srinavas
JF-Expert Member
- Jun 5, 2011
- 4,319
- 4,273
Mbona wanakuja nayo wenyewe?kwanini wasitoe uhuru kwa raia yeyote apeleke matofari yake?hakuna ukweli kuwa yale ni matofali bora
Labda huko vitani napo wataambiwa waende na matofali yao wenyewe...
Mbona wanakuja nayo wenyewe?kwanini wasitoe uhuru kwa raia yeyote apeleke matofari yake?hakuna ukweli kuwa yale ni matofali bora
Matofari yale yanatengenezwa maalum kwa ratio wanazo ona wao wata manage kuzitawala
Ni majinga tu yale majitu ya musoma yanajiita poti....Ndugu zangu leo nakuja na swali moja tu na hili linakwenda moja kwa moja kwa hawa makomandoo wetu wanaoonyeshaga mbwembwe zao siku za sherehe za kitaifa pale wanapofanya mambo ya kipekee. Swali langu ni Je, huwa ni kweli au huwa ni kiini macho au mazingaombwe.? Maana katika hali ya kawaida sidhani kama ni rahisi kwa yale mambo kuwezekana.
Mfano: Kuvunja matofali kwa kichwa na kadhalika
ni mia
Nawasilisha
Kama ile Movie komando kipensiHaya mambo ya Martial Arts hakuna kiini macho, ukibobea sana ktk haya mambo unakuwa hatari mno. Sijapita ktk mafunzo ya makomando ila nina uhakika jamaa wamepitia kila aina ya Mafunzo/Michezo ya ngumi. Sasa moja ya kanuni ktk Martial Arts ni lazima uwe mkakamavu, Commando anakuwa mkakamavu kutokana na mafunzo yake magumu anayofundishwa, wanafunzwa mengi, anaweza akawa mmoja na akatetekeza kambi nzima.
Specify kambi gani
Isije kua kambi ya makomando wenzakee
Kuna jamaa mmoja anaitwa Tony Jaa, ameigiza filamu kama Ong Back, huyu jamaa nilienda Youtube na kuangalia mazoezi yake nikachoka kabisa. Jama yupo fiti mno kimazoezi, sio yeye tuu hata watu kama akina Tyson unaweza ukawapiga na ubao na ubao ukavunjika. Jamaa mazoezi wayafanyayo inawajenga miili yao ktk ukomavu wa hali ya juu sana.
mmewapekenyua wanasiasa,wasanii,wananchi wa kawaida mmewamaliza sasa mmehamia kwa wanajeshi.ili kuyajua hayo yote karibu kambini njoo muda wowote utapata jibu ya thread yako.na watz wengi mna midomo mirefu mnayoyaombea yatakuwa na itakuwa majibu ya thread zenu za kejeri kwanza tunawamis sana
Kwa sisi tulipitia mafunzo hayo, mambo ya kuvunja tofali ni vitu vya kawaida hata liwe la zege. Na haya mnayoonyeshwa ni sehemu kidogo tu mengime mkionyeshwa mtasema ni uchawi. Kwa ujumla kuna mambo mengi, kwa mfano, naweza kukutengenezea ugonjwa wa kukutia umasikini/usiotibika hata kama wewe ni milionea. Nakutekenya sehemu fulani ya utumbo na kuitegua, uponi kamwe ila baada ya miaka 2 au 3 tunakuzika.
Hizoo intimidation tu
Hat a wewe ukifanyiwa the same thing unazikwa , kwahiyo nothing special there
Hivi unaijua kambi nzima? Au unadhani kambi ni kama familia
CCP Moshi anaweza wamaliza kwa dk 4 tu.
mmewapekenyua wanasiasa,wasanii,wananchi wa kawaida mmewamaliza sasa mmehamia kwa wanajeshi.ili kuyajua hayo yote karibu kambini njoo muda wowote utapata jibu ya thread yako.na watz wengi mna midomo mirefu mnayoyaombea yatakuwa na itakuwa majibu ya thread zenu za kejeri kwanza tunawamis sana
mimi siamini
Somalia hapo mnaogopa kwenda!!
haya......Njoo nikuaminishe..