Makomandoo wetu wa Tanzania

Makomandoo wetu wa Tanzania

tusubiri siku ya mechi(vita) ndio tutaelewa weledi wa makomando wetu.

Makomandoo wetu wamepigana sana msumbiji dhidi ya wareno na Renamo, mpaka Leo hiyo story Wareno wanaifahamu,halafu haya mambo ya kijeshi ni siri kubwa sana,Haya tunayoyafamu sisi raia ni kidogo sana, si sahihi kupima uwezo wa jeshi kwa maonyesho ya uwanja wa taifa.jeshi letu limeshiriki opperation nyingi nje ya inchi kwa mafanikio,tena opperation zingine sio lazima kila mtu afahamu,kwa kweli msiwe na hofu vijana wenu wako imara kuliko mnavyo fikiri, ila ipo siku mtashuhudia.
 
Achan na makomandoo ,mi nimepitia madojo si rasmi tokea enzi za miaka 80 -kwa watu wa dar watawakumbuka akina kiringo , Santana , (MwambaZero Jimmy Castro- marehemu hawa )Abdala Master sikuwa na rank yeyote zaidi ya kuwa najua kutifua ugomvi wa haja, miaka ya mbele uzeeni kwangu nika kutana ni vijana na mikanda yao kamasi ziliwatoka nawengine wakijidai wamechukua mafunzo kutoka nje au walimu wa nje.
In short wale vijana pale morogoro usiwatanie ni wadudu kamili ktk mpango wa vurugu.

dah mkuu ulikuwa mitaa hiyo,, satana, abdalah master,, jimmy castro si mchezo kitambao,,, huyo satana kuna siku aliukingia moto wa mjepu wa konoike akapima maji alipigwa vibao visivyo na idadi na mguu ilibidi atoke mbio...

heshima kwako kwa kunikumbusha kitambo mitaa hiyo bila shaka unawajua FARU DUME, SIFA YA MANZESE, KAGERA RANGER, COSMO, CARGO FC NK...
 
dah mkuu ulikuwa mitaa hiyo,, satana, abdalah master,, jimmy castro si mchezo kitambao,,, huyo satana kuna siku aliukingia moto wa mjepu wa konoike akapima maji alipigwa vibao visivyo na idadi na mguu ilibidi atoke mbio...

heshima kwako kwa kunikumbusha kitambo mitaa hiyo bila shaka unawajua FARU DUME, SIFA YA MANZESE, KAGERA RANGER, COSMO, CARGO FC NK...
Mwanangu Farudume ndio chama langu ,primary ukombozi,kisutu sek tambaza,high sch forest hill,chuo CBE!manzese darajani ndio makuzi yangu yeyote aliyeishi maeneo hayo lazima ajue kurusha konzi!Santana,Jimmy Master ,maste Zero are no more!
 
Tatizo maelezo yenu yote yanaelezea eti jinsi gani watatupa kipondo sisi ambao hatuna mafunzo yoyote pindi tuwachokozapo kama justification ya u-fit wao na kwa wote watakaothubutu ulimwenguni, ,duu!
....

Tatizo la Watanzania ni kuwa Impressed na vitu vidogo... Bado tunazile akili kuwa mwanajeshi aliye fit lazima
awe Baunsa na vitu kama hivi ... siku hizi Jeshi ni zaidi ya Hapo .. Intelligence gathering na technolgy yake ,
Wataalamu wa zile silaha hatari hatari zenye technology ya juu na jinsi wanavyoweza kuzitumi, Uzalendo na Nchi na kwa nini , n.k .. huwezi ku kutathimini commando kwa jinsi gani anapiga raia Mitaani ni ufinyu wa akili na kukosa Exposure ...
 
Morogoro ni sehemu tu ya training ya Awali ambao hata walinzi wa viongozi wanakwenda >baada ya pale kuna Zanzibar halafu ndo nje.Lakini hilo zoezi linalopigwa Mor si la kitoto.Wale jamaa kwa siku nadhani wanakimbia 40-50 km, kuogelea umbali nusu ya huo na mambo mengine mengi sana.Akikupa moja lazima ukae chini

correction kidogo vip protection haifundishwi 92kj bali mafunzo yote ya ulinzi wa wakubwa hufundishwa ktk vyuo vya uwt na sana sana malindi japo vyuo kuna vyuo vyao vingine dodoma na zanzibar. tujifunze kutenganisha mafunzo ya commando na vip protection.
 
Nimepata shuhudia kwa macho, Wanajeshi wakitoka kuchukua fedha Benk, gari lao liko mbio mbio na askari watatu wakiwa nyuma ( Landrover pickup) na bunduki zao wazi wazi, bahati mbaya wakiwa kwenye juction road likatokea fuso limekata break, gari la jeshi likagongwa na kupinduka mara nne, gari lilikuwa nyanganyanga, Jinsi jamaa walivyo weza kuruka kwa ghafla ilikuwa kama sinema za james bond. This guys are real, japokuwa walikuwa wameumia vibaya bado walikuwa strong still with there guns on hand the guys front walikuwa in bad shape lakni those dudes on the back stopped no body to go close and they did rescue themselves.

It happen once in arusha, mwanajeshi mmoja aliuliwa usiku na majambazi mtaani, the next day all town was hell, hakuna mtu aliyekuwa akitembe mtaani wala magari , inasemeka ni vijana wadogo toka monduli jeshini wala hawafiki kumi.



umejitahidi kwa kiingereza chako japo unatakiwa uongeze bidii sana labda ujitetee kuwa ni typing error. napenda mno guts zako za kutaka kujifunza zaidi kiingereza.
 
Ni majinga tu yale majitu ya musoma yanajiita poti....

nimejisikia vibaya mno na sana kwa matusi yako haya mkuu. kama mwana mkoa wa mara hujanitendea haki mimi na wana mara wote. tumekukosea nini? kwahiyo tanzania nzima wajinga ni watu wa musoma mkoani mara tu? anyway tunakushukuru kwa matusi yako mkuu. mwenzetu labda unatoka mkoa gani ambao nyie mna akili tu?
 
dah mkuu ulikuwa mitaa hiyo,, satana, abdalah master,, jimmy castro si mchezo kitambao,,, huyo satana kuna siku aliukingia moto wa mjepu wa konoike akapima maji alipigwa vibao visivyo na idadi na mguu ilibidi atoke mbio...

heshima kwako kwa kunikumbusha kitambo mitaa hiyo bila shaka unawajua FARU DUME, SIFA YA MANZESE, KAGERA RANGER, COSMO, CARGO FC NK...

.........Kiboko Msheli, Entebbe, Linea Messina n.k.
 

correction kidogo vip protection haifundishwi 92kj bali mafunzo yote ya ulinzi wa wakubwa hufundishwa ktk vyuo vya uwt na sana sana malindi japo vyuo kuna vyuo vyao vingine dodoma na zanzibar. tujifunze kutenganisha mafunzo ya commando na vip protection.

popoma mwenzangu pole kwa ile "bani".mweee!!..hahahahahaha
 
Napata ukakasi sana hasa nikiwaza hichi kitu. Komandoo ni askari aliyepitia mafunzo ya kijeshi na ya hali ya juu mno.

Zamani ilikua ukisikia Komandoo mpaka damu inasisimka na wengi wao katika jeshi letu walikua wanapata mafunzo yao nje ya nchi kama Cuba, Misri na Israel. Je sasa hawa wanaotoka pale Morogoro wana sifa kama zile za wale?

Au ndo wale waliotufanyia show ya kupasua tofali kwa kichwa pale uwanja wa taifa siku ya miaka 50 ya kupata bendera? (Kwani siamini kama bado tuko huru)..

Ukiwa kichakani huwezi kuona kichaka unaona miti tuu! Don't be fooled by any fucken being TZ tuna vyuo imara kuliko unavyodhani. TMA & NGERENGERE vinatoa komando wazuri na tume train askar wengi wa nchi nyingi za Africa.
Course za kwenda cuba na nchi zingine bado zipo na huwa hazitangazwi askari anaondoka kimya kimya tu! labda unadhan huku ni kama law school kwamba wanaenda kwa batch! si hivyooo
 
popoma mwenzangu pole kwa ile "bani".mweee!!..hahahahahaha

ban gani tena hiyo? umeshaona hii id yangu imepigwa ban? yawezekana labda unanifananisha ila mimi id yangu humu 24/7 ni hii hii mkuu. sina sifa ya kupewa ban na namwomba mwenyezi mungu nisipewe ban na niwe member mwema humu. samahani neno popoma lina maanisha nini mkuu?
 
Back
Top Bottom