Makapuku Forum

Ngoja waje
 
Mama humjaliii mwanao kumbe

Babu na mjomba wake walifariki siku moja
Yaani nimejisikia vibaya sana sikujua,nina wagonjwa mmoja alikua serious,hata sikuwa nafuatilia hapa,pia ndiyo hivyo mambo ya fake id hata sijui kwakwenda kumuona sipo nnyi kimwili nipo nanyi kiroho nawaombea faraja.nampenda sana mwanangu sema mambo yalinizidi poleni sana
 
Pole mama mchungaji umeongea kwa huruma kweli,kikubwa tumuombee Mungu awe faraja kwake ktk kpnd hki kigumu anachoptia
 
4/Barbara & Adam Stratznann
Ni wanandoa wa Kijerumani wa karne ya 15
Walijaaliwa watoto 53
Wakiume 38 na wakike 11(sijakosea kujumlisha)
Walipata mapacha Wa kawaida mara 4
Walipata mapacha watatu(triples) mara 5
Watoto wao wanne walikuwa na jinsia mbili
.......
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…