Makomandoo wa North Korea

Makomandoo wa North Korea

Sitaki kuingia sana kwenye huu mjadala lakini suala la Marekani kutotaka sana kupigana na Urusi ni vile maslahi yao yanakuwa hayajaguswa sana lakini uwezo inao. Na kitu kingine kutokana na ukweli kwamba Urusi nayo ina nguvu kubwa ya kijeshi kuanzisha military confrontation kunaweza kuwa na gharama kubwa sana kwa Marekani. Hata Urusi hana interest ya kupigana na Marekani kwa sababu zilezile. Kwa kifupi hawa wakipigana uwezekano wa Mmarekani kushinda ni mkubwa lakini je gharama yake ni kiasi gani?? Je ni vyema kushinda vita halafu mwishowe unapoteza nguvu yote na kuiruhusu China kuwa super power? Pili kuna nyuklia, kwa mfano labda Marekani inaweza kushinda kwa bahati Urusi waamue kukubali matoke lakini vpi wakiamua kutumia nyuklia? Ni kweli hata Marekani ana nyuklia lakini ni nani anataka Mutual Assured Destruction aka MADness!!!

Kaka mziki wa U.S sio mdogo sema watu wanaangalia consequences!!

nimekuwa msomaji na mfatiliji mkubwa sana wa mataifa haya mawili URUSI na MAREKANI.

huwezi kunidhibitishia kuwa MAREKANI ina UWEZO wa kuishinda URUSI.

kwa kifupi sana nitakuelimisha juu ya hisoria ndefu ya haya mataifa.

vita baridi ilikuwa inahusu mambo mawili.

1.UCHUMI.(superiority of world economy or super power economy)
2.UWEZO WA KIJESHI.(superiority of world military capability or military super power)

historia ni ndefu sana lakini ilionekana theory rahisi ilikuwa kushinda kwanza nguvu ya uwezo wa kijeshi ili ushinde nguvu ya uchumi.

1988 marekani ilizidiwa katika uwezo wa kijeshi na ilisalimu Amri na waliamriwa kushusha makombora yao waliyokuwa wameweka Uturuki ili waishambulie Urusi, shariti hili ilikuwa litekelezwe kwanza ndio Urusi ikubali kushusha makombora yake iliyoyaweka Cuba ili kuishambulia marekani.

kwa kifupi Marekani ndio waziwazi imewahi kukiri kushindwa na Urusi katika vita ya Vifaa vya kijeshi.

baada ya hapo Marekani ndio ikabadili theory ya kuishinda Urusi na ikaja na mpango wa kuisambaratisha Urusi wa kuua Muungano wake.

hapa ndipo Marekani ilishinda na kufanikiwa. hapa hakukuwa na maswala ya uwezo wa vifaa vya kivita.

kutokana na URUSI KUSAMBARATIKA.

Marekani ilishinda vita ya ukuu wa uchumi Duniani na mpaka sasa inajulikana America is a Super power.

ukisikia super power ya Marekani sio kwenye silaha bali ni kwenye uchumi.


Toka 1991 Urusi iliposambaratika Marekani iliamini kuwa Urusi isingeedelea tena kutaka kupambana na Marekani kwenye ukuu wa silaha.

kukudhihirishia kuwa hii vita ya ukuu wa kijeshi haikuwahi kabisa kuisha na wala marekani haikuwahi kabisa kushinda.

tafuta kwenye mtandao ndege ya marekani ijulikanayo SR 71(blackbird)

hii ni ndege hatari zaidi iliyokuwa chini ya marekani na ilinonekana kuitesa Urusi.(taarifa za mashuhuda ambao ni malubani wa Marekani na wale wa Urusi ndizo zilikuja kudhidhirisha haya)

kwa kifupi sana, ndege hii ilikuwa na kasi kushinda kasi ya ndege zote za Urusi na ajabu zaidi ikashinda kasi zote za makombora ya Urusi. ilikuwa inatembea kwa kasi ya mita 1,023 kwa sekunde moja.

wakati Urusi ikiwa imeshasambaratika 1998 walifanikiwa kutengeneza ndege hatari ya Mig 31.

hii ndegeya URUSI ilisababisha ndege zote za SR 71 za marekani kusitaafishwa ghafla mwaka 1998 baada ya wamarekani kuipeleka SR 71 Urusi kama walivyozoea kuwa hakuna silaha wala kombora la kuifikia kwa kasi yake hata ilipolengwa na makombora ama kukimbizwa na ndege za urusi. wakati huu SR ilikutana na Mig 31 na ikadhibitiwa vilivyo na haikufua dafu na ilikuwa mshituko kwa marekani na mwaka huohuo wa 1998 marekani ikatangaza kuzistaafisha ndege zote za SR 71 na wakatangaza mpango wa kuunda ndege ya SR 72 ili waweze kupambana na ndegeya Mig 31.

hii Mig 31 ilikuwa na kasi zaidi ya SR 71.

huu ni mfano mmoja tu nimekupa kuhusu uhalisia kuwa marekani haikuwahi kushinda vita ya technolojia wala ya silaha.

ALAFU LAZIMA UJUE KITU KIMOJA MUHIMU SANA.

marekani inatangaza sana taarifa na propaganda zake tofauti na Urusi.

inawezekana propaganda za marekani zimekuaminisha kuwa ina nguvu sana kushinda Urusi.

ila wamarekani wenyewe wanajua ukweli kuhusu nguvu za Urusi na wana ushahidi wa kihistoria na kiujasusi wa kushidwa mara nyingi na urusi kimyakimya wakati wao huwa ni wa kwanza kutangaza alafu urusi huwa mara nyingi ni ya kwanza kufikia mafanikio.

nikupe mfano mmoja.

kuna kitabu kikubwa sana cha NASA kinachoelezea historia ya mambo ya anga miaka 1980 kikiandikwa .

ukisoma Mule ndio utajua Urusi ni nani, achana na propaganda, wale ni wazee wa kimyakimya.

kitabu kimechapwa miaka ya 1980s kwa kumbukumbu yangu na kilitungwa mahususi kwa ajili ya kumkumbuka mwanaanga mmoja huko marekani na shirkia la NASA jina simkumbuki maana siko nacho hapa ila nikikipata nitakwambia jina la kitabu hicho ili usome mwenyewe.

vita baridi ilikoleza zaidi mafanikio vita ya anga kwa urusi na marekani.

lakini kila marekani ilipotangaza kupeleka chombo chao angani urusi ilikuwa kimya, lakini kabla hajafanya hivyo Urusi ilirusha chombo chake kwa mafanikio makubwa,Marekani ilipotangaza kuipiku urusi kwa kupeleka chombo kwenye Orbit Urusi ilikuwa kimya lakini kabla ya marekani haijafanikiwa Urusi ilirusha chombo chake na kukifikisha kwenye orbit.

marekani ilipotangaza kupeleka chombo mwezini Urusi ilikuwa kimya, lakini kabla Marekani haijafanikiwa Urusi ilirusha chombo chake na kilitua salama mwezini na vifaa vya Uingereza vilithibitisha kuwa kweli hicho chombo kinaonekana kipo mwezini.

nimelazimika kukupa haya machache sana juu ya tabia ya Urusi na Tabia ya Marekani.

Urusi ni wazee wa kimyakimya lakini ni watu hatari sana na wamarekani wanalijua hili na ndio maana ukitafuta taarifa za urusi kuhusu silaha ni jambo lenye usiri mkubwa sana tofauti na marekani wazee wa kupayuka na kuropoka.

Kwa sasa marekani wana dege hatari sana lijulikanalo F22 hili dege ni balaa, achana na habari za B52 ama B2 ambazo ni nuclear capable. hili dege ni balaa.

mrusi alishajibu mapigo haya kwa dege lake lijulikanalo kama T50 .

hizi ndizo ndege hatari zaidi kwa karne ya sasa.

ndege pekee duniani yenye uwezo wa kuidhibiti F22 ni T50.

kwa sasa ndege za kivita zinaenda generation ya sita. huku ulaya wakiwa wameachwa mbali maana mpaka sasa hawajaweza kuyafikia mataifa haya mawili kutengeneza ndege ya generation ya 5 wakati Urusi na Marekani sasa wakiwa kwenye harakati za kutengeneza generation ya sita ya ma-drones.

pia URUSI na MAREKANI ndio mataifa pekee hayanunui slaha bali yanajitengenezea silaha.

nina mambo mengi ya kuchambua lakini niishie hapa.

wala swala la nuclear si tishio sana kwa mataifa haya kwa kuwa yana interceptors za kipekee kupangua hata hayo makombora.

mwisho kuna watu wanadhani drones(UAVs) ni technolojiia ya marekani pekee huku kumbe urusi wana drones zao japo ni wazee wa kimyakimya.
 
Soma hii makala ya Reuters basi:

KWANZA NILIKUTAKA UNILETEE TAARIFA NA UMELETA.

PILI NILIKUTAKA UNILETEE USHAHIDI KUWA KOREA YA KASIKAZINI KUNA NJAA KWA SIKU ZA HIVI KARIBUNI.

sikuwa na maana kuwa hakuna taarifa na sikusema hakuna taarifa bali nilichosema ni kwamba kitu hiki kilikuwepo miaka ya tisini na mpaka nikawa nakushangaa hizi taarifa za uhakika umezitoa wapi maana mimi pamoja na ufatiliaji wote sijaziona taarifa zenye uhakika kwa hili.

kila kitu kinaweza kuwa taarifa, uongo unaweza kusomwa kama taarifa sawasawa na ukweli unavyoweza kusomwa kama taarifa.

uongo pia unaweza kuandikwa kama taarifa,kama unavyoweza kuuandika ukweli.

anything can be a news whether is true or not, anything can be written whether is true or not.

SASA KAMA NILIVVYOSEMA, ILIANDIKWA KUWA TANZANIA NI MIONGONI MWA NCHI AMBAZO WATU WAKE WANAONGOZA KWA KUWA NA UWEZO MDOGO SANA WA KUFIKIRIA DUNIANI, nilisema huu utafiti huenda ni wa kweli kama watu wengi watakuwa kama wewe maana umesoma maelezo yote ila umetumia uwezo wako mdogo sana wa kufikiri ukakimbiakimbia kuniletea ushahidi unaokuabisha kwa mara nyingine hapa.

taarifa na ushahidi wako ni kama hapa ulivyonitaka nibofye. na nilipobofya haya ndio maelezo yake.


(Reuters) - A famine in a key North Korean grain-growing region in 2012 may have killed thousands of people at the same time as the country was staging mass celebrations to commemorate the 100th anniversary of the birth of the state's founder, according to a news agency based in Japan.

nadhani hapa tatizo ni kiingereza kinakupiga chenga.

huwezi kuombwa taarifa na ushahidi popote alafu unaleta ushahidi unasema.

