Mohamedi Mtoi
R I P
- Dec 11, 2010
- 3,321
- 6,331
Baada ya mbunge wa Mbeya mjini mheshimiwa Joseph Mbilinyi kumuambia waziri wa habari utamaduni na michezo kuwa ataondoa shilingi kama hatajibu kwa kina ni kwa nini kitabu cha waziri wa habari utamaduni na michezo hakija ongelea chochote kuhusiana na kutekwa, kuong'olewa kucha na macho kwa wandishi wa habari.
Spika akamuambia "Wee sugu, mheshimiwa Mbilinyi, tusianze kutafutana,.. Hatuna muda wa kupoteza hapa". Tuendeleee.
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums.
Spika akamuambia "Wee sugu, mheshimiwa Mbilinyi, tusianze kutafutana,.. Hatuna muda wa kupoteza hapa". Tuendeleee.
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums.