[QUOTE="shedede, post: 21340548, member: 376016
Je ni kiumbe gani hicho???[/QUOTE]
.
.
.
.
Bonge la story
Ungepost kule ubgeshapewa mipasho "huwezi kushindana na Fulani"
Nitaifuatilia mwanzo mwisho
.......
Hata hii leo ukiendesha gari dogo wanakucheka eti unaendesha gari la like{babywalker) lakini wao hawana uwezo wa kununua hata tairi moja
Nchi zilizoendelea wanaheshimu magari mdogo maana yanasaveparking space
.......
Siyo kwamba hakilipi
Kinanufaisha wafanyabiashara wakubwa na walanguzi wa mazao
Mfano wanaenda vijijini huko Kyela wanasomba cocoa au mpunga kwa bei chee kisha wanaenda kuviuzia viwanda kwa bei ya juu na hata kusafirisha nje ya nchi
Mkulima wa kijijini anabaki tu kuneemesha wafanyabiashara wakubwa
. ......