.......yapi hayo !?..........tatizo una allergy na ukweli !
Wakuu naomba kujua kama hawa makomandoo ni kama wale ambao huwa nawaona kwenye video.
Kuna mmoja nilipanda nae daladala la posta G/mboto na pale begani pameandikwa kabisa komandoo ,,, ,,,, ,,,.
Sasa napenda kujua mafunzo yao ni kama yale yenyewe kabisa? yani yani yani kabisa yani .....wanauwezo ule wa ukweli kabisa yani kama komando john zile yani?
Israel commandos are the most dangerous! Makomandoo wa tanzania wanapoenda kuwa trained nje ya nchi,huko hawapewi ujuzi wote,a teacher does not provide entire discernings to his students,so hawapewi maarifa yote! So makomandoo wanatofautiana ktk ujuzi,huwezi kufananisha navy seal na komandoo wa tz,navy seal ni zaidi,maana sisi ni nchi changa,tunafundishwa tu,then tunajidai eti tunaweza kama wengine hilo halipo ndugu zangu.
Umenichekesha sana mkuuMara nyingi they hide themselves as MPs. Ila kitu cha kuangalia sana ni zile kofia wanazovaa. Nyekundu ni redi beret ambao wanatofautiana na wale wenye nyeusi, amphibians. Wote ni makomandoo. Ubora wao unategemea mambo mengi ikiwemo msosi na vinywaji wanavyokunywa. Ukinywa gongo ukaruka na parachute, si utajitapikia mpaka uchanganyikiwe.
Mkuu ukienda mtwara kawatafute wale waliochoma ambulance watakuambia...Wakuu naomba kujua kama hawa makomandoo ni kama wale ambao huwa nawaona kwenye video.
Kuna mmoja nilipanda nae daladala la posta G/mboto na pale begani pameandikwa kabisa komandoo ,,, ,,,, ,,,.
Sasa napenda kujua mafunzo yao ni kama yale yenyewe kabisa? yani yani yani kabisa yani .....wanauwezo ule wa ukweli kabisa yani kama komando john zile yani?
Mkuu ukienda mtwara kawatafute wale waliochoma ambulance watakuambia...
Wakuu naomba kujua kama hawa makomandoo ni kama wale ambao huwa nawaona kwenye video.
Kuna mmoja nilipanda nae daladala la posta G/mboto na pale begani pameandikwa kabisa komandoo ,,, ,,,, ,,,.
Sasa napenda kujua mafunzo yao ni kama yale yenyewe kabisa? yani yani yani kabisa yani .....wanauwezo ule wa ukweli kabisa yani kama komando john zile yani?
tuache kupigana kamba.
kulingana na uchumi tulionao tz si rahisi kuwa na watu ambao ni skilled compare to those owned by NATO kama wanajamvi wengine wanavyonadi.
juzjuz kuna mtu alipost thread moja inayoelezea majeshi imara top ten africa tz hatupo.
tuache stori za magenge ya kahawa za kupoteza muda.
weak economy = weak army.
najua kuna wenye akili za kuvukia barabara watabisha 2
Nakubaliana na wewe lakini wakati mwingine pamoja na uchumi kuna vitu vya ziada kwani Somali kumzidi Marekani ni kwa sababu ya uchumi? Na habari ya top ten ya majeshi siwezi kuiamini sana kwa sababu mambo ya ulinzi wa nchi huwa ni siri hivyo tathmini inaweza isiwe rahisi ki hivyo! maoni tuu mkubwa
hata kuwa skilled inategemeana katika nyanja gani, hata kutembea kwa miguu kunahitaji uchumi?
Kwa hiyo unaamini kuwa Somalia imeizidi Marekani? Hii ni mpya
Jua tu mafunzo yote ya kijeshi ni ya aina moja, nikimaanisha mvitabu vinavyoyumika hapa ndivyo wantumia USA, RUSIA , GERMANY, FRANCE na kwingineko. Majeshi huzidiana ktk vifaa,mazoezi, molali, utayari wa mapambano na matunzo. Mafunzo ya komandoo wa tz ni bora hata kuliko hao wa nchi za magharibi ila vifaa ndivyo hatuna. Angalia hata bunduki wanazotumia makomandoo wetu SMG, hii si bunduki bora kw komandoo anayefanya kazi ya askari wa kawaida 9.
Ushauri nenda JKT ukapate walau hints za kijeshi.
Kwa hiyo unaamini kuwa Somalia imeizidi Marekani? Hii ni mpya
lisisile tipli jeshi lisisile!
Pia baadhi ya vitu kama indurence, na maisha ya msituni wasomali wanaweza kuwazidi wa Marekani! Kwa mfano wamarekani walishangaa sana zoezi la underfire lililofanywa na watanzania kwenye mafunzo ya pamoja yaliyofanyika Kenya pamoja na ubabe wao!