Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Sijajua badoItawekwa wapiii??
Sijajua badoItawekwa wapiii??
Asante AsanteHongereni ArsayNO fans wote![]()
Now Chelsea ana kombe 1
Man Utd ....................2{achana na ngao)
ArsayNO .............1
Kila mtu kajibebea
......
Mjukuu simjuiNishausoma upepo na kuamua kukausha
Uzi hauwezi kutembea jukwaa lile zaidi zitajaa comment za mipasho tu
Hata Dikteta alishaweka nondo kule japo siyo makala
Watu kibao wanaandika makala nzuri kule uzi hautembei wala kuchangiwa
MJUKUU WA CHIFU mwenyewe naona keshaanza kupotea kule Alikuwa ana post thread za mambo mbalimbali mazuri tu anaishia kuambulia page 1 tu
Ila siku akakopi bandiko la mtu uzi ulisogea kinoma kwa kupondwa na matisi
![]()
![]()
![]()
.....
Kamwe usiipachike sifa ya Ubuyenze kwa viumbe vya ajabu ajabu. Kasuku hata akiwa na buyenze atamtisha nani? Na mambo ya ndoa ya Lee wewe yanakuhusuje?wewe bila shaka ni kasuku ya buyenze siyo SHIMBA!!!!!![]()
........
HongereniGunners moja hiyo
Utakuwa shabiki wa asenane weweLeo nakula beeeertuuu
Hata kama unategea ni sawa. Kama unatoa fungu la kumi hata utegee kwenda kanisani mwaka mzima ni sawa tuMimi siyo Muislamu ni mkristo tena nisiye na msimamo mkali yaani mtegea kwenda kanisani
![]()
![]()
![]()
.......



Kamwe usiipachike sifa ya Ubuyenze kwa viumbe vya ajabu ajabu. Kasuku hata akiwa na buyenze atamtisha nani? Na mambo ya ndoa ya Lee wewe yanakuhusuje?
Hata mimi niliona. Kila anayeandika sasa inabidi achekechwe kupitia chekecho la The Bold. Ndiyo wabongo hao lakini. Kukatishana tamaa utafikiri watu wote wanafanana kiuzoefu, kimtazamo na hata kivipaji. Usitegemee encouragement kutoka kwa Mbongo hata siku moja na ukiwasikiliza utakata tamaa. We andika tu. Makapuku tupo tutakupa sapoti ya kutosha. Au iweke huku huku kwetu....Mimi pia ningependa kuandika makala kule Jamii Intellligence ila siku hizi kumeibuka kasumba fulani hivi kule jukwaani watu wanaleta ushabiki kama Team Kina na Diamond....kila atakayeanzisha makala anaambiwa "huwezi kushindana na Fulani..oooh mwachie fulani ndo anayejua"
Matokeo yake wengiwanaamua kuacha au kutoandika makala na Jukwaa kukosa msisimko
.....
.
Ni kipindi ambacho haukuwepoMjukuu simjui
Itakuwa alipost kipindi sipo hewani
Mi nikiwa na uzi wa maudhui ya kule ntaupost tu no matter what
Kwahiyo kinachomatter ni hela tuHata kama unategea ni sawa. Kama unatoa fungu la kumi hata utegee kwenda kanisani mwaka mzima ni sawa tu![]()

Hii nayo itakuwa safiKm muda ukiruhusu au nikiwa na utayari nitakuwa napost humu siku za week end(Jumamosi/pili)
.....
Kwa makanisa mengi ya sasa kinachomatter ni hela tu hakuna kingine....Kwahiyo kinachomatter ni hela tu![]()
Fungu la 10 linafikaje kule anganiHata kama unategea ni sawa. Kama unatoa fungu la kumi hata utegee kwenda kanisani mwaka mzima ni sawa tu![]()
AhaaaNi kipindi ambacho haukuwepo
Mfano
*Watu kumi maarufu waliouawa kwa kupigwa risasi
*Mambo usiyoyajua kuhusu mbwa mwitu n.k
.....
AsanteHongereni