Makomandoo wa Bongo

Makomandoo wa Bongo

Nimeamini kwamba sisi binadamu si wa kawaida Juzi!
Usiku wa kuamkia juzi Sikulala kabisa, nilijipumzisha kitandani naangalia TV, ilipofika saa 9:50 usiku nikaanza safari kwenda Sengerema Mwanza kutokea hapa Dar! Saa 10 nilikuwa nakatiza Ubungo mataa! Nimeendesha kutwa nzima nilisimama Dodoma tu si zaidi ya dakika 10! Taarifa ya habari ya saa 2 usiku nimeangalia Sengerema! Na sikuwahi kuendesha umbali mrefu zaidi ya Chalinze! Sikuchoka wala kusinzia njiani! Sijui Ujasiri na uvumilivu huo ulitoka wapi!

ulifika salama kwa sababu wewe ni komandoo.
 
Hivi Jack Bauer ni komando nae? lol

Jameni ee, twende mbele turudi nyuma you guys have no idea what Tanzanian commando's respect is and what they had to go through kuwa hivyo. Wacha kabisaaa. Uwezo ni sawa kabisaa
 
Sjajua ujuzi wako kimapigano but i advice u..., usijaribu kupigana na commando hata kama ni mzee kama mzee balati..., wale ni exceptional.., hv, unajua limit ya entry age ya commando? Na kwnn unafkiri wamefanya hvo??
Na ndio maana mkuu miezi miwili miwili ilopita komandoo (inasemekana mwalimu) alimtandika mtu mbagala huko na kumuua! Na waliokua wanashuhudia jamaa akishushiwa kipondo hawakuthubutu kusogea eneo la tukio kuamulia ugomvi
 
mbona makomandoo wa bongo hupata training ya hapa bongo na nje ya nchi wengine china israel cuba usa uk nk ukweli hawana tofaut afu zile move za kina rambo huwa hazina ukweli100% so usilinganishe utapotea ktk kutengeneza huwa kuna kitu kinaitwa ujanja wa camera unakuta mtu kaanguka toka ghorofa ya 24 anatua salama na kuendelea na safari tafakali
 
Tarehe 9 Dec tutawaona tena tubadilishe mood mana nchi hii mpka top kabisa wanafagilia wizi
 
Sjajua ujuzi wako kimapigano but i advice u..., usijaribu kupigana na commando hata kama ni mzee kama mzee balati..., wale ni exceptional.., hv, unajua limit ya entry age ya commando? Na kwnn unafkiri wamefanya hvo??

Mkuu umeongea aiseee.unamkumbuka yule komandoo alietomasiwa mkewe kiuno na sharobalo alichomfany!!yaa. Alimpeleka gizani kama dk2 akarudi mwenyew.jamaA alichomolewa hoi kupelekwa hospital akafia uko.wale jamaa ni zaidi ya hatari jaman sio watu Wa kuwachezea
They can kill u within a second
 
Pia ndani ya jeshi kuna commando course,na inaogopwa vibaya..mnaenda 100 mnamaliza 20,hao wengine wote wanatoroka mafunzo.
 
Kwa hiyo unaamini kuwa Somalia imeizidi Marekani? Hii ni mpya

Tafuta movie linaitwa 'The Black Hawk Down' ndo utajua Mmarekani alimpiga General Mohamed Farah Aideed au alipigwa !
Tena Director wa movie ni Mmarekani.
 
Hao hapo
 

Attachments

  • IMG-20141221-WA010.jpg
    IMG-20141221-WA010.jpg
    132.7 KB · Views: 632
makomandoo wa tz ni noma hata wazungu huenda hawaingii. mm nina kaka yangu ni komandoo yaani hata kama cruiser iko spidi ya 100k/saa yeye anweza kuruka au kudandia hilo gari. na suala la kuruka kwenye ndege hilo ndilo usiseme. anaweza kusihi baharini for long time na bila any equipment and no food. na hata akiruka kwenye gari ambalo mliko na spidi hiyo anaweza kushambulia adui while yuko ktk process ya kushuka kwenye gari. hawa jamaa sio mchezo. ukiona commando ambaye ana mabawa full kwenye shati lake mwogope sana maana ni full commando. suala kumkuta yuko chumbani bila kujua kaingiaje n ni suala la kawaida.
kwa kuwakumbusha tuu ni kwamba kuna komando alikuwa mara kwa mara akitaka kuonmgea na rais ikulu alikuwa anaingia ikulu bila hata walinzi kujua na rais alikuwa anshnaga jama kesha ingia ndani kwake...ni wakati wa nyerere lkn hata wkt wa mwinyi.
these our comandoos are dangerous my friend, dont dare to play against them....

Mh. Kama sinema..kama namuona akifanya vitu vyake
 
Back
Top Bottom