Makinika! Sio kila changu ni binadamu

Makinika! Sio kila changu ni binadamu

Mtani acha kuwatisha vijana wadada watakufa njaa,mimi huwa na biashara mkoani nimewekeza.....nkienda huko nakaa miezi 2 bila kugusa papuchi mana naambiwa huko kulogwa plus ukimwi ni kugusa tu
Haya mambo mtani kiukweli sometimes ni Mungu tu ndio anaokoa jahazi..
 
Hapa nipo MBARALI...MADIBIRA HIGH SCHOOL nimemleta mwanajeshi wangu.....baada ya kumkabidhi kwa walimu...nimesogea hapa kwenye ka baa fulani....asee watoto wa kunyakyusa wskali hatari...nilikuwa na mpango wa kulapua mmoja ila mkuu UMENITISHA...GEMU YA YURO ikiisha naenda kulala.
 
Negative mentality itakuuua.

Kama mtu akishiriki mapenzi na mtu X , iweje abebe laana tu na hashindwe kubebea Baraka ?
Mkuu Kipangaspecial nimeelezea yote hayo hata baraka pia hubeba lakini ni nadra sana. Sasa hapo hutegemea ni yupi kati yenu mwenye baraka na yupi mwenye zigo la misumari, huenda yeye ndo akawa anabeba baraka zako nawewe unabeba laana zake + mapepo machafu, itategemea na kila mtu jinsi alivyo.
Hebu fikiria mtu kwa siku mpaka akuletee wewe unakuta keshapitiwa na wanaume/wanawake kama Saba (na hao walompitia kila mmoja ana yakwake), ndo anakuletea wewe, unategemea hapo utachukua baraka kweli!!

Ndio maana ya kuambiwa utulie na wako.
Lakini Kupanga ni kuchagua, hiyari ni yako
 
Mkuu Kipangaspecial nimeelezea yote hayo hata baraka pia hubeba lakini ni nadra sana. Sasa hapo hutegemea ni yupi kati yenu mwenye baraka na yupi mwenye zigo la misumari, huenda yeye ndo akawa anabeba baraka zako nawewe unabeba laana zake + mapepo machafu, itategemea na kila mtu jinsi alivyo.
Hebu fikiria mtu kwa siku mpaka akuletee wewe unakuta keshapitiwa na wanaume/wanawake kama Saba (na hao walompitia kila mmoja ana yakwake), ndo anakuletea wewe, unategemea hapo utachukua baraka kweli!!

Ndio maana ya kuambiwa utulie na wako.
Lakini Kupanga ni kuchagua, hiyari ni yako
Elezea kwanini Laana ni rahisi kuipata kuliko Baraka ?
 
Tulikuwa na kesi moja ngumu sana leo... Mwenzetu kasafiri huko makao makuu ya nchi, tamaa ikamshika, kaenda viungani akaopoa mrembo wa ukweli sana.. Wakafanya yao kwa siku tatu mfululizo alizokuwa huko! Hakunyimwa kitu...! Kapewa mahaba na ukoko wake ILA akadanganya mengi..! Moja kubwa akisema ana watoto lakini hana mke...!!! Ni wiki sasa anateseka na dunia...gearleaver imepaki.. Popo haliamki kwenda mawindoni.. True story....!!!

Pamoja na haja zetu
Pamoja na tamaa zetu
Pamoja na libido zetu...!!! Tafakuri ni muhimu sana..! Huko pahali kuna ushirikina wa kutosha sana...! Kuna mapepo, kuna mashetani, kuna majini, kuna viumbe roho nusu watu...!!!

KATAA KUBALI ushirikina upo.. Na manii zako ni malighafi inayohitajika mno huko kwenye ulimwengu wa giza...! Kumbuka pia hata nyota yako inawindwa...!

Mateka wa kiroho pia wanatafutwa kupitia ngono...! Kuna watumwa wa kutosha tu wanaotumikia mamlaka za siri bila ufahamu wao kupitia ma agent wa ngono..!!!

Tamaa ya maramoja inaweza kuvuruga future yako

Tamaa ya mara moja inaweza kusambaratisha familia yako

Tamaa ya mara moja inaweza kupoteza kazi yako

Tamaa ya maramoja inaweza kukugombanisha na marafiki wema

Tamaa ya mara moja inaweza kukupa ulemavu wa maisha kiroho na kimwili...

Dunia ni zaidi ya uijuavyo.. Si kila ukionacho ni halisi..! Usiku huu wa hii weekend kuna maingizo mapya kwenye hayo madhila... Kama ukifanikiwa kusoma hii mada..! Mungu akusaidie sana..!!!

Yangu ni hayo tuu...!!!.... MSTAAFU.!
Asante mkuu, nina li kijana langu huku limepotea jumla kwa kupenda hayo madude, mpaka limefukuza mke na watoto!
 
Hapa nipo MBARALI...MADIBIRA HIGH SCHOOL nimemleta mwanajeshi wangu.....baada ya kumkabidhi kwa walimu...nimesogea hapa kwenye ka baa fulani....asee watoto wa kunyakyusa wskali hatari...nilikuwa na mpango wa kulapua mmoja ila mkuu UMENITISHA...GEMU YA YURO ikiisha naenda kulala.
Mungu akubariki sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maskini pole yake. Ni mapepo yameshajenga kilinge kwake

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani mkuu acha kabisa, hivi mwanaume unadriki vipi kwenda kuposa mchepuko na unawakana watoto wako kwamba hujawahi kuwa na mke wala watoto? Ni shida kabisa! Haya mapepo ni hatari! Ila cha kuchekesha mke unayemkimbia ni bonge la mama unaenda kuokoteza utopolo!😁😁😂😂😂
 
Yaani mkuu acha kabisa, hivi mwanaume unadriki vipi kwenda kukosa michepuko na unawakana watoto wako kwamba hujawahi kuwa na mke wala watoto? Ni shida kabisa! Haya mapepo ni hatari! Ila cha kuchekesha mke unayemkimbia ni bonge la mama unaenda kuokoteza utopolo!
Haya mambo mkuu yanashangaza mno...sijui kuna laana gani ndani yake wallah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom