Makinika! Sio kila changu ni binadamu

Makinika! Sio kila changu ni binadamu

Umeongea jambo kubwa sana... waliopevuka wanaelewa ila wale school boy shida sana kukuelewa.. Dunia ina mengi vijana msione watu wana chale mpaka matakoni... watu wamevurugwa dunia sio salama tena ni uwanja wa fujo.....
Dah eti chale mpaka matakoni, nimecheka sana
 
umesema kweli kabisa,nlikuwa nakaa maeneo flani hv kuna guest inalaza machangu tu wakitoka mawindo af kuna bar hapo,nliachaga biashara ya kuwanunua baada ya siku moja kuwasikia wakisema wanataka kwenda kwa mganga akambadilishie K mana ya mnyama aliyomwekea anaona haifai ana-feel kabisa anagongwa yeye,sa sijui iliwekwa ya mbuzi
Ndiyo nimejua leo asee kumbe watu huwa wanakula za mbuzi kimasihara😂😂
 
Sasa hivi nikimaliza kumnunua salama yangu simruhusu aitoe,naitoa mwenyewe naiweka kwenye toilet pepa nainda kuitupa mbele ya safari
Nalog off
 
Sasa hivi nikimaliza kumnunua salama yangu simruhusu aitoe,naitoa mwenyewe naiweka kwenye toilet pepa nainda kuitupa mbele ya safari
Nalog off
Usiitupe kaiflash chooni huko unakoenda kuitupa kuna wategaji na by chance wanaweza kuiotea
 
Nina mada kuhusiana na nywele ngoja nikutafutie... Ukiweza zilinde sana nywele zako

@mshanar Jr we jamaaaaa sooon utatungua chuo...ILA UNANIFURAHISHAGA KUWA HIZI MBO SIONNZURI BORA USALI TU
 
Inategemea na mganga.. Ila kama unataka kufungamana naye basi zile zinazotoka kwako ndio zenyewe ILA kama unataka kumfanya mtumwa basi hizo za 'kichupa' ndio zinafaa
Huwezi rogwa kama huna pesa
 
Back
Top Bottom