Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wakuu hadi kesho nayo siku "upuuzi wa lee" ndo mwisho kwa leo
68de93578216d55cde816252fc42ee89.jpg
Pamoja sana mkuu Lee
 
FurahiDei is Old: Muziki Unatuchekesha

Habari Makapuku, nina imani siku imekwenda vizuri na tunauanza mwanzo wa weekend. Hivi leo ndo siku ya kuvunja jungu eeh au bado?

Maana tunajiandaa na mengi mfungo huu, aidha kwa kukosa au kupata. Yote iwavyo, leo ni ijumaa, furahiday na inabidi tufurahi.

Kwa wapenzi wa muziki na hasa band ambapo unaliskia gitaa kwa uzuri kabisa basi leo tuangalie muziki mchangamfu. Muziki wa kukatika, yaani kunyongorosha kiuno na mapega feni lisingiziwe.

hapa gitaa zinacharazwa kwa umakini utafikiri mwalimu wa nidhamu kashika wiki

naongelea bendi iliyokuwa na fujo miaka ya 90s hapa Africa Mashariki. Nawaongelea Katitu Boys, wana micharazo

Hebu waangalie kwenye clip hii ya YouTube.

Ukimaliza kuwaangalia mimi nitakuwa hapa hapa naangusha moja moja bila kujali nitasema nini baadaye


Imegoma kufunguka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom