Makwarukwaru
Member
- Mar 10, 2012
- 66
- 25
Napata ukakasi sana hasa nikiwaza hichi kitu. Komandoo ni askari aliyepitia mafunzo ya kijeshi na ya hali ya juu mno.
Zamani ilikua ukisikia Komandoo mpaka damu inasisimka na wengi wao katika jeshi letu walikua wanapata mafunzo yao nje ya nchi kama Cuba, Misri na Israel. Je sasa hawa wanaotoka pale Morogoro wana sifa kama zile za wale?
Au ndo wale waliotufanyia show ya kupasua tofali kwa kichwa pale uwanja wa taifa siku ya miaka 50 ya kupata bendera? (Kwani siamini kama bado tuko huru)..
Zamani ilikua ukisikia Komandoo mpaka damu inasisimka na wengi wao katika jeshi letu walikua wanapata mafunzo yao nje ya nchi kama Cuba, Misri na Israel. Je sasa hawa wanaotoka pale Morogoro wana sifa kama zile za wale?
Au ndo wale waliotufanyia show ya kupasua tofali kwa kichwa pale uwanja wa taifa siku ya miaka 50 ya kupata bendera? (Kwani siamini kama bado tuko huru)..