Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Poa karibuHabari wadau
Poa karibuHabari wadau
Yupo maleziNyagei ni mtoto hivi
Najtahid hnyUwe unampa matumaini
Poleusiongeee T mambo ya huo uzi umenisababishia matatizo sana
Pamoja sana mkuu LeeWakuu hadi kesho nayo siku "upuuzi wa lee" ndo mwisho kwa leo![]()
Ila umeelewaSiliasi=serious
Anasema yupo kolomije analima denguSema mlinzi mambo?
NishakaribiaPoa karibu
MwepesiCjaelewa shemu naomba unieleweshe![]()
![]()
Hongera kwa 198 KNyagei ni mtoto hivi
Afande shededeShwar mkuu vip
The bookkwema kabisa.
Poa poa bitozLeo hakuna top ten kutokana na kutingwa na ishu maalumu
Tukutane J3
..............
Said katisha
QueenYupo Beach Mabibo tangu saa 11 anapunga upepo na Mwajuma wa Manzese
Ndo nimetoka kuwarushia mawe waondoke
![]()
![]()
![]()
........
ulimpeleka wapi atiObe za jioniHa hahahaha, hii sethali imenifurahisha sana na kiukweli hili hutokea sana yaani kuna wakati unakuwa kama greda, unatengeneza njia nzuri ukidhani nawe utapita lakini ikikamilika huruhusiwi kupita labda kwa kubebwa na unajua kubebwa unakuwa huna cha kuamua.
Kipengele kizuri mjomba.
FurahiDei is Old: Muziki Unatuchekesha
Habari Makapuku, nina imani siku imekwenda vizuri na tunauanza mwanzo wa weekend. Hivi leo ndo siku ya kuvunja jungu eeh au bado?
Maana tunajiandaa na mengi mfungo huu, aidha kwa kukosa au kupata. Yote iwavyo, leo ni ijumaa, furahiday na inabidi tufurahi.
Kwa wapenzi wa muziki na hasa band ambapo unaliskia gitaa kwa uzuri kabisa basi leo tuangalie muziki mchangamfu. Muziki wa kukatika, yaani kunyongorosha kiuno na mapega feni lisingiziwe.
hapa gitaa zinacharazwa kwa umakini utafikiri mwalimu wa nidhamu kashika wiki
naongelea bendi iliyokuwa na fujo miaka ya 90s hapa Africa Mashariki. Nawaongelea Katitu Boys, wana micharazo
Hebu waangalie kwenye clip hii ya YouTube.
Ukimaliza kuwaangalia mimi nitakuwa hapa hapa naangusha moja moja bila kujali nitasema nini baadaye
Mukongo mamboOy!!!Adje.....
.....napita
![]()
![]()
![]()