Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,230
- 68,262
Ngoja wajeWakuu..
Naleta ombi kwenu..
Nilikuwa nataka nimpe mtu jukumu la NUKUU YA LEO.
Nilichukua hii segment from April, lakini nahisi nashindwa kuifanyia kazi ..nashindwa kudeliver hiki kitu kwa members hapa kutokana na Ratiba zangu kubadilika kidogo na ndio sababu haka kuingia humu nasua sua kidogo..
Ile segment ni nzuri sana, sikupenda tuikose kwa kweli..
So natoa nafasi kwa member ambaye anaweza kunisaidia aendelee nayo...siku akiwa yuko tight maybe i can take over for sometimes again..
Ni wazo tuu lakini .
Yaani nimejisikia vibaya sana sikujua,nina wagonjwa mmoja alikua serious,hata sikuwa nafuatilia hapa,pia ndiyo hivyo mambo ya fake id hata sijui kwakwenda kumuona sipo nnyi kimwili nipo nanyi kiroho nawaombea faraja.nampenda sana mwanangu sema mambo yalinizidi poleni sanaMama humjaliii mwanao kumbe
Babu na mjomba wake walifariki siku moja
Hahaaa! Mnachanganya hapi sasa..
Ama tufanye kubadilishana..
Nimechukue Tumosa ili we T wa T
Na Shululu amchukue Sakayo ili iwe S wa S
Yaaani
T wa T na T wa T
S wa S na S wa S
Ctaki Shululu wanguSoma comment yangu juu hapo..
Tunabadilishana mama ...
Nakutaka sasa...hapana sakayo wa T na Shululu wa T ndo nzuri
Naanza kukupiga soound ujueCtaki Shululu wangu
Pole mama mchungaji umeongea kwa huruma kweli,kikubwa tumuombee Mungu awe faraja kwake ktk kpnd hki kigumu anachoptiaYaani nimejisikia vibaya sana sikujua,nina wagonjwa mmoja alikua serious,hata sikuwa nafuatilia hapa,pia ndiyo hivyo mambo ya fake id hata sijui kwakwenda kumuona sipo nnyi kimwili nipo nanyi kiroho nawaombea faraja.nampenda sana mwanangu sema mambo yalinizidi poleni sana
Pole mamaHakika
Zikija zitafika? Ha ha ha ha haSawa mkuu zitafika make kesho hope ntakuwa nae msibani kumaliza matanga
Ila rambirambi hujatuma
Ifunda ha ha ha ha ha haNjombe Mavande,ila Ipogolo hapo kuna familia yangu
Afadhali yaishe.......manake alphabetically ST.Me cgomban na mke mweee Sakayonakuachia T yko me Tumosa wa Shululu
Transcend mambo ya group sex si katika utamaduni wa kiafrika ha ha ha ha ha ha ha haHahaaa! Mnachanganya hapi sasa..
Ama tufanye kubadilishana..
Nimechukue Tumosa ili we T wa T
Na Shululu amchukue Sakayo ili iwe S wa S
Yaaani
T wa T na T wa T
S wa S na S wa S
Shululu kuja hapa haraka..... Unataka kutiwa changa la macho.Soma comment yangu juu hapo..
Tunabadilishana mama ...
Huu uchochezi kutaka kumtia pressure Shululu wnguShululu kuja hapa haraka..... Unataka kutiwa changa la macho.
Sakayoooooooo...... Kuja hapa.... Jogoo lako linafukuza mitetea ya watu.Nakutaka sasa...
Sakayoooooooo...... Kuja hapa.... Jogoo lako linafukuza mitetea ya watu.