Makapuku Forum

Ndomana sikui-post kule J_I kule hakuna washauri bali wapondaji nashukuruni jamani

Ndiyo vizuri kumwambia mapema mapungufu yake ili awe bora baadaye
Ni bora ingekuwa kaandika mwaka 1135 kuliko hivyo

Watu wanaokubali kukosolewa na kuyafanyia kazi mapungufu yao mbele ni huwa watu bora pengine kuwazidi hata waliowakosoa
............
 
Ooh sorry! Hii part two sikupata muda wa kuihariri. Naona Shedede ameamua kuishusha bila input yangu and sadly makosa yale yale ambayo niliyakemea katika sehemu ya kwanza yamejirudia tena katika part two.

Please ignore hiyo comment yangu ya juu
️. Sihusiki na hii part two...
 


Mdau, kuna jambo moja la msingi ambalo sisi tunalimiss sana. Kuweka kumbukumbu (documentation). Ni wachache sana ambao kwanza tu huwa wana tabia ya kuweka kumbukumbu.

Hakyanani kuna matukio mazuri tu hapa nchini tena yametokea miaka ya 1980 lakini ukiyasaka huyaoni hata kidogo maana hayajatunzwa kwa kila mmoja ayaone.

Fikiria sasa haijulikani mbunifu wa nembo/ngao ya taifa? Yule aliyepandisha mwenge kileleni kaanza kujulikana juzi juzi tu hapa baada ya watu kupiga kelele. Tuna upuuzi wa kutoweka kumbukumbu na wkijitokeza aina ya watu kama kina Mohd Said basi tunawavika label, yes, wanakusanya wanachodhani ni chao, lakini sisi kama jamii tunafanya nini?

Ajali inatokea, watu wanakufa. Hebu jiulize, sikusoma (ninaruhusu kukosolewa) hata sehemu moja ambapo majina ya watoto waliofariki kwenye ajali ya gari kule Arusha walitajwa kwa majina? Unawezaje kuweka kumbukumbu kama hutaji jina na tukio?

Au huwa yanawekwa sehemu ambayo wengine hatuna access. Ni hayo tu
 
Habar yako ??
Editor:SHUMBA YA BUYENSE
 

Pamoja sana mdau
.......
 
Shedede unaniangusha. Kama editor wako ulipaswa kunitonya kuwa sehemu ya pili iko tayari.

Cha kusikitisha zaidi ni kwamba bado unarudia makosa yale yale ambayo nilikuandikia kwa kina katika sehemu ya kwanza na kukuomba sana kuwa usiyarudie tena. Miami7i Beech ni nini? Sikulizungumzia suala hili? Vipi kuhusu common nouns pamoja na titles kuwa ni lazima zianze kwa herufi kubwa? Vipi kuhusu kuepuka misentesi mirefu yenye korogesheni na kuzingatia alama za uandishi. Tazama kwa mfano sentensi ya mwisho ambayo kimsingi ni aya nzima

"Ndani ya miaka kumi paradise nevada ilikuwa ndo nchi pekee yenye mabavu ya dunia nzima kifupi ilikuwa ikitawala kwakila kitu miongo ikaenda mpaka sasa ndo nchi pekee yenye kupewa kipaumbele zaidi ndani ya bara la America kwaiyo majeshi au wazamizi wakipanga kuiangamiza dunia lazima waanze na taifa kubwa kama America"

Ni nini hichi
️? Aya yenye sentensi moja? nevada?

Kaa utulie. Andika kwa kituo. May be kwa vile ni makapuku basi hujali sana. Ungekuwa unaipeleka kule kwingine ungeipeleka ikiwa na makosa haya ya wazi? Hakuna kitu kinachopoteza credibility ya mwandishi kama makosa ambayo hata mtoto wa darasa la tatu anayakwepa. Maadam umeamua kuandika basi please kuwa siriazi.

Nategemea kuona mabadiliko makubwa huko mbele ya safari. Ni afadhali hadithi zichelewe lakini zitoke zikiwa zimekamilika. Blessings!
 
Ajali ya Arusha majina yaliwekwa hadharani
Tatizo hatuna uzalendo
Ipo siku kitajitokeza kibabu tapeli na kusema yeye ndo aliyeshiriki kuwaokoa watu wengi kwa mtumbwi wakati wa ajali ya MV Bukoba au alimfundisha Nyerere na hakuna atakayembishia maana matukio muhimu hayakutunzwa

......
 
Too late. I am mad as hell !
 


Part 1 niliisoma na ilikuwa vizuri nadhani uhariri uliifanya isiwe na makosa mengi. Ila hii , kuna watu huwa tunajifunza kuhoji hata hisia 😀😀😀😀😀😵
 
Oral tradition bado ndiyo njia yetu kuu nadhani. Ukijumlisha na umbea wetu huu basi ni kazi kweli kweli. Na kwa taifa la watu wasiopenda hata kusoma vitabu hili halishangazi. Kama sikosei kuna idara kabisa inayopaswa kujishughulisha na mambo haya japo haitashangaza kama haijafanya lolote haijalishi hata kama ina bajeti ya mamilioni kila mwaka. Hata viongozi huwa nawashangaa. Kuinyoosha nchi kama hii unaanzia wapi kwanza?
 
Paragraph nimekuelewa mkuu next time ni improvement story lazima ipite kwako mkuu blessings
 
 
Too late. I am mad as hell !
Anatakiwa yeye mwenyewe aifanye kazi yake kwa mapenzi na moyo km Mussolini na One kwenye segment zao
Kitu cha kwanza kabisa ili ufanikiwe ni lazima ukipende kile unachokifanya
.
.
Ukichunguza hata kwenye historia anazoleta Dikteta huwa simwekei tu picha ilimradi bali nahahakikisha zina ubora/mvuto au kuakisi maudhui na hata zinazoongeza kujifunza
Tukutane kesho
........
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…