Makinika! Sio kila changu ni binadamu

Makinika! Sio kila changu ni binadamu

Hapa sasa naanza kupata picha, niliwahi kununua chombo kimoja ya singida matata sana hadi nikajiuliza huyu kafata nini huku? ila ilinishangaza kukutana na papuchi inabana na joto la hatari kuliko hata mademu wanaojitunza, naweza kusema kwa uhuni wangu wote pale kwa yule malaya alivunja rekodi na haijatokea, sio bure, itakuwa alinitegea nikapiga mbuzi katoliki.

Sirudii tena


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi kuna kitu sijuagi kama nikweli naomba kuelimishwa. Eti mtu anayekula kitimoto na bia kila mara hawezi kuathirika na ushirikina? Na kwanini mtu akiwa amelewa ata apite sehemu hatarishi kwenye roho za kumdhuru hazimfanyi kitu? Naomba elimu hapa
Kuna mlevi alipigwa makofi na jini usiku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Elezea kwanini Laana ni rahisi kuipata kuliko Baraka ?
Mkuu ulisikia wapi kuna baraka za ngono
Nina mada kuhusiana na nywele ngoja nikutafutie... Ukiweza zilinde sana nywele zako

Jamani mnatuchanganya tukikimbia nchale tukisimama nchale
Kuna mlevi alipigwa makofi na jini usiku.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pombe zikamuisha
Na ndio maana huwa nawasihi sana wale wanaotaka kuona wachawi live waachane na hiyo habari maana hawataona wachawi tuu wataona kila kitu kisichoonekana kwa macho ya nyama na ndio mwanzo wa uchizi
Haki nmecheka , ni kama movie unasafishwa macho unashangaa umekaa mahala unaanza kuona vitu vinavyoishi mazingira yako, navyo vikikuona vinageuka vyote kwa wakati mmoja kukutazama umekuja vipi kwenye anga zao unaachaje kupata uchizi
 
Mkuu ulisikia wapi kuna baraka za ngono Jamani mnatuchanganya tukikimbia nchale tukisimama nchalePombe zikamuishaHaki nmecheka , ni kama movie unasafishwa macho unashangaa umekaa mahala unaanza kuona vitu vinavyoishi mazingira yako, navyo vikikuona vinageuka vyote kwa wakati mmoja kukutazama umekuja vipi kwenye anga zao unaachaje kupata uchizi
Hapa hapa Jamii forum
 
Mkuu ulisikia wapi kuna baraka za ngono Jamani mnatuchanganya tukikimbia nchale tukisimama nchalePombe zikamuishaHaki nmecheka , ni kama movie unasafishwa macho unashangaa umekaa mahala unaanza kuona vitu vinavyoishi mazingira yako, navyo vikikuona vinageuka vyote kwa wakati mmoja kukutazama umekuja vipi kwenye anga zao unaachaje kupata uchizi
Wewe unaviona, wenzako hawavioni.. Ukijaribu kuwaonesha wanakuona malaria imekupanda kichwani
 
Wewe unaviona, wenzako hawavioni.. Ukijaribu kuwaonesha wanakuona malaria imekupanda kichwani
unapagawa mzee wangu alishakumbwaga na hio kadhia mbona tulijua ndo kadata basi tena, Mungu alitufunga kwa maana kubwa sana.
Hatuwezi kuhimili mambo tusioyazoea, ni kama kipofu wa kuzaliwa afunuliwe macho gafla kila atakachoona kitakua ni cha ajabu sana mpaka azoee kimepita kitambo kirefu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom