Makapuku Forum

Makapuku Forum

Tena wengine wanahudumiwa mpaka na Rais ila bado wanarudia..
Kiki za kisiasa
Huyu bado yupo hai, ingawa kuna kipindi alikuwa ICU
f60968c565508a2a9a116113c1f75ba6.jpg

Keshafikia level A ya uteja
Kiasi cha kutembea peku mitaani
Unga utamuua tu
.........
 
Edo naye mnafiki
Uzuri ukimtania kwenye page yake wala hapaniki
Nishawahi kukutana naye face to face enzi hizo akiandika makala gazeti la Bingwa pale Sinza ofisi za New Habari Corporation(Mtanzania)
.....
Kuna mda waga namuuelewa huyu rafiki yangu edo ila mda mwingine simuelewiiii ila huwez mlinganisha na dauda ...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom