Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
1967 - Meli kubwa ya kubeba ndege vita ya Marekani yazinduliwa.
Meli hiyo inayojulikana kama USS John Kennedy ilizinduliwa na aliyekuwa Mke wa Rais wa Kennsedy, Jacqueline Kennedy na mwanae Caroline Kennedy.
.....