Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,228
- 68,246
Villa ndo ameshinda mara nyingi zaidi.Siku hizi wote wamejichokea
Labda wakapambane huko mchangani![]()
Aston Villa anaonekana ndo kidume
......
Villa ndo ameshinda mara nyingi zaidi.Siku hizi wote wamejichokea
Labda wakapambane huko mchangani![]()
Aston Villa anaonekana ndo kidume
......
Sijui itaangukia kwa nanina sasa kama jukwaa tunaitafuta 200K
Ileje,Vwawa na TundumaHapa mjini hatutaki mvua mvua ianatakiwa inyeshe mbalali rungwe usokelo kyela ndo sehemu zenye mazao hapa mjini tunalima lami
Setting tu
Siku nyingi sana aiseeMechi 10 za Wapinzani wa JADI katika soka la Uingereza ( Football Derbies )
10. Aston Villa Vs Birmingham City ( Second city derby Au Birmingham Derby )
Mechi hii uhusisha timu za Mji wa Birmingham ( Mji wa pili kwa Ukubwa nchini Uingereza baada ya London ).
Timu hizi za Aston Villa na Birmingham city huwa zina upinzani wa hali ya juu.
Mechi ya kwanza ya Derby hii ilipigwa mwaka 1879.
![]()
![]()
![]()
Aisee, mambo niaje tetramelyzNitaifanyia kazi hii
Kwema tetramelyz, vip leo umeachiwa mapemaMpenda dona![]()
Kwemaa!?
Usianze kunusanusa km unga
Utakuwa teja
.....
aisee nimecheka kwa nguvu mpaka watu wameshangaaAisee noma sanaKuna Mali hazikuteketea japo maduka yaliteketea
Nitaweka ya kitaa zaidiAcheni hizo bhana
Masignature yanarefusha post tu
Pia kuweka ya kidini unawakwaza watu
Siyo wote ni Wakristo wala wanaamini uwepo wa Mungu
Sasa ukijibu mtu na signature si utamboa
Mids siyo wajinga labda watu walireport
....
Hapo unawasalimia akina mwasakasukaHahaha ugonile
Labda utakuwa weweSijui itaangukia kwa nani
Mashabiki pekee ndio hawashangilii pande mbili. Undava undava tu7. Sheffield United Vs Sheffield Wednesday ( Steel City Derby )
Inajulikana pia kama Sheffield Derby inazikutanisha timu hizi zinazotoka sehemu ya Sheffield. Mechi hii inajulikana pia kama mechi ya ukarimu, mechi ya marafiki kwani kuna idadi kubwa sana ya wachezaji na makocha waliowahi kufanya kazi katika timu zote mbili. Japo kuna muda mechi huwa na utata na rabsha za hapa na pale.
![]()
![]()
![]()
Hatari sanaAisee noma sana
Vwawa ni mjini pale na tunduma mvua ikinyesha shughuli za watu zinalala ila ileje ni sahihiIleje,Vwawa na Tunduma
Mi nakaa kwa mama mndali ila hapo kwa mama john huwa napita

Mkuu acha ubishiNitaweka ya kitaa zaidi