Mungu hakika tungelikuwa na busara sana na kupewa maarifa lakini kwa kwakuwa wengi wa watu huwa mbali na Mungu naye Mungu kawanyima akili na Maarifa na hatimaye tunaonekana kufanya mambo kwa kurupuka.
Kwa ufupi "Speed without Brain is Zero", sote tuna paswa kwanza kujadili SABABU/CHANZO CHA MASHOGA NI NINI HASA,TUFANYE NINI ILI PASIWEPO KWA MASHOGA KWA KUMUHUSISHA MUNGU YOTE HAYO.
Tukitumia nguvu nyingi pasipo akili huenda ikawa BURE, suala hili tuanapaswa kila mmoja wetu kutoa mchango wake wa khali na mali kukomesha mashoga,Viongozi wa Dini,Familia n.k.
Ni kweli hakuna mwenye akili TIMAMU atakaye kubali ushoga, lakini tunapaswa kutumia akili na busara toka kwa Mungu na siyo Mwendo Kasi.
Madereva kaokoka alisema baba'ake,alilosema ni hekima tosha toka mbinguni
 
Vipi dada poa amesha wamaliza??[emoji22] je omba omba imekaaje[emoji3]
 
Hawa watu wanajulikana walipo..Ila akiwakamata atawafanyaje?, Hapo bado sijaelewa nn anataka kufanya
Matamko kwa makonda ni moja ya kazi zake,unakumbuka lile la kuwaondoa ombaomba?leo kiko wapi?wapo wanaendelea na maisha yanasonga
 
safi sana, wanataka kuipotosha jamii yetu
mfano eti kaoge anavaa gauni na viatu vya kike anatembea mtaani bila hata shida yoyote
 
Lile tamko la kuwakamata makahaba na kulisafisha jiji la dsm dhidi ya ukahaba iko vipi?
 
Matamko kwa makonda ni moja ya kazi zake,unakumbuka lile la kuwaondoa ombaomba?leo kiko wapi?wapo wanaendelea na maisha yanasonga
Nalikumbuka..Aliwatengea nauli waende wakachukue wenyewe,mtu katoka mkoani kuja kuombaomba mjini halafu unamwambia akachukue nauli mwenyewe. Haiwezekani..
 
Hivi utamkamata mtu bila kidhibitosho, unasemaje ni shoga?umemkuta anakanguliwa au kwa muonekano wake?ukishawakamata unawapeleka wapi?

Malaya wa barabarani mpaka leo hii wapo na wanajiuzaa wamewashinda

Vipi na hao wanaowaingiliA??
ushoga sio jambo la kuonekana...

kuvaa kikike kike sio ushoga wala definition ya ushoga according to the law as well as according to all dictionaries in the world!!

sasa sijui watawakamataje, labda watawavizia vyumbani....

na hizo nguvu za kuvizia watu milangoni ni bora wangezielekeza kwenye uchimbaji wa gesi tuache kulala gizani.

nonsense.
 
Nalikumbuka..Aliwatengea nauli waende wakachukue wenyewe,mtu katoka mkoani kuja kuombaomba mjini halafu unamwambia akachukue nauli mwenyewe. Haiwezekani..
Yes huyo ndiye mkuu wetu wa mkoa
 
Sasa hao mashoga akishawakamata atawafunga kwenye jela ya Wanaume Au wananwake? Kama ya Wanaume hatar
 
Back
Top Bottom