Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Nilimwambia shunie atamtajia majinaHatujambo,hujatutumia picha za nywele tuchague Mndali katupa offer wenzio
Nilimwambia shunie atamtajia majinaHatujambo,hujatutumia picha za nywele tuchague Mndali katupa offer wenzio
Mamaaaaaaaah kwa hiyoo mweeeeh shululu na shunie wanachepukaa ??![]()
mke mwee maana ake mke mwenzangu
Ahaaaaahaaa![]()
![]()
kamckia mkewe anaita hvo na yy kaunga tela
Bossy nakumis ujueeeNawasalimu ninyi nyote
Za mchana aganzaUsihofu nilimwambia anitajie majina yenu iliniwafuate pm
Salama shululu vipi biasharaZa mchana aganza
Mhhhhhhmhhhhh, hujaelewa tu maana yake, soma tenaMamaaaaaaaah kwa hiyoo mweeeeh shululu na shunie wanachepukaa ??
Amesema mke mwenzaa ...mnanitakiaa kesiii nyieeMhhhhhhmhhhhh, hujaelewa tu maana yake, soma tena
Leo naenda kanisaniUsichekeee
Leo ufunge mapema tupite mitaa yetuu
NshasahauuuLeo naenda kanisani
Vipi ile ishu niliyokwambiaNshasahauuu
Haya kumbe tuko tofauti![]()
![]()
![]()
. Mimi ni kazi tu
SafiKinomaaa
Mondray jamboSafi
Mpe hai shunie wangu mwambie nina zawad yake..