shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Man 6huyoUtakuwa shabiki wa asenane wewe
Man 6huyoUtakuwa shabiki wa asenane wewe
Habari ndio hiyoKwahiyo kinachomatter ni hela tu![]()
Haaaaahaaaa aiseeFungu la 10 linafikaje kule angani
Labda nitoe fungu la 90
![]()
![]()
![]()
......
Ni kweliAhaaa
Sasa ye alitakiwa asikate tamaa
Imgn kama makapuku forum tungekata tamaa huu uzi usingefika hapa ulipo leo hii
Nipo mkuu njema za huko ulikoUpogo? Habari ya jumamosi?
AiseeKwa makanisa mengi ya sasa kinachomatter ni hela tu hakuna kingine....
Mimi OT kama Bitoz, shunie na nyageiUtakuwa shabiki wa asenane wewe
Ndo ivoHata mimi niliona. Kila anayeandika sasa inabidi achekechwe kupitia chekecho la The Bold. Ndiyo wabongo hao lakini. Kukatishana tamaa utafikiri watu wote wanafanana kiuzoefu, kimtazamo na hata kivipaji. Usitegemee encouragement kutoka kwa Mbongo hata siku moja na ukiwasikiliza utakata tamaa. We andika tu. Makapuku tupo tutakupa sapoti ya kutosha. Au iweke huku huku kwetu....
Naye pia ni Manyau Utd,Madrid & YangaJimema!
Mimi ni man u in blood...i feel it from my veins
Nina ndoo 3 msimy huu
Hata mimi niliona. Kila anayeandika sasa inabidi achekechwe kupitia chekecho la The Bold. Ndiyo wabongo hao lakini. Kukatishana tamaa utafikiri watu wote wanafanana kiuzoefu, kimtazamo na hata kivipaji. Usitegemee encouragement kutoka kwa Mbongo hata siku moja na ukiwasikiliza utakata tamaa. We andika tu. Makapuku tupo tutakupa sapoti ya kutosha. Au iweke huku huku kwetu....
Ahaaa
Sasa ye alitakiwa asikate tamaa
Imgn kama makapuku forum tungekata tamaa huu uzi usingefika hapa ulipo leo hii
AhaaaaaaaaaaaaahaLeo nakula beeeertuuu
![]()
![]()
Arsenal imechukua FA Cup X 13
Manchester United 12
Tottenham Hotspurs 8
Liverpool & Chelsea 7
........
Mimi nasema simoHili kombe watacheza UEFA?
Naliona kama kombe la nzengo tu