Mkulima wa Kuku
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 1,270
- 533
Kachemsha kwa ombaomba wanaoonekana ataweza wapi mashoga walioko vyumbani?Mkuu wa mkoa wa dsm kasema kuwa atapambana na mashoga popote walipo ataenda hadi mahotelini.. Source Magazetini:
My take: kuwafuata mashoga mahotelini ni hatari. Ila nampa support yangu. Hii hulka ya ushoga ni mbaya sana