Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,111
- 136,816
- Thread starter
- #161
How dare you? Mbona hata majeshi ya nchi zilizoendelea tunaona wanafanya show za self defence, ungekuwa kijijini kwenu mtu kama wewe sijui ungefananaje...
Umeona wapi wewe makomandoo wa Kimarekani wakifanya maonyesho ya kuvunja matofali ya mchanga?