Makinda: Weee sugu!!! Tusianze kutafutana!

Makinda: Weee sugu!!! Tusianze kutafutana!

Baada ya mbunge wa Mbeya mjini mheshimiwa Joseph Mbilinyi kumuambia waziri wa habari utamaduni na michezo kuwa ataondoa shilingi kama hatajibu kwa kina ni kwa nini kitabu cha waziri wa habari utamaduni na michezo hakija ongelea chochote kuhusiana na kutekwa, kuong'olewa kucha na macho kwa wandishi wa habari.

Spika akamuambia "Wee sugu, mheshimiwa Mbilinyi, tusianze kutafutana,.. Hatuna muda wa kupoteza hapa". Tuendeleee.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums.

kujidili mambo ya msingi ni kupoteza muda ila kuropoka ndiyooo!! ndo bi kiroboto anaona ni jambo la msingi? Kweli analahana huyu bibi!
 
bi kiroboto ajui shida...baba yake alikuwa mkuu wa nkoa toka hezi za nyerere, bb kiroboto nae ni mbunge toka enzi za nyerere..ana mambo ya kale...thats why kila siku anatuwekea usiku
 
wanamuita sugu....!hata spika analijua hili na atakuwa sugu mpaka kieleweke
 
Aha aha ahaaa!huyu mama lazima atakua mc.h.aw.i na ndo maana aliweza kumng'oa Sitta ktk nafasi yake.huwa nashindwa kuelewa jinsi anavyoliendesha bunge ni kwa kanuni au ni kwa matakwa yake? Wakati mwingine utamsikia ''sitaki cha mwongozo wala utaratibu''sasa huwa anatumia ubabe au kanuni?hivi amewahi kuangalia mikanda ya vikao vyake vya nyuma? Shame on her!
 
Mhe.spika ana hasira sijui aligombana na nani tangia utotoni au kwa sababu hana mt.......?
 
Yani utafikiri mwalimu wa chekechea akicheza na watoto kwenye mabembea.

Mama anakuwa jeuri kama kuku mwenye vifaranga, anajribu kuonyesha motherly figure na kuomba huruma,ili mamabo ya msingi yasifanyike.Kama walimu wa shule msingi au chekechea kweli.
 
M
Baada ya mbunge wa Mbeya mjini mheshimiwa Joseph Mbilinyi kumuambia waziri wa habari utamaduni na michezo kuwa ataondoa shilingi kama hatajibu kwa kina ni kwa nini kitabu cha waziri wa habari utamaduni na michezo hakija ongelea chochote kuhusiana na kutekwa, kuong'olewa kucha na macho kwa wandishi wa habari.

Spika akamuambia "Wee sugu, mheshimiwa Mbilinyi, tusianze kutafutana,.. Hatuna muda wa kupoteza hapa". Tuendeleee.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums.
As ma visionary insight,
She is VIRGIN,
 
hii senetensi inautata kwa sisi kwetu ina maana ya uchawi, huyu mama nahisi yuko kwenye kamati za ufundi za kijadi kwa ajili ya kuumiza au kuua wenzie
 
Kwa nini mnamwita mama?? huyu si mama ni mwanamke asiye na utu. Je, ameolewa na je ana mtoto? ndio sababu kubwa ya kuwa na roho mbaya. Kwanza hana communication skills iwe lugha ya kiswahili, kingereza hata neno moja hajui akienda mataifa ya wenzetu yeye kila kitu anacheka tu. Nilishangaa ameenda UK kurudi tu anasema tuwe na mabunge mawili ukimwuliza kwa nini hajui historia ya GB!!! Namchukia sana
 
Makinda anaonesha ni jinsi gani hakustahili nafasi aliyonayo,mpaka tunaelekea katika uchaguzi huyu mama atakuwa amechangia kwa kaisi kikubwa anguko la CCM
 
Kuna Wabunge wanastahili kuchapwa bakora hasa huyo mvuta bangi
 
hivi kabla ya Anna Makinda kuwa mbunge and forth alikuwa anafanya kazi gani?? ama profession yake ni nini hasa??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom