Makapuku Forum

1967 - Meli kubwa ya kubeba ndege vita ya Marekani yazinduliwa.

Meli hiyo inayojulikana kama USS John Kennedy ilizinduliwa na aliyekuwa Mke wa Rais wa Kennsedy, Jacqueline Kennedy na mwanae Caroline Kennedy.
Lile limeli letu libovu walilokabidhiwa JWTZ inabidi tuliite Sizonje Ship ili vizazi vijavyo vijionee upuuzi wa Baba Bashite kununua kivuko feki
.....
 
2016 - Rais Barrack Obama wa Marekani anakuwa Rais wa kwanza wa Marekani kutembelea eneo la kumbukumbu la Hiroshima huko Japan ambalo liliathiriwa vibaya na mabomu ya nyuklia wakati wa Vita Kuu ya pili ya Dunia.

Hao ndio Wamarekani
Makombora walifyatua wao wenyewe na kuteketeza idadi kubwa ya Wajapan kiasi kwamba hadi Mfalme wao alipooza
.
Leo hii wanajifanya wanaikinga Japan na Korea Kusini dhidi ya Korea Kaskazini kisa tu dogo mapanki anamiliki nyuklia
.......
 

Ile vita USA alipigwa na kuambulia aibu ila ameamua kufanya tu propaganda kwamba iliisha kidiplomasia
......
 
1967 - Paul Gascoine ' Gazza ' anazaliwa.

Kiungo wa zamani wa Spurs na timu ya taifa ya England.

Alibarikiwa kuwa na kipaji cha hali ya juu, ila utovu wa nidhamu na ulevi uliopindukia uligharimu kipaji chake.
Alikuwa na kipaji kikubwa
Wayne Rooney anaitwa Wazza ikiwa ni kufananishwa na Gazza Tukio lake la kumwaha chozi uwanjani wakati wa World Cup 1990 huko Italia lilipata umaarufu mkubwa Anaishi katika maisha aliyojichagulia mwenyewe km George Best
Wazungu hawaangahiki na watu hata km ni mastaa km hutaki kubadilika wanakuacha ufe na ujinga wako km Amy Wintehouse

Siyo Bongo kina Chid Brnz,Dogo Mfalme,Ray C n.k wanapewa kick za kusaidiwa kila siku na wanarudia ujinga wao na watu wanaendelea kuhangaika nao
Matokeo yake hatuwi na nidhamu na maisha

Stupid
.......
 
Tena wengine wanahudumiwa mpaka na Rais ila bado wanarudia..
 
Maisha bila Unafki hayaendi. - Edo Kumwembe
 
Huyu bado yupo hai, ingawa kuna kipindi alikuwa ICU
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…