Makapuku Forum

Wamebebwa au mbao walitingwa
 
Mimi pia ningependa kuandika makala kule Jamii Intellligence ila siku hizi kumeibuka kasumba fulani hivi kule jukwaani watu wanaleta ushabiki kama Team Kina na Diamond....kila atakayeanzisha makala anaambiwa "huwezi kushindana na Fulani..oooh mwachie fulani ndo anayejua"
Matokeo yake wengiwanaamua kuacha au kutoandika makala na Jukwaa kukosa msisimko

.....

.
 
Asante sana kwa uhariri

Tunaisubiria kwa hamu kubwa
 
Andika tu
Uzi ukiwa na mashiko utatembea tu
Hao wanaojifanya kutoa kasoro wachukukie kama changamoto tu
 
Mtuwekeee humu kule tuwaachiee wao
 
Andika tu
Uzi ukiwa na mashiko utatembea tu
Hao wanaojifanya kutoa kasoro wachukukie kama changamoto tu
Nishausoma upepo na kuamua kukausha
Uzi hauwezi kutembea jukwaa lile zaidi zitajaa comment za mipasho tu
Hata Dikteta alishaweka nondo kule japo siyo makala
Watu kibao wanaandika makala nzuri kule uzi hautembei wala kuchangiwa
MJUKUU WA CHIFU mwenyewe naona keshaanza kupotea kule Alikuwa ana post thread za mambo mbalimbali mazuri tu anaishia kuambulia page 1 tu
Ila siku akakopi bandiko la mtu kutoka WhatsApp uzi ulisogea kinoma kwa kupondwa na matisi

.....
 
Mimi mwenyewe nimeacha hata kupita huko
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…