Makomandoo wa North Korea

Makomandoo wa North Korea

Kaka nashukuru kwa nondo kama hizi. Kiukweli sijafuatilia haya mambo kwa muda sasa ila uchambuzi wako nimeukubali japokuwa uko baised kiasi fulani.

Pale juu nimeandika "UWEZEKANO WA MAREKANI KUSHINDA NI MKUBWA" sikusema ni lazima Marekani ashinde kwa kuwa natambua vita ni zaidi ya uwezo wa kisilaha na fedha na ndio maana wavietnam japokuwa waliumia sana lakini walimsimamisha Mmarekani huyohuyo. Kimsingi pamoja na yote uliyoandika officially Marekani ndio taifa lenye nguvu kubwa zaidi za kijeshi duniani kuliko mataifa yote na ndio wenye bajeti kubwa zaidi ya kijeshi kiasi kwamba bajeti ya Marekani pekee ni kubwa kuliko mataifa 14 yanaiyofuatia yakijumuishwa kwa pamoja.

Hivyo basi pamoja na uwezo wa Russia ukweli unabaki palepale kuwa sababu inayofanya Marekani asipigane na Urusi ni gharama kubwa ya vita hiyo. Hawa wakipigana mwisho wa vita watakuwa masikini pengine kuliko taifa lolote duniani na hapo ndio watamuachia China na India usukani. Wao sio wajinga kiasi hicho ndio maana huwa wanapigana mikwara mbuzi tu lakini mwisho wa siku inabidi wakubaliane au wakubaliane kutokukubaliana. Sana sana huwa wanapimana nguvu kwa kutumia proxy wars kama Afghanistan, hapo Syria na hata North/South Korea conflict.

bro sijawa biased.

unaposema Marekani ina uwezekano mkubwa wa kushinda lazima uwe na sababu ambazo zinawapa nafasi kubwa.

mimi nilichofanya nikukuonyesha tu kuwa advantage hiyo haipo kwa sababu huwezi kutabiri hapa na sababu ni rahisi tu.

kuna muda wamarekani wanaipiku urusi kwa muda mfupi kwa jambo hata moja lakini warusi wana counter attack haraka sana, kuna muda urusi nayo inaipiku marekani na marekani inacounter attack haraka sana.

hiyo advantage unayoisema ya marekani mimi siioni.

na nilikupa tu historia fupi sana ya nani alikuwa anashindwa na ni wakati gani.

lakini historia inaonyesha marekani ndiye alishindwa mara nyingi kuliko yeye alivyoshinda.

na ukumbuke kwa muda mrefu marekani amekuwa akitumia mgongo wa NATO lakini Urusi ni Taifa moja tu linalopambana na mataifa lukuki na warusi wanaju salama yao Ni kuweka kwenye silaha.

Sir Eisten alisema"sifahamu vita ya tatu ya dunia itapigwanwa kwa kutumia silaha zipi, lakini nina uhakika vita ya nne ya dunia itapiganwa kwa kutumia fimbo na mawe"

tafakari sana huu usemi.

alafu kuhusu kujaribisha silaha kwenye vita za wengine.

haya mataifa huwa hayapeleki silaha zake hatari zaidi kwenye majaribio ya vita nyingine kwa sababu ya siri na ulinzi.

siri nyingi za siaha huwa zinakuja kusemwa baada ya muda mrefu kupita na wakati huo walishaenda level nyingine ya silaha.

HIVI UNAJUA KUNA SILAHA YA HALI YA HEWA.

hii silaha pia inasemakana mrusi inampa jeuri na huenda amefikia hatua nzuri ,lakini hata mmarekani amewahi kuifanyia utafiti silaha hii.

hii silaha japo inasemekana inawezakuzuiwa chini ya sheria za kuzuia silaha za maangamizi.

wanadai wanaweza kufanya volcano ilipuke sehemu yoyote na kusababisha mafuliko, ama kubadili hali ya hewa na kuleta vimbunga na kusababisha mafuliko makubwa.

yapo mengi sana lakini hawa jamaa si rahisi kusema nani atashidwa ama atashinda hiki ndicho nachojua mimi.


mathalani kuna watu wengi hawaelewe kuwa hata waanzilishi wa technolojia ya anga marekani baadae ikazaliwa NASA ni Warusi. na technolojia hii imeanzishwa na Ujerumani chini ya Hiltler na ikaenda Urusi na Urusi ndio wakaipeleka marekani.

na hata sasa marekani haina chombo cha kupeleka wanasayansi wake kwenye kituo cha utafiti kilichojengwa angani, kinajulikana kama Internationla Space Station(ISS) au International Space Center(ISC).

kwa sasa ili wafike huko hao marekani wanategemea chombo cha Urusi kiitwacho Soyuz lakini ni wangapi wanajua hili?

hiki ndicho chombo pekee kinachotumika sasa na mmarekani hana baada ya Space Challenger kustaafu baada ya kuzeeka.

hawa wanajuana izuri sana na wanaogopana kuliko sisi tunavyoweza kufikiria.

SIJAHARIRI MAANDISHI.
nina muda sana
 
bro sijawa biased.

unaposema Marekani ina uwezekano mkubwa wa kushinda lazima uwe na sababu ambazo zinawapa nafasi kubwa.

mimi nilichofanya nikukuonyesha tu kuwa advantage hiyo haipo kwa sababu huwezi kutabiri hapa na sababu ni rahisi tu.

kuna muda wamarekani wanaipiku urusi kwa muda mfupi kwa jambo hata moja lakini warusi wana counter attack haraka sana, kuna muda urusi nayo inaipiku marekani na marekani inacounter attack haraka sana.

hiyo advantage unayoisema ya marekani mimi siioni.

na nilikupa tu historia fupi sana ya nani alikuwa anashindwa na ni wakati gani.

lakini historia inaonyesha marekani ndiye alishindwa mara nyingi kuliko yeye alivyoshinda.

na ukumbuke kwa muda mrefu marekani amekuwa akitumia mgongo wa NATO lakini Urusi ni Taifa moja tu linalopambana na mataifa lukuki na warusi wanaju salama yao Ni kuweka kwenye silaha.

Sir Eisten alisema"sifahamu vita ya tatu ya dunia itapigwanwa kwa kutumia silaha zipi, lakini nina uhakika vita ya nne ya dunia itapiganwa kwa kutumia fimbo na mawe"

tafakari sana huu usemi.

alafu kuhusu kujaribisha silaha kwenye vita za wengine.

haya mataifa huwa hayapeleki silaha zake hatari zaidi kwenye majaribio ya vita nyingine kwa sababu ya siri na ulinzi.

siri nyingi za siaha huwa zinakuja kusemwa baada ya muda mrefu kupita na wakati huo walishaenda level nyingine ya silaha.

HIVI UNAJUA KUNA SILAHA YA HALI YA HEWA.

hii silaha pia inasemakana mrusi inampa jeuri na huenda amefikia hatua nzuri ,lakini hata mmarekani amewahi kuifanyia utafiti silaha hii.

hii silaha japo inasemekana inawezakuzuiwa chini ya sheria za kuzuia silaha za maangamizi.

wanadai wanaweza kufanya volcano ilipuke sehemu yoyote na kusababisha mafuliko, ama kubadili hali ya hewa na kuleta vimbunga na kusababisha mafuliko makubwa.

yapo mengi sana lakini hawa jamaa si rahisi kusema nani atashidwa ama atashinda hiki ndicho nachojua mimi.


mathalani kuna watu wengi hawaelewe kuwa hata waanzilishi wa technolojia ya anga marekani baadae ikazaliwa NASA ni Warusi. na technolojia hii imeanzishwa na Ujerumani chini ya Hiltler na ikaenda Urusi na Urusi ndio wakaipeleka marekani.

na hata sasa marekani haina chombo cha kupeleka wanasayansi wake kwenye kituo cha utafiti kilichojengwa angani, kinajulikana kama Internationla Space Station(ISS) au International Space Center(ISC).

kwa sasa ili wafike huko hao marekani wanategemea chombo cha Urusi kiitwacho Soyuz lakini ni wangapi wanajua hili?

hiki ndicho chombo pekee kinachotumika sasa na mmarekani hana baada ya Space Challenger kustaafu baada ya kuzeeka.

hawa wanajuana izuri sana na wanaogopana kuliko sisi tunavyoweza kufikiria.

SIJAHARIRI MAANDISHI.
nina muda sana
Aisee mbona unakuwa mbishi bila sababu hebu google basi uwezo wa kijeshi wa hizi nchi 2. Halafu kwenye kutabiri tunachoweza kufanya ni kutumia details zilizopo sio historia na hizo unazoita siri. Kwanza kama ni siri wewe umejuaje??

Unaleta ubishi kwa kitu kinachojulikana wazi. Hapa tunaongelea official data na ndio hata wewe inabidi utumie vinginevyo labda useme wewe ni mtu mkubwa sana kwenye jeshi la Urusi kwa hiyo una data ambazo hatuna. Kitu kingine unasahau kama ni suala la siri hata U.S wanalo au unadhani siri ni haki miliki ya warusi peke yao??!!!
 
Aisee mbona unakuwa mbishi bila sababu hebu google basi uwezo wa kijeshi wa hizi nchi 2. Halafu kwenye kutabiri tunachoweza kufanya ni kutumia details zilizopo sio historia na hizo unazoita siri. Kwanza kama ni siri wewe umejuaje??

Unaleta ubishi kwa kitu kinachojulikana wazi. Hapa tunaongelea official data na ndio hata wewe inabidi utumie vinginevyo labda useme wewe ni mtu mkubwa sana kwenye jeshi la Urusi kwa hiyo una data ambazo hatuna. Kitu kingine unasahau kama ni suala la siri hata U.S wanalo au unadhani siri ni haki miliki ya warusi peke yao??!!!

badala ya kunipa kazi ya ku-google naomba unisnishie hapa sababu na data zinazitoa uwezekano mkubwa kwa marekani kushinda alafu nitakuja kujibu na mufafanua juu ya taarifa hizo.
 
badala ya kunipa kazi ya ku-google naomba unisnishie hapa sababu na data zinazitoa uwezekano mkubwa kwa marekani kushinda alafu nitakuja kujibu na mufafanua juu ya taarifa hizo.
Haya umeshinda maana inaonekana umeshaamua kuamini unachoamini no matter what. Haya warusi ndio wababe mkuu.
 
Napenda sana historia,hyo ndege ya mig31 iliundwa miaka ya 1970,cha kushangaza warusi wenyewe hawakuwa na radar au missiles za kudhibiti ndege yao,ilikuwa inaweza kufika mpaka speed ya march 3.00,mpaka leo hii tanzania inaweza kuangamizwa na hz ndege 5 tu,ndege moja inaweza kulenga ikulu na target nyngne 7 kwa wakat mmoja na kushambulia 4 kwa ufasaha,na inaweza kufanya haya ikiwa nairobi kabla ya kufika dsm
 
sijawahi kukimbia mjadala toka nizaliwe na haitakuja kutokea katika maisha yangu.

na usifikiri uliyoyaeleza yako sahihi kunifanya nikimbie.

Huna lolote we poyoyo. Lete data zako hapa zinazopinga nilichokileta kutoka WFP, UNICEF, UN, na BBC.

kuna mengi bado umeleta ya kushangaza na umezidi kuonyesha uwezo mdogo huku ukidhani umeandika mambo ya kunikimbiza. nitakujibu tu.

Wewe mwenye uwezo mkubwa mpaka sasa hujaleta taarifa zozote zile ambazo zinazoonyesha Korea Kaskazini kuna neema zaidi ya kuandika tu kuwa nilichoweka mimi ni cha kushangaza. Kwa kufanya hivyo wewe ndo unashangaza lakini huna hata uwezo wa kujistukia kuwa unashangaza. Unachekesha.

mimi huwa sipendi kukwepa hoja hata moja, na sipendi kujibu kwa ujumla jumla, na nilikuwa bussy kuandika kwa kuwa umetoa mlolongo wa mambo mengi na ninahitaji muda wa kuchambua na kutolea majibu kila hoja na kila sentensi.

