Makapuku Forum

Makapuku Forum

1967 - Meli kubwa ya kubeba ndege vita ya Marekani yazinduliwa.

Meli hiyo inayojulikana kama USS John Kennedy ilizinduliwa na aliyekuwa Mke wa Rais wa Kennsedy, Jacqueline Kennedy na mwanae Caroline Kennedy.
6d76bff663125afcafa0c35e6aa01848.jpg
ac98efbb8393c340218f1b7c9c3318c1.jpg
ca8edb5a17d956b7099b2c2061d6d798.jpg
Lile limeli letu libovu walilokabidhiwa JWTZ inabidi tuliite Sizonje Ship ili vizazi vijavyo vijionee upuuzi wa Baba Bashite kununua kivuko feki
.....
 
2016 - Rais Barrack Obama wa Marekani anakuwa Rais wa kwanza wa Marekani kutembelea eneo la kumbukumbu la Hiroshima huko Japan ambalo liliathiriwa vibaya na mabomu ya nyuklia wakati wa Vita Kuu ya pili ya Dunia.
3cac00f8d1030e4b791c740c0bf24bf5.jpg
438ed64bdb58ceea9145e8a19efd8f12.jpg

Hao ndio Wamarekani
Makombora walifyatua wao wenyewe na kuteketeza idadi kubwa ya Wajapan kiasi kwamba hadi Mfalme wao alipooza
.
Leo hii wanajifanya wanaikinga Japan na Korea Kusini dhidi ya Korea Kaskazini kisa tu dogo mapanki anamiliki nyuklia
.......
 
1923 - Mwanadiplomasia Henry Kissinger anazaliwa.

Ni Mmarekani mwenye asili ya Ujerumani ambaye amewahi kuhudumu kama Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani.

Anatajwa kama Waziri bora kuwahi kutokea katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani.

Ndiye mtu aliykuwa nyuma ya kumalizika kwa vita ya vietnam na kumfanya apokee tuzo ya nishani ya Nobel.
392733111d130670b5c2a4e3da1896e8.jpg
d6ece0ca2944a722a9b372724bde8ee9.jpg

Ile vita USA alipigwa na kuambulia aibu ila ameamua kufanya tu propaganda kwamba iliisha kidiplomasia
......
 
1967 - Paul Gascoine ' Gazza ' anazaliwa.

Kiungo wa zamani wa Spurs na timu ya taifa ya England.

Alibarikiwa kuwa na kipaji cha hali ya juu, ila utovu wa nidhamu na ulevi uliopindukia uligharimu kipaji chake.
08010d71b360b96fc9d445a6309b4461.jpg
Alikuwa na kipaji kikubwa
Wayne Rooney anaitwa Wazza ikiwa ni kufananishwa na Gazza
c781ea658137e004eedeeac9f04a7326.jpg
Tukio lake la kumwaha chozi uwanjani wakati wa World Cup 1990 huko Italia lilipata umaarufu mkubwa
f655940b9d0157c2b7aed93a8d67b3f0.jpg
Anaishi katika maisha aliyojichagulia mwenyewe km George Best
Wazungu hawaangahiki na watu hata km ni mastaa km hutaki kubadilika wanakuacha ufe na ujinga wako km Amy Wintehouse

Siyo Bongo kina Chid Brnz,Dogo Mfalme,Ray C n.k wanapewa kick za kusaidiwa kila siku na wanarudia ujinga wao na watu wanaendelea kuhangaika nao
Matokeo yake hatuwi na nidhamu na maisha

Stupid
.......
 
08010d71b360b96fc9d445a6309b4461.jpg
Alikuwa na kipaji kikubwa
Wayne Rooney anaitwa Wazza ikiwa ni kufananishwa na Gazza
c781ea658137e004eedeeac9f04a7326.jpg
Tukio lake la kumwaha chozi uwanjani wakati wa World Cup 1990 huko Italia lilipata umaarufu mkubwa
f655940b9d0157c2b7aed93a8d67b3f0.jpg

Siyo Bongo kina Chifd Brnz wanapewa kick za kusaidiwa kila siku na wanarudia ujinga wao na watu wanaendelea kuhangaika nao

Stupid
.......
Tena wengine wanahudumiwa mpaka na Rais ila bado wanarudia..
 
3cac00f8d1030e4b791c740c0bf24bf5.jpg
438ed64bdb58ceea9145e8a19efd8f12.jpg

Hao ndio Wamarekani
Makombora walifyatua wao wenyewe na kuteketeza idadi kubwa ya Wajapan kiasi kwamba hadi Mfalme wao alipooza
.
Leo hii wanajifanya wanaikinga Japan na Korea Kusini dhidi ya Korea Kaskazini kisa tu dogo mapanki anamiliki nyuklia
.......
Maisha bila Unafki hayaendi. - Edo Kumwembe
 
08010d71b360b96fc9d445a6309b4461.jpg
Alikuwa na kipaji kikubwa
Wayne Rooney anaitwa Wazza ikiwa ni kufananishwa na Gazza
c781ea658137e004eedeeac9f04a7326.jpg
Tukio lake la kumwaha chozi uwanjani wakati wa World Cup 1990 huko Italia lilipata umaarufu mkubwa
f655940b9d0157c2b7aed93a8d67b3f0.jpg
Aliishi na kufa katika maisha aloyojichagulia km George Best
Wazungu hawaangahiki na watu hata km ni mastaa km hutaki kubadilika wanakuacha ufe na ujinga wako km Amy Wintehouse

Siyo Bongo kina Chid Brnz,Dogo Mfalme,Ray C n.k wanapewa kick za kusaidiwa kila siku na wanarudia ujinga wao na watu wanaendelea kuhangaika nao

Stupid
.......
Huyu bado yupo hai, ingawa kuna kipindi alikuwa ICU
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom