Makapuku Forum

Kilimo cha kwenye makaratasi kinalipa ila cha shambani maumivu
Siyo kwamba hakilipi
Kinanufaisha wafanyabiashara wakubwa na walanguzi wa mazao
Mfano wanaenda vijijini huko Kyela wanasomba cocoa au mpunga kwa bei chee kisha wanaenda kuviuzia viwanda kwa bei ya juu na hata kusafirisha nje ya nchi
Mkulima wa kijijini anabaki tu kuneemesha wafanyabiashara wakubwa
. ......
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…