"may have killed thousands of people"

haya maneno yanafuta credibility yote ya taarifa hii na inakuwa ni taarifa ya kufikirika na inahitaji kufanyiwa uchunguzi kujua kama ni kweli ama si kweli.

watu wenye akili ndogo wanaweza kuleta taarifa na ushahidi wa namna hii.

yaani hata walioandika hawana uhakika na taarifa yao alafu wewe unasema hii ndio taarifa inayokuthibitishia uwepo wa njaa korea ya kasikazini.




It was impossible to verify the report independently
, and sporadic famines are commonplace in North Korea, according to experts based in South Korea. A United Nations analysis in 2011 showed that around a third of children were malnourished.

The report from Rimjin-gang/ASIAPRESS said that, based on its own reporting from the region and from contact with North Korean defectors and people crossing the border, a famine hit the North and South Hwanghae provinces in January-May 2012.
"Farming villages in the Hwanghae region, and especially in southern Hwanghae province, play an important part as a base for food supply for not just the army but also for city workers," the report, published last week, said.
It cited examples of farmers and laborers in the region, in the southwest of the country, saying that "about a tenth" of a work brigade of 60 people in one village had died. Another case cited said that the death rate had been "30 people out of every 1,000. They say this is 30 times as high as a normal year."
Rimjin-gang is an independent publisher based in Osaka, Japan, that operates with undercover journalists inside North Korea.

None of the North Korean residents was named fully in the report and it was impossible to confirm its contents, although the organization said its reporters had visited the region.


narudia tena akili yako ni ndogo kiasi cha kuamini report hii wakati report yenyewe inaonyesha ni taarifa za romours
yaani wamekwandikia hivi "It was impossible to verify the report independently"

lakini bado huelewi, hata wenyewe wanasema isingewezekana kuthibitisha ripoti ile. ni yale yale, kuwa haya yote hayapaswi kuaminiwa ama kuaminika mpaka uchunguzi wa kuthibitisha haya uhakikishe kuwa ni kweli ama ni uongo.

ni katika maelezo hayahaya wakaona haitoshi wakakwambia tena kuwa

"it was impossible to confirm its contents"
bado Nyani Ngabu akili yake haimtoshi kuelewa kuwa yaliyoelezwa hapa si ya kuaminika kabisa maana haikuwezekana kuthibitisha na yanabakia kuwa ni madai na si ukweli.


A report by the U.N. World Food Programme published in November estimated that overall food production rose by 10 percent for the 2012 and 2013 early season harvest, leaving a staple food deficit of 207,000 metric tons - something it said was "the lowest in many years."

wazee wa kukisia wakaja na kukisia. alafu huyu jamaa anayejiita nyani yeye anasema huo ndio ushahidi wenye takwimu za kufikirika.



, a humanitarian news service run by the Thomson Reuters Foundation, visited South Hwanghae in October 2011 and saw first-hand evidence of malnutrition at orphanages.


hawa ndio walikuwa zaidi ya wajinga, yaani wanasema huu ndio ushahidi wa kwanza kuwa Korea ya kasikazini ina utapiamulo.

walienda kwenye nyumba ya watoto yatima wakawakuta wanautapiamulo.

sasa kweli watoto wenyewe ni yatima na sijui huyo aliyekuwa anawatunza alikuwa na uwezo gani, hata kama ni kweli waliwakuta sasa hao ndio wawe ushahidi wa nchi wakati tatizo lao linaeleweka kuwa hawana wazazi.

hapa Tanzania tuna vituo vingapi vya watoto yatima vilivyo katika hali mbaya sana na vimekuwa vikilipotiwa tena vingine vya albino.

sasa ndio tuseme na tanzania ina tatizo la njaa kisa vituo hivyo?

akili ndogo ni tatizo sana.

Despite an improvement in the overall food picture in the North, the need to feed the army and ensure supplies to the capital Pyongyang, the showcase city and core support base for the government, meant it was possible there were regional famines that have not been reported, experts said.


hii sijui niite ni riwaya ama mashairi.

yaana wazee wa Reuters walikaa mezani wakafikiria, wakasema unajua pamoja na kwamba kuna ongezeko la uzalishaji wa chakula, mahitaji ya kuwalisha wanajeshi na kupeleka chakula mji mkuu yanamaanisha kwamba ilikuwa inawezekana kulikuwa na njaa ambayo haikuripotiwa.

hii inathihirisha ni habari ya kutunga na ya kufikirika.

nataka ushahidi na si habari ya kufikirika kiasi hiki.

a want evidencial report not this hypothetical report you brought.



NOT EVERYONE GETS RATIONS

"Sporadic famines in separate areas are quite commonplace. Something like this is completely understandable," said Jeung Young-tae, senior research fellow at the Center of North Korean Studies at the Korea Institute for National Unification.
"There is a huge difference in the amount of food available to the common people and the people in the government and the military. There are basically no rations given to the common North Korean people," he said.
A nationwide famine in the 1990s killed a million North Koreans and the country's fragile economy is smaller than it was 20 years ago, according to independent estimates.


hapa ndio ushahidi wao hao jamaa,

wanasema fulani alisema, mara watasema aliongeza.

hizi habari za kusema nimesikia ,nimeleewa,nimeambiwa alafu unazifanya kuwa ushahidi ni hatari sana.

hizi habari zote za kusikia,kuambiwa, zinahitaji verification na hakuna mahali popote kuna ushahidi ambapo hizi taarifa zilikuwa verified.

na zinabakia kuwa ni exaggerated western propaganda.



mwisho hiyo vedeo ya mtu mmoja umeniwekea hapa ni njaa ya mtu mmoja ambayo hata hapa kwetu wapo watu hawana kabisa chakula lakini sababu zinatofautiana na huwezi kusema kuna njaa kisa mmoja anasema yeye hakuwa na chochote.




Swala la uwezo wa korea kijeshi ni kubwa kwa kuwalinganisha na ndugu zao korea ya kusini na haya mazoezi ya makomandoo mnayoyabeza ni mazoezi ya ukakamavu lakini wakienda vitani ndo wanabeba hayo makombora yao ya nyukilia.
 
Last edited by a moderator:
KWANZA NILIKUTAKA UNILETEE TAARIFA NA UMELETA.

Vipi, niongeze?

PILI NILIKUTAKA UNILETEE USHAHIDI KUWA KOREA YA KASIKAZINI KUNA NJAA KWA SIKU ZA HIVI KARIBUNI.

Hebu fasili kwanza "SIKU ZA HIVI KARIBUNI" ili tuwe kwenye ukurasa mmoja. Kama hujui maana ya neno 'fasili' sema uambiwe.

sikuwa na maana kuwa hakuna taarifa na sikusema hakuna taarifa bali nilichosema ni kwamba kitu hiki kilikuwepo miaka ya tisini na mpaka nikawa nakushangaa hizi taarifa za uhakika umezitoa wapi maana mimi pamoja na ufatiliaji wote sijaziona taarifa zenye uhakika kwa hili.

Hebu na wewe niwekee hapa ushahidi unaoonyesha kwamba hicho kitu kilikuwepo miaka ya 90 (ingawa hakuna popote pale ulipoandika kuwa hicho kitu kilikuwepo miaka ya 90!!!).

kila kitu kinaweza kuwa taarifa, uongo unaweza kusomwa kama taarifa sawasawa na ukweli unavyoweza kusomwa kama taarifa.

Kwa hiyo?

uongo pia unaweza kuandikwa kama taarifa,kama unavyoweza kuuandika ukweli.

Okay....

anything can be a news whether is true or not, anything can be written whether is true or not.

Bwahahahahahaaa! Hebu nenda kwa Ras Simba ukapigwe msasa wa Kiingereza wewe! "anything can be a news" ndo nini sasa? Don't be throwing stones when you still live in a glass house.

SASA KAMA NILIVVYOSEMA, ILIANDIKWA KUWA TANZANIA NI MIONGONI MWA NCHI AMBAZO WATU WAKE WANAONGOZA KWA KUWA NA UWEZO MDOGO SANA WA KUFIKIRIA DUNIANI, nilisema huu utafiti huenda ni wa kweli kama watu wengi watakuwa kama wewe maana umesoma maelezo yote ila umetumia uwezo wako mdogo sana wa kufikiri ukakimbiakimbia kuniletea ushahidi unaokuabisha kwa mara nyingine hapa.

Unapoishia kumshambulia mtoa hoja maana yake ni kwamba wewe huna hoja. Onyesha uwezo wangu mdogo kwa kuzipangua na kuzisambaratisha hoja zangu. Kuhoji uwezo wangu wa kiakili kunaonyesha jinsi wa kwako ulivyo.

Huu ni ushauri. You can take it or leave it alone.

taarifa na ushahidi wako ni kama hapa ulivyonitaka nibofye. na nilipobofya haya ndio maelezo yake.

Haya, twende kazi.


nadhani hapa tatizo ni kiingereza kinakupiga chenga.

Pwa! ha! ha! ha! ha!

Really? Kiingereza kinanipiga chenga mimi? Umenichekesha kweli.

huwezi kuombwa taarifa na ushahidi popote alafu unaleta ushahidi unasema.

"alafu" ndo nini?

"may have killed thousands of people"

Kuna aina ngapi za ushahidi? Na wewe ulitaka ushahidi wa aina gani?

haya maneno yanafuta credibility yote ya taarifa hii na inakuwa ni taarifa ya kufikirika na inahitaji kufanyiwa uchunguzi kujua kama ni kweli ama si kweli.

Kwa nini yanafuta credibility? Wewe unao ushahidi unaopingana?

watu wenye akili ndogo wanaweza kuleta taarifa na ushahidi wa namna hii.

Jinsi ulivyong'ang'ana kuidhihaki akili yangu hakika kunaonyesha jinsi usivyojiamini na hiyo ya kwako!

yaani hata walioandika hawana uhakika na taarifa yao alafu wewe unasema hii ndio taarifa inayokuthibitishia uwepo wa njaa korea ya kasikazini.

Bwana maakili mengi, hivi "alafu" ndo nini lakini? Halafu, wewe una ushahidi gani kuwa Korea Kaskazini hakuna uhaba wa chakula?

narudia tena akili yako ni ndogo kiasi cha kuamini report hii wakati report yenyewe inaonyesha ni taarifa za romours
yaani wamekwandikia hivi "It was impossible to verify the report independently"

Haya, ikatae basi na hii makala ya The Guardian.

For nearly three decades a chronic food emergency has gripped North Korea. In the 1990s a famine killed up to five per cent of the pre-crisis population.
Humanitarian activities by the UN's World Food Programme (WFP) and private relief groups constitute the longest ongoing engagement between the hermit state and the international community. But the North Korean regime's actions create an ethical conundrum which may be reaching its breaking point.
The long-running food crisis is the outcome of decades of economic mismanagement and a political system that absolves its leadership of any real accountability.
The country is cold and mountainous, but government has pursued an irrational policy of national self-sufficiency, instead of exporting industrial products, earning foreign exchange, and importing bulk grains, as its neighbours China, South Korea, and Japan do. The result has been environmental degradation and recurrent shortages.
The most recent Unicef survey suggests that 10% of the country's two-year-olds are afflicted with severe stunting. Stunting of that degree at that age is irrecoverable and confers a lifetime of physical and mental challenges.

Bofya hapa kwa makala nzima.

lakini bado huelewi, hata wenyewe wanasema isingewezekana kuthibitisha ripoti ile. ni yale yale, kuwa haya yote hayapaswi kuaminiwa ama kuaminika mpaka uchunguzi wa kuthibitisha haya uhakikishe kuwa ni kweli ama ni uongo.

Zikatae basi na hizi taarifa kutoa WFP (World Food Programme).

Tuanze na hii:

Millions of people in DPRK are experiencing hunger not seen in almost a decade, according to the findings of a new UN assessment in the east Asian country.
"Millions of vulnerable North Koreans are at risk of slipping towards precarious hunger levels," said Jean-Pierre de Margerie, UN WFP Country Director for DPRK at a press conference today in Beijing. "The last time hunger was so deep and so widespread in parts of the country was in the late 1990s."

Joint UN assessment
The RFSA covered 53 counties in eight provinces (Ryanggang, North Hamgyong, South Hamgyong, Kangwon, North Hwanghae, South Hwanghae, South Phyongan, Pyongyang). Experts visited hundreds of households, child institutions and hospitals across the country in the most comprehensive assessment on food and nutrition conducted in DPRK since 2004. Key findings indicate:


  • Food availability, accessibility and utilization have deteriorated sharply since 2007.
  • Close to three quarters of the households have reduced their food intake.
  • More malnourished and ill children are being admitted to hospitals and institutions.
  • Diarrhoea caused by increased consumption of wild foods was one of the leading causes of malnutrition amongst children under five.
  • Scavenging for wild foods"We've found that many more people are now scavenging for wild foods which provide little nourishment and are difficult to digest. Food assistance to reach the hungry is urgently needed," said de Margerie.
    To meet the growing needs, WFP is planning a new operation to target the most vulnerable women, children and elderly people in eight of the country's ten provinces, valued at approximately US$500 million. The two remaining provinces, Chagang and North Phyongan, will be covered by a parallel food aid operation run by US NGOs.
Bofya hapa uende moja kwa moja kwenye tovuti ya WFP ili uweze kusoma kwa kirefu.

ni katika maelezo hayahaya wakaona haitoshi wakakwambia tena kuwa "it was impossible to confirm its contents"
bado Nyani Ngabu akili yake haimtoshi kuelewa kuwa yaliyoelezwa hapa si ya kuaminika kabisa maana haikuwezekana kuthibitisha na yanabakia kuwa ni madai na si ukweli.

Sawa, wewe endelea tu kuitusi akili yangu. Ikatae basi na hii habari ya UNICEF.

NEW YORK, USA, 7 April 2011 – The Democratic People's Republic of Korea (DPRK) is running out of food. About a quarter of the population – some 6 million people – don't have enough to eat, according to a new report by UN agencies. Nearly a million of them are children under the age of five.

The UN assessment – conducted by UNICEF, the World Food Programme and the Food and Agriculture Organization – was done with unprecedented access to families in the country. Food is rationed in DPRK and authorities say that public distribution centres will be empty by the end of this month or early next. Unless immediate action is taken, the consequences will last much longer.

Many families have only two meals a day and their diet lacks the variety needed for good nutrition, with very little meat or fat. Stunting rates among young children are as high as 40 per cent in rural areas and 20 per cent in urban ones. Source.

Ngoja niweke na video kabisa ya mwakilishi wa UN aliyekuwa huko Korea Kaskazini akizungumzia matatizo ya chakula. Ikatae na vii video basi, sawa?



wazee wa kukisia wakaja na kukisia. alafu huyu jamaa anayejiita nyani yeye anasema huo ndio ushahidi wenye takwimu za kufikirika.

Ikatae na hii habari kutoka BBC.

North Korea admits food shortages

North Korea has made a rare admission that the country faces food shortages and needs help from outside, an aid official has said.Pyongyang has asked the World Food Programme to expand its assistance to meet the gap, the WFP's regional director Tony Banbury said.
In recent years, the North has cut back the work of the WFP and other agencies.

Bofya hapa kwa habari zaidi.

hawa ndio walikuwa zaidi ya wajinga, yaani wanasema huu ndio ushahidi wa kwanza kuwa Korea ya kasikazini ina utapiamulo.

walienda kwenye nyumba ya watoto yatima wakawakuta wanautapiamulo.

sasa kweli watoto wenyewe ni yatima na sijui huyo aliyekuwa anawatunza alikuwa na uwezo gani, hata kama ni kweli waliwakuta sasa hao ndio wawe ushahidi wa nchi wakati tatizo lao linaeleweka kuwa hawana wazazi.

hapa Tanzania tuna vituo vingapi vya watoto yatima vilivyo katika hali mbaya sana na vimekuwa vikilipotiwa tena vingine vya albino.

sasa ndio tuseme na tanzania ina tatizo la njaa kisa vituo hivyo?

akili ndogo ni tatizo sana.

Teh teh teh...you are comical. Ikatae basi na hii video.



hii sijui niite ni riwaya ama mashairi.

yaana wazee wa Reuters walikaa mezani wakafikiria, wakasema unajua pamoja na kwamba kuna ongezeko la uzalishaji wa chakula, mahitaji ya kuwalisha wanajeshi na kupeleka chakula mji mkuu yanamaanisha kwamba ilikuwa inawezekana kulikuwa na njaa ambayo haikuripotiwa.

hii inathihirisha ni habari ya kutunga na ya kufikirika.

nataka ushahidi na si habari ya kufikirika kiasi hiki.

a want evidencial report not this hypothetical report you brought.

Hizo taarifa za WFP na UNICEF unazikataa? Na hiyo ya BBC je?


hapa ndio ushahidi wao hao jamaa,

wanasema fulani alisema, mara watasema aliongeza.

hizi habari za kusema nimesikia ,nimeleewa,nimeambiwa alafu unazifanya kuwa ushahidi ni hatari sana.

hizi habari zote za kusikia,kuambiwa, zinahitaji verification na hakuna mahali popote kuna ushahidi ambapo hizi taarifa zilikuwa verified.

na zinabakia kuwa ni exaggerated western propaganda.

Kataa basi hata anachosema mkurugenzi mtendaji wa WFP.



mwisho hiyo vedeo ya mtu mmoja umeniwekea hapa ni njaa ya mtu mmoja ambayo hata hapa kwetu wapo watu hawana kabisa chakula lakini sababu zinatofautiana na huwezi kusema kuna njaa kisa mmoja anasema yeye hakuwa na chochote.

Wewe naona uko determined kukataa chochote kile kuhusu njaa za huko Korea Kaskazini. Haya kataa basi na ushuhuda wa Valerie Amos.



Swala la uwezo wa korea kijeshi ni kubwa kwa kuwalinganisha na ndugu zao korea ya kusini na haya mazoezi ya makomandoo mnayoyabeza ni mazoezi ya ukakamavu lakini wakienda vitani ndo wanabeba hayo makombora yao ya nyukilia.

Hawana lolote hao DPRK. Kama hata kujilisha hawawezi basi hata vita vya karne ya 21 hawataviweza, period, end of sentence!
 
Last edited by a moderator:
nimekuwa msomaji na mfatiliji mkubwa sana wa mataifa haya mawili URUSI na MAREKANI.

huwezi kunidhibitishia kuwa MAREKANI ina UWEZO wa kuishinda URUSI.

kwa kifupi sana nitakuelimisha juu ya hisoria ndefu ya haya mataifa.

vita baridi ilikuwa inahusu mambo mawili.

1.UCHUMI.(superiority of world economy or super power economy)
2.UWEZO WA KIJESHI.(superiority of world military capability or military super power)

historia ni ndefu sana lakini ilionekana theory rahisi ilikuwa kushinda kwanza nguvu ya uwezo wa kijeshi ili ushinde nguvu ya uchumi.

1988 marekani ilizidiwa katika uwezo wa kijeshi na ilisalimu Amri na waliamriwa kushusha makombora yao waliyokuwa wameweka Uturuki ili waishambulie Urusi, shariti hili ilikuwa litekelezwe kwanza ndio Urusi ikubali kushusha makombora yake iliyoyaweka Cuba ili kuishambulia marekani.

kwa kifupi Marekani ndio waziwazi imewahi kukiri kushindwa na Urusi katika vita ya Vifaa vya kijeshi.

baada ya hapo Marekani ndio ikabadili theory ya kuishinda Urusi na ikaja na mpango wa kuisambaratisha Urusi wa kuua Muungano wake.

hapa ndipo Marekani ilishinda na kufanikiwa. hapa hakukuwa na maswala ya uwezo wa vifaa vya kivita.

kutokana na URUSI KUSAMBARATIKA.

Marekani ilishinda vita ya ukuu wa uchumi Duniani na mpaka sasa inajulikana America is a Super power.

ukisikia super power ya Marekani sio kwenye silaha bali ni kwenye uchumi.


Toka 1991 Urusi iliposambaratika Marekani iliamini kuwa Urusi isingeedelea tena kutaka kupambana na Marekani kwenye ukuu wa silaha.

kukudhihirishia kuwa hii vita ya ukuu wa kijeshi haikuwahi kabisa kuisha na wala marekani haikuwahi kabisa kushinda.

tafuta kwenye mtandao ndege ya marekani ijulikanayo SR 71(blackbird)

hii ni ndege hatari zaidi iliyokuwa chini ya marekani na ilinonekana kuitesa Urusi.(taarifa za mashuhuda ambao ni malubani wa Marekani na wale wa Urusi ndizo zilikuja kudhidhirisha haya)

kwa kifupi sana, ndege hii ilikuwa na kasi kushinda kasi ya ndege zote za Urusi na ajabu zaidi ikashinda kasi zote za makombora ya Urusi. ilikuwa inatembea kwa kasi ya mita 1,023 kwa sekunde moja.

wakati Urusi ikiwa imeshasambaratika 1998 walifanikiwa kutengeneza ndege hatari ya Mig 31.

hii ndegeya URUSI ilisababisha ndege zote za SR 71 za marekani kusitaafishwa ghafla mwaka 1998 baada ya wamarekani kuipeleka SR 71 Urusi kama walivyozoea kuwa hakuna silaha wala kombora la kuifikia kwa kasi yake hata ilipolengwa na makombora ama kukimbizwa na ndege za urusi. wakati huu SR ilikutana na Mig 31 na ikadhibitiwa vilivyo na haikufua dafu na ilikuwa mshituko kwa marekani na mwaka huohuo wa 1998 marekani ikatangaza kuzistaafisha ndege zote za SR 71 na wakatangaza mpango wa kuunda ndege ya SR 72 ili waweze kupambana na ndegeya Mig 31.

hii Mig 31 ilikuwa na kasi zaidi ya SR 71.

huu ni mfano mmoja tu nimekupa kuhusu uhalisia kuwa marekani haikuwahi kushinda vita ya technolojia wala ya silaha.

ALAFU LAZIMA UJUE KITU KIMOJA MUHIMU SANA.

marekani inatangaza sana taarifa na propaganda zake tofauti na Urusi.

inawezekana propaganda za marekani zimekuaminisha kuwa ina nguvu sana kushinda Urusi.

ila wamarekani wenyewe wanajua ukweli kuhusu nguvu za Urusi na wana ushahidi wa kihistoria na kiujasusi wa kushidwa mara nyingi na urusi kimyakimya wakati wao huwa ni wa kwanza kutangaza alafu urusi huwa mara nyingi ni ya kwanza kufikia mafanikio.

nikupe mfano mmoja.

kuna kitabu kikubwa sana cha NASA kinachoelezea historia ya mambo ya anga miaka 1980 kikiandikwa .

ukisoma Mule ndio utajua Urusi ni nani, achana na propaganda, wale ni wazee wa kimyakimya.

kitabu kimechapwa miaka ya 1980s kwa kumbukumbu yangu na kilitungwa mahususi kwa ajili ya kumkumbuka mwanaanga mmoja huko marekani na shirkia la NASA jina simkumbuki maana siko nacho hapa ila nikikipata nitakwambia jina la kitabu hicho ili usome mwenyewe.

vita baridi ilikoleza zaidi mafanikio vita ya anga kwa urusi na marekani.

lakini kila marekani ilipotangaza kupeleka chombo chao angani urusi ilikuwa kimya, lakini kabla hajafanya hivyo Urusi ilirusha chombo chake kwa mafanikio makubwa,Marekani ilipotangaza kuipiku urusi kwa kupeleka chombo kwenye Orbit Urusi ilikuwa kimya lakini kabla ya marekani haijafanikiwa Urusi ilirusha chombo chake na kukifikisha kwenye orbit.

marekani ilipotangaza kupeleka chombo mwezini Urusi ilikuwa kimya, lakini kabla Marekani haijafanikiwa Urusi ilirusha chombo chake na kilitua salama mwezini na vifaa vya Uingereza vilithibitisha kuwa kweli hicho chombo kinaonekana kipo mwezini.

nimelazimika kukupa haya machache sana juu ya tabia ya Urusi na Tabia ya Marekani.

Urusi ni wazee wa kimyakimya lakini ni watu hatari sana na wamarekani wanalijua hili na ndio maana ukitafuta taarifa za urusi kuhusu silaha ni jambo lenye usiri mkubwa sana tofauti na marekani wazee wa kupayuka na kuropoka.

Kwa sasa marekani wana dege hatari sana lijulikanalo F22 hili dege ni balaa, achana na habari za B52 ama B2 ambazo ni nuclear capable. hili dege ni balaa.

mrusi alishajibu mapigo haya kwa dege lake lijulikanalo kama T50 .

hizi ndizo ndege hatari zaidi kwa karne ya sasa.

ndege pekee duniani yenye uwezo wa kuidhibiti F22 ni T50.

kwa sasa ndege za kivita zinaenda generation ya sita. huku ulaya wakiwa wameachwa mbali maana mpaka sasa hawajaweza kuyafikia mataifa haya mawili kutengeneza ndege ya generation ya 5 wakati Urusi na Marekani sasa wakiwa kwenye harakati za kutengeneza generation ya sita ya ma-drones.

pia URUSI na MAREKANI ndio mataifa pekee hayanunui slaha bali yanajitengenezea silaha.

nina mambo mengi ya kuchambua lakini niishie hapa.

wala swala la nuclear si tishio sana kwa mataifa haya kwa kuwa yana interceptors za kipekee kupangua hata hayo makombora.

mwisho kuna watu wanadhani drones(UAVs) ni technolojiia ya marekani pekee huku kumbe urusi wana drones zao japo ni wazee wa kimyakimya.
Kaka nashukuru kwa nondo kama hizi. Kiukweli sijafuatilia haya mambo kwa muda sasa ila uchambuzi wako nimeukubali japokuwa uko baised kiasi fulani.

Pale juu nimeandika "UWEZEKANO WA MAREKANI KUSHINDA NI MKUBWA" sikusema ni lazima Marekani ashinde kwa kuwa natambua vita ni zaidi ya uwezo wa kisilaha na fedha na ndio maana wavietnam japokuwa waliumia sana lakini walimsimamisha Mmarekani huyohuyo. Kimsingi pamoja na yote uliyoandika officially Marekani ndio taifa lenye nguvu kubwa zaidi za kijeshi duniani kuliko mataifa yote na ndio wenye bajeti kubwa zaidi ya kijeshi kiasi kwamba bajeti ya Marekani pekee ni kubwa kuliko mataifa 14 yanaiyofuatia yakijumuishwa kwa pamoja.

Hivyo basi pamoja na uwezo wa Russia ukweli unabaki palepale kuwa sababu inayofanya Marekani asipigane na Urusi ni gharama kubwa ya vita hiyo. Hawa wakipigana mwisho wa vita watakuwa masikini pengine kuliko taifa lolote duniani na hapo ndio watamuachia China na India usukani. Wao sio wajinga kiasi hicho ndio maana huwa wanapigana mikwara mbuzi tu lakini mwisho wa siku inabidi wakubaliane au wakubaliane kutokukubaliana. Sana sana huwa wanapimana nguvu kwa kutumia proxy wars kama Afghanistan, hapo Syria na hata North/South Korea conflict.
 
KWANZA NILIKUTAKA UNILETEE TAARIFA NA UMELETA.

PILI NILIKUTAKA UNILETEE USHAHIDI KUWA KOREA YA KASIKAZINI KUNA NJAA KWA SIKU ZA HIVI KARIBUNI.

Nilijua usingeweza kurudi tena baada ya kukutwanga na nondo za uhakika.
 
The US lost 50 thousand some odd service members.

The Vietnamese lost between 800,000 and 3.1 mil.

I repeat, America did not militarily lose that war.
Mkuu it seems you are not even well placed to know the reasons why America lost the war in Vietnam.
Numbers are not everything, and sometimes hightech may even be not in USA' s favour, try this
Why did America lose the war?

The differences between the Americans and the Vietcong

Americans

The American hi-tech tactics continually killed the wrong people and demoralised their own troops.

Vietcong
The Vietcong's guerrilla tactics were appropriate to the nature of the conflict.


Americans
The US was trying to supply a war 8,000 miles from America.

Vietcong
The Vietcong were supplied with weapons by China and Russia.


Americans
The South Vietnamese (USA ally)regime was weak, brutal and corrupt.

Vietcong
The South Vietnamese peasants supported and sheltered the Vietcong.

Americans

Their short (one-year) tour of service meant that American troops were always inexperienced.

Vietcong
The Vietcong had been continuously at war since they resisted the Japanese during the Second World War.

Americans

The morale of Americans soldiers was rock bottom - they took drugs, shot their officers ('fragging') and deserted.

Vietcong
The Vietcong were fanatically determined to drive out the Americans, whatever the cost.(and they did drive out the Americans)

The war became very unpopular in the US, and lost public support.

Mkuu soma sana historia na uielewe
 
Mkuu it seems you are not even well placed to know the reasons why America lost the war in Vietnam.
Numbers are not everything, and sometimes hightech may even be not in USA' s favour, try this
Why did America lose the war?

The differences between the Americans and the Vietcong
Americans

The American hi-tech tactics continually killed the wrong people and demoralised their own troops.

Vietcong
The Vietcong's guerrilla tactics were appropriate to the nature of the conflict.


Americans
The US was trying to supply a war 8,000 miles from America.

Vietcong
The Vietcong were supplied with weapons by China and Russia.


Americans
The South Vietnamese (USA ally)regime was weak, brutal and corrupt.

Vietcong
The South Vietnamese peasants supported and sheltered the Vietcong.

Americans

Their short (one-year) tour of service meant that American troops were always inexperienced.

Vietcong
The Vietcong had been continuously at war since they resisted the Japanese during the Second World War.

Americans

The morale of Americans soldiers was rock bottom - they took drugs, shot their officers ('fragging') and deserted.

Vietcong
The Vietcong were fanatically determined to drive out the Americans, whatever the cost.(and they did drive out the Amercans)

The war became very unpopular in the US, and lost public support.

Mkuu soma sana historia na uielewe

You are the one who brought up the numbers. I didn't.

Militarily, America did not lose the war.

Now, can you process nuance?
 
You are the one who brought up the numbers. I didn't.

Militarily, America did not lose the war.

Now, can you process nuance?
Yeah I brougt up the numbers, and for good reasons too!
Try googlig the My Lai massacre, one of the many atrocities commited by The US of A.
And it was one massacre of many, contributing to the numbers.

Militarily they did not lose?
Makes your argument a bit absurd, yet the Americans were overun by the highly motivated Vietnamese!
 
Yeah I brougt up the numbers, and for good reasons too!
Try googlig the My Lai massacre, one of the many atrocities commited by The US of A.
And it was one massacre of many, contributing to the numbers.

Militarily they did not lose?
Makes your argument a bit absurd, yet the Americans were overun by the highly motivated Vietnamese!

You obviously can't process nuance.
 
Watu wengine bwana,wamarekani wenyewe wanasema walishindwa vita mtu kutoka tanganyika anabisha,kazi ipo
 
wanyarwanda bwana, ule ni ukakamavu walikuwa wanaonyesha sasa peleka domo lako pale uone, pili jeshi la tanzania liko imara sana kwa kila angle so usipende kudis vitu ambavyo havina maana, then usipende kudhihaki jeshi bila sababu ya msingi
 
wanyarwanda bwana, ule ni ukakamavu walikuwa wanaonyesha sasa peleka domo lako pale uone, pili jeshi la tanzania liko imara sana kwa kila angle so usipende kudis vitu ambavyo havina maana, then usipende kudhihaki jeshi bila sababu ya msingi

Hahah inaonekana una matatizo upstairs,Rwanda imetoka wap hapa?
 
Nilijua usingeweza kurudi tena baada ya kukutwanga na nondo za uhakika.

sijawahi kukimbia mjadala toka nizaliwe na haitakuja kutokea katika maisha yangu.

na usifikiri uliyoyaeleza yako sahihi kunifanya nikimbie.

kuna mengi bado umeleta ya kushangaza na umezidi kuonyesha uwezo mdogo huku ukidhani umeandika mambo ya kunikimbiza. nitakujibu tu.

mimi huwa sipendi kukwepa hoja hata moja, na sipendi kujibu kwa ujumla jumla, na nilikuwa bussy kuandika kwa kuwa umetoa mlolongo wa mambo mengi na ninahitaji muda wa kuchambua na kutolea majibu kila hoja na kila sentensi.

huwa sikimbii bro na sijawahi kufanya hivyo.wewe tulia naja.

japo si sasa maana niko bussy.
 
Back
Top Bottom