Makomandoo wa Bongo

Makomandoo wa Bongo


Hawa jamaa ndo walokuwa wanapasua tofari za cement kwa kichwa! Mi nna mashaka na ratio yavmchanga na cement walotumia kutengeneza hizo tofari. Mi naomba mwaka huu wachukue zile tofari ndogo wanazotumia kampuni ya strabag kutengeneza njia ya waenda kwa miguu. Naamin ndo itakuwa siku utakayo muona komandoo wa bongo akitoka nduki. Vile vidude nomaa. Halaf kitue kwenye ndonga! Lazma ugome kula or else nduki ndo salama yako.
 
KKJ
Hawa Jamaa wako fit sana, niliwahi kuona Coverage ya mazoezi yao mwaka jana kwenye Maadhimisho ya JWTZ Kupitia Kituo cha TBC, Ilikuwa nzuri na baadhi yao walihojiwa pia.

Yaani vile vimazoezi ndio unaongelea eti komandoo?

Dunia ya sasa nani anapasua matofali? Nani ana angushwa na parachuti directly eneo husika? Nani atakutandika fimbo hadi ivunjike? Uliona ndege zina zunguka ovyo ovyo!!
Jenga tabia ya kuangilia BBC swahili, CNN, Al jazeera uone midude!

Russia, USA, nk wanakupiga huku jamaa (mrusha mzinga)anakoroma usingizi mzito.
 
Hawa jamaa ndo walokuwa wanapasua tofari za cement kwa kichwa! Mi nna mashaka na ratio yavmchanga na cement walotumia kutengeneza hizo tofari. Mi naomba mwaka huu wachukue zile tofari ndogo wanazotumia kampuni ya strabag kutengeneza njia ya waenda kwa miguu. Naamin ndo itakuwa siku utakayo muona komandoo wa bongo akitoka nduki. Vile vidude nomaa. Halaf kitue kwenye ndonga! Lazma ugome kula or else nduki ndo salama yako.

hahaha
 
.....na ile ya kukaguliwa tigo ili wajiridhishe kuwa wewe sio bwabwa :biggrin::biggrin::biggrin:.[/QUOT

Mwanajeshi yeyote lazma amekaguliwa tigo.., ni vitu vya kawaida na kuna maana nzuri tu na sidhani ni mambo ya kucheka!! Sio tigo tu ni full body check-up...,
My understanding ni kwamba wanaangalia prostate... au pia wanakagua kama tigo iko tight?
 
Mkuu makomandoo tunao lakini sika katika Level zilee, sababu kubwa ni kwamba jeshi letu siasa zimeingia kati na weledi si suala linalozingatiwa kihivyoo. Tuna upungufu mkubwa sana katika "Elite Forces" hii inatokana na mfumo mzima wa recruitment katika majeshi yetu. Binafsi nimepita Jeshini(JWTZ) nimeona hilo wengi wa makomandoo wetu ni design zile za kufyatua matofali! kitu ambacho katika ulimwengu wa sasa katika vita hakina tija! Kingine nilichoobserve ni ukosefu wa uzalendo miongoni mwa askari wetu wengi yaani wengi ni "askari mshahara" sasa unapokuwa na askari wengi wenye mentality hiyo ni ngumu kupata makomandoo wenye weledi uliotukuka!
 
Mi naongelea hasa maujanja ya kwenye shughuli, kama vile kupita kwenye moto, kushusha kipondo cha kiteknikali kabisa, kucheza na vyombo vya kivita,,mfano kumpiga kabali piloti na yeye kuongoza ndege,,kubembea kwenye mkia wa ndege afu anasavive mpaka anaenda kumteka rubani.

Umesahau kuvunja matofali kwa kichwa KakaJambazi
 
Last edited by a moderator:
Hawa jamaa ndo walokuwa wanapasua tofari za cement kwa kichwa! Mi nna mashaka na ratio yavmchanga na cement walotumia kutengeneza hizo tofari. Mi naomba mwaka huu wachukue zile tofari ndogo wanazotumia kampuni ya strabag kutengeneza njia ya waenda kwa miguu. Naamin ndo itakuwa siku utakayo muona komandoo wa bongo akitoka nduki. Vile vidude nomaa. Halaf kitue kwenye ndonga! Lazma ugome kula or else nduki ndo salama yako.
Hiyo Ratio ndogo changanya na wewe kisha vunja.
 
Yaani vile vimazoezi ndio unaongelea eti komandoo?

Dunia ya sasa nani anapasua matofali? Nani ana angushwa na parachuti directly eneo husika? Nani atakutandika fimbo hadi ivunjike? Uliona ndege zina zunguka ovyo ovyo!!
Jenga tabia ya kuangilia BBC swahili, CNN, Al jazeera uone midude!

Russia, USA, nk wanakupiga huku jamaa (mrusha mzinga)anakoroma usingizi mzito.

-Majuzi Russia katengeneza ndege ambayo unaweza ukaingiza Wanajeshi maelfu.
-Mbali na hiyo, mwaka jana alizindua boti ambayo unaingiza Maelfu ya Wanajeshi pamoja na vifaa vyao kama vifaru n.k
Sasa kama hakuna ulazima wa wanajeshi wa Ardhi, kwanini atengeneze vyote hivyo?
-Ndege huwa haziteki nchi, zenyewe ni ktk mission ndogondogo tuu, ndo maana kuna maeneo ambayo huwezi kutumia ndege USA anachapwa tuu.
 
kaka jamba zile muvi za kina komandoo john zisikutishe ukafikiri kuwa makomandoo wana ujasiri ule.Rambo mwenyewe alishakiri kuwa yeye ni mwoga wa kufa vibaya sana.
Naamini kabisa kuwa na makomandoo wetu wapo fiti kabisa ila tatizo ni vitendea kazi kama vya wenzetu.

Kuwa komandoo haimaanish huogopi kufa
 
Back
Top Bottom