Makapuku Forum

Makapuku Forum

2/Sarwan Singh
0e87c5de8b6a80f76c8f993a8b5271ec.jpg
f77b1c94262a14f85b24664c20243cc5.jpg
Huyu ni muhindi mwingine ambaye alipimwa midevu yake mwaka 2011 huko Canada na kuweka rekodi ya dunia nikiwa na urefu wa futi 8 na inch 2.5
Mwanzoni vipimo vilifanyika huko Rome ambapo Wataliano walimpunja na kudai zina urefu wa futi 7
Jamaa ni noma hata urefu wa kitanda haufui dafu
.......
 
1/Hans Nilsen Langseth
c1a3216b723ea1524a996349df5f7c49.jpg
fe8969c59c269b6ef9684183caf0c340.jpg

Huyu mnorway ndo Mfalme wa madevu kuwahi kutokea duniani
Ndevu zake zilipimwa kabla ya mazishi yake mnamo mwaka 1927 na kukutwa na urefu wa futi 17 na inch 6 hadi leo ishapita miaka 90 lakini rekodi yake ipo palepale aliyejitahidi amefikisha futi 8 tu
.........
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho kwenye 10 kubwa ya kufungia wiki
Mwisho
.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom