Shujaa alikuwa anaweza kwenda pale Jitegemee-Mabibo akasema mbunge wa Ubungo, chapa kazi, maendeleo hayana chama, akatoka na msafara wake, akafika Kimara-Stop over akasema hawezi kujenga barabara kwa sababu walimchagua John Mnyika kutoka Chadema kuwa mbunge. Jamaa alikuwa ni mtawala anaeweza kujisahau ndani ya dakika 15 alichosema awali..... 😃