Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,343
- 33,503
kwani waziri wa habari tangu lini akajibia mambo ya wizara ya mambo ya ndani?kweli swali na wanajeshi unamuuliza waziri wa wanawake jinsia na watoto.Au sugu alikua ameshawaka nini?Mimi kilicho nishangaza ni neno "Tusianze kutafutana", hii maana yake ni nini? Inamaana kuwa huwa kuna kutafutana kwenye kutaka kujua kwa nini waandishi wana ng'olewa kucha, meno na macho?