KIHENGE
JF-Expert Member
- Sep 20, 2011
- 339
- 98
Haya ndio maisha bora kwa Maccm
View attachment 94652
imepikwa ikapikika hii duuu!
Haya ndio maisha bora kwa Maccm
View attachment 94652
hivi kabla ya Anna Makinda kuwa mbunge and forth alikuwa anafanya kazi gani?? ama profession yake ni nini hasa??
labda anataka amwongezee mtoto kama aloko nao hawamtoshi na mume ndo hakubaatika kupata
HIVI HANSARD INAREKODI JINA "sugu?"
Mpaka Tyson yupo na mambo yanaendelea kama kawaida.Possible. Itakuwa wamerekodi
Mbona kuna mbunge wa Kilwa anaitwa ----- na maisha yanaendelea?
huyu mama hajitambui kabisaBaada ya mbunge wa Mbeya mjini mheshimiwa Joseph Mbilinyi kumuambia waziri wa habari utamaduni na michezo kuwa ataondoa shilingi kama hatajibu kwa kina ni kwa nini kitabu cha waziri wa habari utamaduni na michezo hakija ongelea chochote kuhusiana na kutekwa, kuong'olewa kucha na macho kwa wandishi wa habari.
Spika akamuambia "Wee sugu, mheshimiwa Mbilinyi, tusianze kutafutana,.. Hatuna muda wa kupoteza hapa". Tuendeleee.
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums.
Duh! Mnaleta UMAMA bungeni? Mtu mwenyewe hana ata mtoto!
Baada ya mbunge wa Mbeya mjini mheshimiwa Joseph Mbilinyi kumuambia waziri wa habari utamaduni na michezo kuwa ataondoa shilingi kama hatajibu kwa kina ni kwa nini kitabu cha waziri wa habari utamaduni na michezo hakija ongelea chochote kuhusiana na kutekwa, kuong'olewa kucha na macho kwa wandishi wa habari.
Spika akamuambia "Wee sugu, mheshimiwa Mbilinyi, tusianze kutafutana,.. Hatuna muda wa kupoteza hapa". Tuendeleee.
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums.
Mtukufu Rais SUGU wa jamhuri ya watu wa Mbeya