Duh! Yaani inakuchukua siku tatu nzima kujibu mambo ambayo umedai si sahihi? Pwa! Ha! Ha! Ha! Jinga kweli wewe.

huwa sikimbii bro na sijawahi kufanya hivyo.wewe tulia naja.

Mi siyo bro wako wewe. Acha kujipedekeza.

japo si sasa maana niko bussy.

"bussy" ndo nini we Bw. Maakili Mengi?
 
Napenda sana historia,hyo ndege ya mig31 iliundwa miaka ya 1970,cha kushangaza warusi wenyewe hawakuwa na radar au missiles za kudhibiti ndege yao,ilikuwa inaweza kufika mpaka speed ya march 3.00,mpaka leo hii tanzania inaweza kuangamizwa na hz ndege 5 tu,ndege moja inaweza kulenga ikulu na target nyngne 7 kwa wakat mmoja na kushambulia 4 kwa ufasaha,na inaweza kufanya haya ikiwa nairobi kabla ya kufika dsm

Mkuu kama ni kweli hii ni hatari sana.
 
tunapoita self defense unakuwa unaelewa maanake????sio mdawaote drone itafanya kazi kawaulize navy seal kama hawafanyi haya mambo tusiwe haters tuu

Uko sawa kabisaaaa thus just self defense ambayo humsaidia askar katika kupambana pale ambapo tayar ameishiwa labda risasi na vitu vingne na ndio mana wanafundishwa vitu kama uvumilivu nk
 
Afu mbona hayo mambo yote waliofanya ni kawada sana watanzania pia.wanafanya kama yalivyo kama unakumbukumbu nzur kuna makalla flani ihusuyo jeshi la wananch watanzania ilikuwa ikionyeshwa pale TBC1 walienda katika kambi za jeshi ambazo zinahusika na.mafunzo ya level za juu kama u ofisa na comando....
Asa vitu kama hivyo vilionyeshwa sana na.vinawezekana na.kwa kujua hilo zaid tembelea hata sabasaba angalau mwaka mmoja uulize maswali pale kwenye banda lao na utaona baadhi ya video za mafunzo hayo .......

Any question
 
Aisee mbona unakuwa mbishi bila sababu hebu google basi...

mkuu hiyo google si inamilikiwa na wamerekani?!,hudhani kwamba keywords/links zenye taarifa husika zitaipendelea USA?!.nashauri atumie Yandex.
 
Huna lolote we poyoyo. Lete data zako hapa zinazopinga nilichokileta kutoka WFP, UNICEF, UN, na BBC.



Wewe mwenye uwezo mkubwa mpaka sasa hujaleta taarifa zozote zile ambazo zinazoonyesha Korea Kaskazini kuna neema zaidi ya kuandika tu kuwa nilichoweka mimi ni cha kushangaza. Kwa kufanya hivyo wewe ndo unashangaza lakini huna hata uwezo wa kujistukia kuwa unashangaza. Unachekesha.



Duh! Yaani inakuchukua siku tatu nzima kujibu mambo ambayo umedai si sahihi? Pwa! Ha! Ha! Ha! Jinga kweli wewe.



Mi siyo bro wako wewe. Acha kujipedekeza.



"bussy" ndo nini we Bw. Maakili Mengi?

mbona povu jingi?
 
Hahahahaah naona aliona akimeza atakosa katripu ka ughaibuni.

Janja sana le proffeseri. Na ule upimaji wa ile makitu naskia daktari lazima aingize dole kwenye kinyeo..... sasa madaktari wa bongo walivyo na hasira za kukataliwa nyongeza ya mshahara unahisi kingetokea nini?

Ulijuaje kama watiwa kidole kupimwa kama na ww si ulikuwa na busha!????
 
Back
Top Bottom