Makapuku Forum

Makapuku Forum

2/Sarwan Singh
0e87c5de8b6a80f76c8f993a8b5271ec.jpg
f77b1c94262a14f85b24664c20243cc5.jpg
Huyu ni muhindi mwingine ambaye alipimwa midevu yake mwaka 2011 huko Canada na kuweka rekodi ya dunia nikiwa na urefu wa futi 8 na inch 2.5
Mwanzoni vipimo vilifanyika huko Rome ambapo Wataliano walimpunja na kudai zina urefu wa futi 7
Jamaa ni noma hata urefu wa kitanda haufui dafu
.......
Zinalingana na urefu wangu futi 7
 
Muziki Kuelekea Ijumaa

Habari za muda Makapuku waaminifu, yeah, waaminifu maana kila siku tunatia timu humu na hatujawahi kulalamika kuwa kuna kitu tunakosa. Zaidi ni ukweli kwamba ambao hawako humu wanakosa mengi mazuri na hata tukiwapelekea tunafaidika nayo humu (kuanzisha thread kutokana na yaliyojiri humu) bado wa mwanzo ni wa mwanzo tu.

Kuna anayebisha? Huku tunauliza majibu maswali yanapoteza muda.

Tunakutana tena usiku huu huku tukiwa na muda mchache tu kuikaribia 'furahidei'. Kwa makusudi kabisa nakuwish happy almost furahiday Kapuku mwenzangu.

Well, ni wakati wa ka-kipengele ka buruduni ya gitaa katika muziki. Leo tunaangalia muziki wa band, yeah yaani kama mfano wa tancut Almasi enzi zile, bana Beta na nyingine nyingine, sema nini ujue, hii iko wapwa zake malkia LizzyII yaani US of A.
Tunamwangalia mwanadada Samantha Fish na band inaitwa Samantha Fish Band, hawa wanapiga Blues la kisasa sio lile la Chicago la kina Buddy Guy and co. Hapa gitaa na ngoma za umeme zinakung'utwa sawasawa kiasi kwamba inahitaji milo saba na si miatu kama tuliyozoea.

Muziki na upigaji wake wa gitaa umekuwa ukifanana sana na SRV (Nitamleta hapa huyu nguli, na kama unakumbuka wakati nimempandisha BB King alikuwa BB, Buddy, na Stivie Ray Vaughan).

Keshashinda tuzo katika muziki wa Blues huko USA na nyimbo zake kukamata chati kadhaa

Asante kwa Mondray aliyetoa darasa la kulink sasa nina link hii clip ya YouTube umuone mwanadada Samantha Fish akitumbuiza

SN: Nyie ni watu bora kabisa kutumia muda pamoja. LLL

 
1/Hans Nilsen Langseth
c1a3216b723ea1524a996349df5f7c49.jpg
fe8969c59c269b6ef9684183caf0c340.jpg

Huyu mnorway ndo Mfalme wa madevu kuwahi kutokea duniani
Ndevu zake zilipimwa kabla ya mazishi yake mnamo mwaka 1927 na kukutwa na urefu wa futi 17 na inch 6 hadi leo ishapita miaka 90 lakini rekodi yake ipo palepale aliyejitahidi amefikisha futi 8 tu
.........
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho kwenye 10 kubwa ya kufungia wiki
Mwisho
.......
Tunashukuru mkuu ubarikiwe
 
Muziki Kuelekea Ijumaa

Habari za muda Makapuku waaminifu, yeah, waaminifu maana kila siku tunatia timu humu na hatujawahi kulalamika kuwa kuna kitu tunakosa. Zaidi ni ukweli kwamba ambao hawako humu wanakosa mengi mazuri na hata tukiwapelekea tunafaidika nayo humu (kuanzisha thread kutokana na yaliyojiri humu) bado wa mwanzo ni wa mwanzo tu.

Kuna anayebisha? Huku tunauliza majibu maswali yanapoteza muda.

Tunakutana tena usiku huu huku tukiwa na muda mchache tu kuikaribia 'furahidei'. Kwa makusudi kabisa nakuwish happy almost furahiday Kapuku mwenzangu.

Well, ni wakati wa ka-kipengele ka buruduni ya gitaa katika muziki. Leo tunaangalia muziki wa band, yeah yaani kama mfano wa tancut Almasi enzi zile, bana Beta na nyingine nyingine, sema nini ujue, hii iko wapwa zake malkia LizzyII yaani US of A.
Tunamwangalia mwanadada Samantha Fish na band inaitwa Samantha Fish Band, hawa wanapiga Blues la kisasa sio lile la Chicago la kina Buddy Guy and co. Hapa gitaa na ngoma za umeme zinakung'utwa sawasawa kiasi kwamba inahitaji milo saba na si miatu kama tuliyozoea.

Muziki na upigaji wake wa gitaa umekuwa ukifanana sana na SRV (Nitamleta hapa huyu nguli, na kama unakumbuka wakati nimempandisha BB King alikuwa BB, Buddy, na Stivie Ray Vaughan).

Keshashinda tuzo katika muziki wa Blues huko USA na nyimbo zake kukamata chati kadhaa

Asante kwa Mondray aliyetoa darasa la kulink sasa nina link hii clip ya YouTube umuone mwanadada Samantha Fish akitumbuiza

SN: Nyie ni watu bora kabisa kutumia muda pamoja. LLL


Bhinamu ndo maana napanga kukubadilishiaa simatiii foniiii na nikusajilie na tigo ili ujazwe kabisaa

Asante kwa mziki mzuri bhinamuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom