Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Yule jamaa wa BVB yuko wapi siku hizi?Asante katibu
Yule jamaa wa BVB yuko wapi siku hizi?Asante katibu
Ndio maanaYuko kolomije analima dengu na kulinda shamba lisivamiwe na ng'ombe
Kapoteaa simuoniiiYule jamaa wa BVB yuko wapi siku hizi?
Sina hakikaShimba ya buyenze anajua
Saizi nitakuwa namwita afande alie jiongeza
1987 - Gervinho anazaliwa.
Mchezaji wa zamani wa Arsenal, As Roma na timu ya taifa ya Ivory Coast.
Basi ihalalishwa kama ulaji wa NoahHaina madhara
GANJA FARMER BY MARLON ASHER:
Tupate burudani kidogo kutoka kwa Marlon Asher na hapo basi anakwambia Ganja farmer
[HASHTAG]#LegalizeMarijuana[/HASHTAG]
Shemelaa mweee
Ungenitag mkuuKuna mtu anatumia avatar kama yako
Yes my nameHusna muba shemeki

Kwasbabu wanajua fika kuwa kama wewe mwenyewe hujaamua kutoka moyoni kuacha itakuwa ni kupoteza muda tu na fedha kitu ambacho hawako tayari kukifanyaAlikuwa na kipaji kikubwa![]()
Wayne Rooney anaitwa Wazza ikiwa ni kufananishwa na GazzaTukio lake la kumwaha chozi uwanjani wakati wa World Cup 1990 huko Italia lilipata umaarufu mkubwa
Anaishi katika maisha aliyojichagulia mwenyewe km George Best![]()
Wazungu hawaangahiki na watu hata km ni mastaa km hutaki kubadilika wanakuacha ufe na ujinga wako km Amy Wintehouse
Siyo Bongo kina Chid Brnz,Dogo Mfalme,Ray C n.k wanapewa kick za kusaidiwa kila siku na wanarudia ujinga wao na watu wanaendelea kuhangaika nao
Matokeo yake hatuwi na nidhamu na maisha
Stupid
.......
Legalize canabisHatari sana Ganja farmer
Tunaonewa sana huku Mara wanateketeza Mali za mamilioni ya shilingi, wangekata tu kodi
Jipooze naNaomba usinitoneshe hiki kidonda, maana kinasumbua kupona
Kila zama zina mwisho![]()
![]()
Hao ndio Wamarekani
Makombora walifyatua wao wenyewe na kuteketeza idadi kubwa ya Wajapan kiasi kwamba hadi Mfalme wao alipooza
.
Leo hii wanajifanya wanaikinga Japan na Korea Kusini dhidi ya Korea Kaskazini kisa tu dogo mapanki anamiliki nyuklia
.......
Mbona unachekaa mke mweee