Makonda aahidi kuwasaka mashoga mahotelini

Mkuu wa mkoa wa dsm kasema kuwa atapambana na mashoga popote walipo ataenda hadi mahotelini.. Source Magazetini:
My take: kuwafuata mashoga mahotelini ni hatari. Ila nampa support yangu. Hii hulka ya ushoga ni mbaya sana
Kachemsha kwa ombaomba wanaoonekana ataweza wapi mashoga walioko vyumbani?
 
Huyu nae, mbona misifa....jiji lina matatizo chungu nzima
Bado miundo mninu mibovu
Maji maguriko yakitokea matatizo
Wamachinga bado hawana solution
Foleni bado matatizo
Madala dala bado hawatii sheria na trafic wapo kukamata matajiri
Bado kuna ukosefu wa walimu , madawati ....
Haya ya mashoga wako wangapi kwani hapa dar ?
Kwenye hiyo list ongeza na tatizo la ushoga halafu kalale. Oppose-everything.com
 
Huyu nae, mbona misifa....jiji lina matatizo chungu nzima
Bado miundo mninu mibovu
Maji maguriko yakitokea matatizo
Wamachinga bado hawana solution
Foleni bado matatizo
Madala dala bado hawatii sheria na trafic wapo kukamata matajiri
Bado kuna ukosefu wa walimu , madawati ....
Haya ya mashoga wako wangapi kwani hapa dar ?
Hayo yote uliyoyataja hayatoi mbadala wa kuacha ushoga uendelee lazima kwa nafasi yake huu upuuzi ufutiliwe mbali
 
Kama ni kweli anazidi kuprove point yangu, anaendeshwa kwa mihemko, afanye hivo aone uchumi utakavozidi kushuka kwa speed, tumepoteza watalii 8000 kwa kodi, waliobakia tutawapoteza kwa kukaa tunadeclare vita na binadamu wengine, hamna mtu mjinga atakayrjaribu kutembelea nchi ambayo haiko stable, matatizo yote yaliyojaa dar ambayo yanagusa maisha ya wengi directly anayaacha kwenda kutafuta wanaume wanaolaliana? Hehehe! tumekosa direction..

Alafu alisema kila nyumba sasa inapewa namba, tunakua na zipcode kila region, mwaka utaisha sasa nilikua naisubiri hiyo sana ili nianzishe huduma zangu za online Dar nzima. Si afikirie hata hili aache kupoteza muda, ashauza sura sana tumemtambua sasa
 
wewe umezoea kuwaona wafanyabiashara ya ushoga sio mashoga.

MSM.
Ninamjua Bilali nilimuona zamani anavaa blauzi, kapaka shedo, mwendo wa kunesanesa halafu anatukana balaa. Anajinadi Mimi anti nataka Bwana. Mabasha sijawahi waona nina hakika hao RC Na nia yake nzuri ya kuwasaka mashoga hatawapata. Hao wanaocheza kibao kata na chura atawapata Kirahisi.
 
chini ya sheria ipi ,, inayokataza au kunyima..

nadhani kama hajalifajnya hilo emotional , aanze na utengenezaji wa sheria... hii ni nchi na sio familia .

Mkuu soma comments za nyuma utaona hiyo Sheria Kuna jamaaa kapost.
 
Kama weww ni mwanaume halisi ukikutana na shoga utamjua tu
mwanaume halisi ndio nini?

au wewe uko automatically equiped kwa microscopes mwilini mwako za kumgundua shoga.

au unadhani mashoga wote wanavaa vitopu kama kaoge??

na one more thing kama atawakamata feminine gays basi atawaacha mabasha wengi sana (tops), au hata masculine bottoms.
 
Ramada resort ya mbezi beach ni Wateja wao wazur sn tn huwa wanawekaga kbs kambi wiki mbili au tatu kunakuw na mikutano wanalipa hla ndefu kichiz hawa jamaa wanakuw ni mchanganyiko Wa nchi mbalimbali na kw muonekano ni project kbsaa inajiita COC hichi kikundi sio kipya pale kbs. Kama room ya kawaida per night ni kuanzia USD 175 ya chini shoga anawez kukaa more than 15days hpo hyo sio Wa kawaida so weledi zaidi na busara huku ukizingatia kutokutok nje ya sheria ndio silaha pekee ingewafaa kuwawek sawa. My take wanamatuc magumu hujawah kuckia yan kwnz ukiwashangaa hyo mapozi watayokuletea utajuta.niliacha reservation yngu na hla nikasamehe nikaend kulala 5star ingne kw kuwakuta wamejazan Ramada.
 
Mi nafikiri mheshimiwa makonda kuna matatizo mengi yenye uharaka na umuhimu katika ku yatatua kuliko hayo mambo ya mashoga, kwa mfano ujambazi, usafi wa makazi ya watu, ujasiriliamali na mikopo nk. Pia ni vizuri mheshimiwa awe na vipaumbele vikuu katika utendaji wake na kwa muda fulani, kufanya kazi kwa 'mizuka'/emotions /mihemuko si jambo zuri sana.
 
Hawa mashoga hata sio kazi kuwapata..Wanajiachia sana siku hizi..Mtu unaweza kuchat nae leo kesho ukamkamata..
Ukichat nae si unaweza kuigia tamaa na kujikuta unaenda kuchapa mzingo
 
safi sana marekani marekanina tanzania tanzania kama wanataka ushoga wakafanyie marekani ingawa utasikia wanaibuka watu wanajiita wanaharakati wanawatetea
 
Unaweza kumfata hotelini kumbe shoga mbabe akkulazmishia umdo
 
Back
Top Bottom