Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,592
- 112,646
Ukisikia chawa, ndio huyu sasa
Ukisikia chawa, ndio huyu sasa
Ndio habari ya mjini. Maana mtoa hoja alizawadiwa ubalozi wa hayo mambo na Waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu Sera uratibu na bungeHahaaaaa
Kasema samiah luhusuWanachojua ni kupiga makofi tu
Wewwe jamaa MUNGU anakuona hakika, huyu Mama sio kwa upigaji huu wa makofi aiseee
Kaingiza siku yake jana ila asubuhi hii kashindwa hata kunawa usoWewwe jamaa MUNGU anakuona hakika, huyu Mama sio kwa upigaji huu wa makofi aiseee
Punguza sauti Bujibuji.Mbunge mchangamfu zaidi
View attachment 1760721
Punguza sauti mkuu.Mbunge huyu wa ccm ndie pekee ambaye almost hakupiga makofi kabisa na alikuwa alifuatilia hotuba kwa makini mnoView attachment 1761276
Sent using Jamii Forums mobile app
dah, atakuwa anamlaumu mwenye enzi yote kwa kumchukua mwendazakeMbunge huyu wa ccm ndie pekee ambaye almost hakupiga makofi kabisa na alikuwa alifuatilia hotuba kwa makini mnoView attachment 1761276
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahahahaaaa nilidownload hiyo picha Kila nikimuangalia ni kicheko TU, halafu ndio mtunga Sera wangu .Kaingiza siku yake jana ila asubuhi hii kashindwa hata kunawa uso
Sent using Jamii Forums mobile app