Makomandoo wetu wa Tanzania

Makomandoo wetu wa Tanzania

sasa huyo wa matofali tu unashangaa, kuna hao ambao wamehifadhiwa mpaka vita vitokee, yaani wanaouwezo wa kula mabomu, risasi au kutafuna vyuma...

Ina maana hao wamefichwa muda wote hata mbunye hawazioni?
 
kwan kuvunja tofali nayo kazi? acha uzembe wewe
 
Haya mambo ya Martial Arts hakuna kiini macho, ukibobea sana ktk haya mambo unakuwa hatari mno. Sijapita ktk mafunzo ya makomando ila nina uhakika jamaa wamepitia kila aina ya Mafunzo/Michezo ya ngumi. Sasa moja ya kanuni ktk Martial Arts ni lazima uwe mkakamavu, Commando anakuwa mkakamavu kutokana na mafunzo yake magumu anayofundishwa, wanafunzwa mengi, anaweza akawa mmoja na akatetekeza kambi nzima.

Hivi unaijua kambi nzima? Au unadhani kambi ni kama familia
 
Hata wewe mleta mada hii ukipiga tiki na ukagangamara utaweza vunja tofali

Unajua sio kuvunja tofali tu , hiyo nimeweka kama mfano... Angalia kuna hii kukaa siku nzima bila kupepesa macho , nilioona sababa saba wanafanya makomando... Hiyo je vipi??? Siku nzima kweli bila kupepesa macho
 
mmewapekenyua wanasiasa,wasanii,wananchi wa kawaida mmewamaliza sasa mmehamia kwa wanajeshi.ili kuyajua hayo yote karibu kambini njoo muda wowote utapata jibu ya thread yako.na watz wengi mna midomo mirefu mnayoyaombea yatakuwa na itakuwa majibu ya thread zenu za kejeri kwanza tunawamis sana

Huna lolote wewe , peleka porojo zako huko.. Hata sisi pia tupo kambini... Sema upo kambi gani tukutane...
 
sasa huyo wa matofali tu unashangaa, kuna hao ambao wamehifadhiwa mpaka vita vitokee, yaani wanaouwezo wa kula mabomu, risasi au kutafuna vyuma...

Sasa kama wako fiti namna hiyo si wapelekwe wakapigane na al-shabaab huko au isis??
 
Kwa sisi tulipitia mafunzo hayo, mambo ya kuvunja tofali ni vitu vya kawaida hata liwe la zege. Na haya mnayoonyeshwa ni sehemu kidogo tu mengime mkionyeshwa mtasema ni uchawi. Kwa ujumla kuna mambo mengi, kwa mfano, naweza kukutengenezea ugonjwa wa kukutia umasikini/usiotibika hata kama wewe ni milionea. Nakutekenya sehemu fulani ya utumbo na kuitegua, uponi kamwe ila baada ya miaka 2 au 3 tunakuzika.

Huu sasa uongo mtupu
 
subiri vita vianze, ndio utawaona, kwa sasa wamehifadhiwa sehemu ya kificho....

Unamaanisha wamehifadhiwa sehemu ya mheshmiwa Pandu kificho yule spika wa baraza la wawakilishi zanzibar??? Au Sehemu ya kificho gani?
 
Back
Top Bottom