ipogolo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 6,275
- 5,961
Mie najua ni a.k.a Samahani mama yetu!Kheee mchuchu tena jamaan huyu mama yetu mjue tena mukongo ndio mumewe
Mie najua ni a.k.a Samahani mama yetu!Kheee mchuchu tena jamaan huyu mama yetu mjue tena mukongo ndio mumewe
aka ni mama mchuchu huwa namuita hivyo kumfupisha hahhah we umemuita mchuchuMie najua ni a.k.a Samahani mama yetu!
jaman kwan kuna tatizoDuh! Kwanini umeomba iwe hivyo!?
Shunie niombee radhi tafadhali.aka ni mama mchuchu huwa namuita hivyo kumfupisha hahhah we umemuita mchuchu
usijl ipogolo mama mchuchu muelewa sana ataelewa kuwa na amani zoteShunie niombee radhi tafadhali.
Amani haiji bila kutafutwa shunieusijl ipogolo mama mchuchu muelewa sana ataelewa kuwa na amani zote
Tuko poaaJamani mko njema makapuku wenzangu????
Duuuuuuuh
Thanks mkuu
End
......
Mambo bibie.Naendelea vyema mamy
Dawa yako ipo jikoniibasi nipo moja kwa moja
Nimeitafuta amani danjaboy.Amani haiji bila kutafutwa shunie
MkuuAmani haiji bila kutafutwa shunie
mh baby usianze kunivuruga bwanaDawa yako ipo jikonii
Ngumu kuamini aiseeeee4.Shigeaki Hinohara - Huenda daktari mkongwe zaidi anayefanya kazi kutoka Japan
Mkongwe huyu wa miaka 105 wenzake humtambua kama mali ya kitaifa inayoishi Japan
Dr Hinohara anaongoza taasisi tano kando na kuwa rais wa hospitali ya kimataifa ya St. Luke's Tokyo
Na bado huitembelea hospitali hiyo kila siku kuwakagua wagonjwa.
Babake, ni kiongozi wa dini ya kikristu inaarifiwa alimpa ushauri muhimu:
"kuwa na malengo makubwa na uyatimize maishani kwa hikima. Huenda usiyatimize ukiwa hai, lakini usisahau kujaribu, ndipo utaweza kufanikiwa."
Dr Hinohara amechapisha maelfu ya nyaraka ya kitabibu, na ameandika mamia ya vitabu.
View attachment 514341