Makomandoo wa Bongo

Makomandoo wa Bongo

waliambiwa waende CUBA jamaa kusikia hivyo akatoroka usiku,akakamatwa kuulizwa kulikoni?"mimi na ujeshi basi"tukupelekea magereza"nimesema sitaki kazi ya ujeshi"akasepa"mpaka leo njemba inauza mitumba.mafunzo ya ukomandoo ya CUBA yananini? mnaenda 100 anarudi 1 ni kweli?
 
historia haifutiki tulimpiga Idd Amin,hali ya utulivi COMORO,M23 imebaki hadithi,Al-shabaab wanajikojolea wakisikia JWtz,bado hiki kinachowasumbua wanaigeria,namuomba balozi wa nigeria nchini atuarike tule sahani moja na boko haram.this is not our war but is now
 
waliambiwa waende CUBA jamaa kusikia hivyo akatoroka usiku,akakamatwa kuulizwa kulikoni?"mimi na ujeshi basi"tukupelekea magereza"nimesema sitaki kazi ya ujeshi"akasepa"mpaka leo njemba inauza mitumba.mafunzo ya ukomandoo ya CUBA yananini? mnaenda 100 anarudi 1 ni kweli?

stori za vijiweni hizo mkisubiri msosi kwa mama
 
Makomandoo wa simba na yanga vp au zao ni migogoro na mkwanja?
 
Jamani eeeh! Kuwa na vifaa vya kisasa havikuhakikishii ushindi kama hao askari hawana hari ya kupigana, ndio maana wanasema human intelligence ndio inayotakiwa kuliko hii ya kutumia artificial intelligence...!

Na hata hizo nchi zilizoendelea kama US na Japani tumeshuhudia zikipata Natural disasters na zimeshindwa kuwaokoa raiya zake. Kama mnakumbuka mwaka 2005 uko Marekani majimbo ya Florida, Louisiana, Mississippi na Alabama, yalipata misukosuko ya Kimbunga cha Katrina na vifo vikatokea na wengi wakashindwa kuokolewa japokuwa nchi ina vifaa bora kabisa na vya kisasa vya hali ya hewa, na ikasemekana kuwa baadhi ya raiya waliachwa kufa kwa makusudi kabisa kwa sababu ni wenye asili ya Afrika... 2011 tornado ikapiga tena na ikaleta maafa...

Japan ni wazuri wa teknolojia, lakini kila leo wanakumbwa na matetemeko na watu wanapoteza uhai...

Kaka karibu japan inayostaajabisha. Nipo huku tangu 2012. Majanga yanayotokea japan hakuna linaloweza kufhibitiwa na nchi yoyote africa.
Can u imagine wana tren zinazoenda kasi ya 300km/hr? Still zimewekwa vifaa vya ku-detect eartquake na zinaweza kusimama anytime hata kama zilikua kasi namna gani ikiwa king'amuzi kitatambua a coming tremor.
Nadhan unakumbuka mafuriko ya dar junsi yalivyoua watu, tetemeko la 2011 japan lilisababisha tsunami iliyoua watu almost 20,000! Idadi iliongezeka b'se maji yalikuja mengi kuliko walivyotarajia.
Tuache hilo. Huku mzazi kuna watu wanapiga tizi. Na kuna tofauti ya kukomaa na kuwa na nguvu & skilfull. Majuzi nimekutana na babu wa miaka 63, ana dan 7 na amefanya martial arts kwa miaka 40 sasa. The only way to defeat him (due to utu uzima wake) ni kutokuwa karib yake i.e umpe za mbali, No longer faster but dangerous indeed. He can kill within few minutes ikiwa binadamu ataingia 18 zake. Sasa sina uhakika jamaa zetu waliokuwa wanavunja matofal kama wana ufaham wa meridians kwenye mfumo wa mwili.
 
unaposkia komando haijalishi nchi anayotoka.., uwezo wake ni wa hali ya juu sana,, sasa kwny huo uwezo wa juu wanapishana huko kutokana na task na specialization..., kwa mfano navy seal team 6, ni wataalam wa counter-terrorism, lakn hapo hapo kwny navy seal commandos wapo specialised kwa tactics nyingine...,

Hapa tz, zamani commandos alikua for general purpose, lakn ikaonekana kuna haja ya specialization ndo maana saivi kuna marine commandos pale navy,, wanasomea china

Pia kuna airborne, hawa wanakua na bawa moja lakn wanafanya mafunzo mengi kama infantry commandos na haja ya kufanya hivyo ni kwa sbb wanakua deployed behind enemy lines, wanafundishwa kufanya kazi kwa vikundi vidogo lakn kwa ufanisi mkubwa

Kuna programme ilioneshwa tbc last year, ungeamini kua jamaa wako fiti..., watu wanavunja tofali kwa vichwa, watu wana uwezo wa kuruka gari.., in short wapo fiti....

Na unapolinganisha na wa nje, makomando wetu wengi wanapata mazoezi nje ya nchi...., katika kikosi maalumu kinachosafirisha sana wanakikosi basi ni 92kj(sangasanga)...,

Commandos wetu wanavaa maroon beret au kwa kiswahili rangi ya damu..., wako tayari kutoa damu yao kwa taifa,

Mm binafsi nimeshashuhudia wanalala wima wanaegemea ukuta!!!

Hawa watu wako fit kweli, they are pushed to the boundary na hapo 92 mazoezi ya vikwazo au ya kimapigano ni live fire, ukifanya masihara unarudi maiti

Umezungumza kwa ufanisi! nachelea kufananisha na nchi nyingine coz, makomandoo wengi wa Tanzania wana train nje! si vizuri kutaja majina hapa lkn yupo mmoja nnamfahamu yuko Afrika kusini anafanya commandor basic training course, ni msomi mwenye bachelor ya ualimu! wengine wawili wako China training, kwa hiyo sina wasiwasi na uwezo wao! Pia kama unafuatilia kuna zoezi la pamoja la majeshi ya nchi mbalimbali lilifanyika Afrika Kusini, majeshi ya TZ yaliibuka kidedea japo yalitumia technology ya zamani kama vile compass direction badala ya GPS na waliwaduwaza wazungu!
Napita tuuuuu
 
waliambiwa waende CUBA jamaa kusikia hivyo akatoroka usiku,akakamatwa kuulizwa kulikoni?"mimi na ujeshi basi"tukupelekea magereza"nimesema sitaki kazi ya ujeshi"akasepa"mpaka leo njemba inauza mitumba.mafunzo ya ukomandoo ya CUBA yananini? mnaenda 100 anarudi 1 ni kweli?

Loading........122 GB
 
Actually kama ni commando wa ukweli hatatufanya lolote maana wamefundishwa kutokutumia mafunzo yao kwenye masuala yasiyo ya kivita.

Ila kama ni komandoo hamza kalala ni lazima uchuje damu!
 
Mkuu mie Ni wa kizazi cha karibuni, huyu Hans Pope ndo Yule wa malori ya mafuta, mdau mkubwa wa Simba na aliyekuwa champion wa mgogoro wa mafuta?

............ndo huyo huyo, tena yeye na kaka yake walikuwa na kesi ya uhaini ya kutaka kumpindua Nyerere !
Godfather alikuwa Mhaya mmoja anaitwa Uncle Tom, na Master wa mchezo mzima aliitwa Maganga.
Walioshiriki jaribio hilo woote walikuwa ni Makapteni wa Jeshi, hao wakina Hans Pope wakiwa ni miongoni mwao.
Maafisa wa Usalama waliokabiliana na jaribio hilo mmoja wapo ni Mabere Nyaucho Marando, huyu wa Chadema.
Lakini walisamehewa, ila aliye umia sana na hii issue ni huyo Maganga......maana alikufa akiwa hana kitu kabisa.
 
............ndo huyo huyo, tena yeye na kaka yake walikuwa na kesi ya uhaini ya kutaka kumpindua Nyerere !
Godfather alikuwa Mhaya mmoja anaitwa Uncle Tom, na Master wa mchezo mzima aliitwa Maganga.
Walioshiriki jaribio hilo woote walikuwa ni Makapteni wa Jeshi, hao wakina Hans Pope wakiwa ni miongoni mwao.
Maafisa wa Usalama waliokabiliana na jaribio hilo mmoja wapo ni Mabere Nyaucho Marando, huyu wa Chadema.
Lakini walisamehewa, ila aliye umia sana na hii issue ni huyo Maganga......maana alikufa akiwa hana kitu kabisa.


Una uhakika???!!!
 
Umezungumza kwa ufanisi! nachelea kufananisha na nchi nyingine coz, makomandoo wengi wa Tanzania wana train nje! si vizuri kutaja majina hapa lkn yupo mmoja nnamfahamu yuko Afrika kusini anafanya commandor basic training course, ni msomi mwenye bachelor ya ualimu! wengine wawili wako China training, kwa hiyo sina wasiwasi na uwezo wao! Pia kama unafuatilia kuna zoezi la pamoja la majeshi ya nchi mbalimbali lilifanyika Afrika Kusini, majeshi ya TZ yaliibuka kidedea japo yalitumia technology ya zamani kama vile compass direction badala ya GPS na waliwaduwaza wazungu!
Napita tuuuuu

Wajanja sn hao! Walitumia hiyo technology ya zamani kwa maksudi kuficha hizi za Sasa!
 
Kaka karibu japan inayostaajabisha. Nipo huku tangu 2012. Majanga yanayotokea japan hakuna linaloweza kufhibitiwa na nchi yoyote africa.
Can u imagine wana tren zinazoenda kasi ya 300km/hr? Still zimewekwa vifaa vya ku-detect eartquake na zinaweza kusimama anytime hata kama zilikua kasi namna gani ikiwa king'amuzi kitatambua a coming tremor.
Nadhan unakumbuka mafuriko ya dar junsi yalivyoua watu, tetemeko la 2011 japan lilisababisha tsunami iliyoua watu almost 20,000! Idadi iliongezeka b'se maji yalikuja mengi kuliko walivyotarajia.
Tuache hilo. Huku mzazi kuna watu wanapiga tizi. Na kuna tofauti ya kukomaa na kuwa na nguvu & skilfull. Majuzi nimekutana na babu wa miaka 63, ana dan 7 na amefanya martial arts kwa miaka 40 sasa. The only way to defeat him (due to utu uzima wake) ni kutokuwa karib yake i.e umpe za mbali, No longer faster but dangerous indeed. He can kill within few minutes ikiwa binadamu ataingia 18 zake. Sasa sina uhakika jamaa zetu waliokuwa wanavunja matofal kama wana ufaham wa meridians kwenye mfumo wa mwili.

Uwezo huo na ufahamu huo wanao!
 
Umezungumza kwa ufanisi! nachelea kufananisha na nchi nyingine coz, makomandoo wengi wa Tanzania wana train nje! si vizuri kutaja majina hapa lkn yupo mmoja nnamfahamu yuko Afrika kusini anafanya commandor basic training course, ni msomi mwenye bachelor ya ualimu! wengine wawili wako China training, kwa hiyo sina wasiwasi na uwezo wao! Pia kama unafuatilia kuna zoezi la pamoja la majeshi ya nchi mbalimbali lilifanyika Afrika Kusini, majeshi ya TZ yaliibuka kidedea japo yalitumia technology ya zamani kama vile compass direction badala ya GPS na waliwaduwaza wazungu!
Napita tuuuuu

...........General Mohamed Farah Aideed kule Somalia alipokuwa anapambana na majeshi ya uvamizi ya Marekani, yeye alitumia mawasiliano ya analog, wakati Wamarekani walitega kukamata mawsiliano ya digital !
hawakuamini kilicho wakuta, ............ wakatoa majeshi yao Somalia !
 
...........General Mohamed Farah Aideed kule Somalia alipokuwa anapambana na majeshi ya uvamizi ya Marekani, yeye alitumia mawasiliano ya analog, wakati Wamarekani walitega kukamata mawsiliano ya digital !
hawakuamini kilicho wakuta, ............ wakatoa majeshi yao Somalia !

Ally Kombo umeanza mambo yko!
 
tuache kupigana kamba.
kulingana na uchumi tulionao tz si rahisi kuwa na watu ambao ni skilled compare to those owned by NATO kama wanajamvi wengine wanavyonadi.
juzjuz kuna mtu alipost thread moja inayoelezea majeshi imara top ten africa tz hatupo.
tuache stori za magenge ya kahawa za kupoteza muda.
weak economy = weak army.
najua kuna wenye akili za kuvukia barabara watabisha 2
 
Back
Top Bottom