Makomandoo wetu wa Tanzania

Makomandoo wetu wa Tanzania

hivi hamna taarifa jeshi limekuwa la 3 duniani kwa vita vya chini kwa hili najivunia utanzania wangu najua tuna makomandoo walioiva ipasavyo
 
hivi hamna taarifa jeshi limekuwa la 3 duniani kwa vita vya chini kwa hili najivunia utanzania wangu najua tuna makomandoo walioiva ipasavyo

Hiyo stori niliku naiskiaa utotoni
But ukinipa facts and figures itakua njemaa mkuu
 
ban gani tena hiyo? umeshaona hii id yangu imepigwa ban? yawezekana labda unanifananisha ila mimi id yangu humu 24/7 ni hii hii mkuu. sina sifa ya kupewa ban na namwomba mwenyezi mungu nisipewe ban na niwe member mwema humu. samahani neno popoma lina maanisha nini mkuu?
teh teh teh teh!!! CC Mussolin5 jMali & GENTAMYCINE
 
Last edited by a moderator:
Wana bodi.
Hawa makomandoo wa Tz si tuliwaona uwanja wa taifa jinsi wanavyopasua tofali kwa kichwa.
Yani wana mambo ya miaka ya 47, wakati wenzao wapo kwenye level za SEAL...

Ndugu yangu mbona unakuwa si mzalendo hivi kupasua tofali mchezo
 
Kwenda nje ni kutafuta uzoefu tu.Kwanza mtu hujikita na mafuzo ya ndani ya nchi, then tunaenda nje kujipima na wenzetu. Unatakiwa kuthamini ujuzi unaoupata katika eneo lako la kijiografia kwanza then ndipo ukatest mazingira ya nje ili kwenda sambamba na mabadiliko ya kiteknolojia yanaotokea kila siku duniani kote.Ukimleta komando kutoka nje ambaye hajui hali ya jiografia yetu itamchukua muda mwingi kuadapt. Jiulize kwa nini makomando wa kimarekani walifukuzwa na kukamatwa kama kuku na kisha kuuawa walipoenda somalia
 
As military expert,nikutoe shaka kwa hilo,nchi ina makomando wa kutosha na mpaka unavyoandika uzi huu,kuna takribani askari mia3 wako kozi hizo sehemu tofauti duniani na wanahudumiwa na serikali hii unayotilia shaka nayo. Chuo cha Ngerengere ni sehemu ya kambi yao ya mafunzo na mengineyo ambayo sio sahihi kuandikwa humu. Kunywa bia usiwaze mkuu
 
.........Kiboko Msheli, Entebbe, Linea Messina n.k.

national, swazi inter, baker ranger, beach boys, abajalo fc, sheki utd nk... kitambo sana mkuu enzi hizo uswazi walikuwa wanapiga soka yaani aibu... uwanja unajaa utafikili super ligi vile.......
 
Mwanangu Farudume ndio chama langu ,primary ukombozi,kisutu sek tambaza,high sch forest hill,chuo CBE!manzese darajani ndio makuzi yangu yeyote aliyeishi maeneo hayo lazima ajue kurusha konzi!Santana,Jimmy Master ,maste Zero are no more!

huko ndio tulienjoy maisha na kujifunza kupambana kimaisha toka tukiwa under 18,,,, lazima ujifunze boxer, karate, nk hakuna kukubali kuonewa safi sana mkuu heshima kwako,, primary karume,, sec AZABOY mitaa manzese hapo...
 
Napata ukakasi sana hasa nikiwaza hichi kitu. Komandoo ni askari aliyepitia mafunzo ya kijeshi na ya hali ya juu mno.

Zamani ilikua ukisikia Komandoo mpaka damu inasisimka na wengi wao katika jeshi letu walikua wanapata mafunzo yao nje ya nchi kama Cuba, Misri na Israel. Je sasa hawa wanaotoka pale Morogoro wana sifa kama zile za wale?

Au ndo wale waliotufanyia show ya kupasua tofali kwa kichwa pale uwanja wa taifa siku ya miaka 50 ya kupata bendera? (Kwani siamini kama bado tuko huru)..

attachment.php



attachment.php

attachment.php

attachment.php

attachment.php
 
kwani unadhani hawakuona yaliyowakuta makomandoo waliotukuka wa kimarekani walivyofanywa? unadhani somalia ni sawa na visiwa vya anjuan comoro?

umenikumbusha kichapo walichopewa
USA na Generali Farrah Aidid mpaka
leo maerkani hana hamu na somali.

GeneralMohamedFarrahAidid.jpg
78.jpg

Kez+the+skinny002.bmp

Hapa akiwa na mkuu
yoweli mseven

73.jpg
 
Kule hakuna mambo ya kamati kuu ya CCM kukata majina watu wala maandamano ya UKAWA au Magufuri,kule ni kichapo hadi unatoa kinyesi na kinyesi wanakichapa kwa hasira😕
 
tatizo lako labda hauwasikii sikii wakitamkwa tamkwa na kuhusishwa kwenye vivurugu vya mtaani kama ao polisi na wanajeshi wa kawaida unavyowasikia habari zao kila kukicha....basi amini nakuambia hao comando hiyo ndio sifa yao moja wapo kutokua midomoni na machoni mwa watu hovyohovyo. Ukiwaona ao na kuwasikia wametia timu mtaa fulani basi kusanya vifaranga vyako jifungie ndani vinginevyo utasikia tu habari zao uko congo, sudani, darful n.k. Si sifa nzuri komando kuwa karibu na midomoni mwa raia wa kawaida kwanza hawana muda uo muda mwingi wapo training kwa kuwa tayari muda wowote ule. Kwa kifupi ondoa shaka wapo vizuri sana na uko unaposema mbona wanaenda sana tu ila wanapokua wanaenda hawaitishi mikutano ya waandishi wao ni wao na habari zao basi
 
Napata ukakasi sana hasa nikiwaza hichi kitu. Komandoo ni askari aliyepitia mafunzo ya kijeshi na ya hali ya juu mno.

Zamani ilikua ukisikia Komandoo mpaka damu inasisimka na wengi wao katika jeshi letu walikua wanapata mafunzo yao nje ya nchi kama Cuba, Misri na Israel. Je sasa hawa wanaotoka pale Morogoro wana sifa kama zile za wale?

Au ndo wale waliotufanyia show ya kupasua tofali kwa kichwa pale uwanja wa taifa siku ya miaka 50 ya kupata bendera? (Kwani siamini kama bado tuko huru)..

Kuvunja tofali? Nao ni ukomandoo?
 
Back
Top Bottom