Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
watu wamejaaliwa ndevu5/Michael Legge
Huyu ni Mwingereza ambaye alitumia miaka minne tu kufuga ndevu urefu wa futi 2![]()
Enzi za utotoni/ujanani jamaa alikuwa staa baada ya kushiriki mashindano kibao na kuwagaragaza vibaya sana wapinzani wake waliokuwa na vindevu kiduchu kama vya Sizonje anavyotambia Bongo
Ndiyo bwana madevu mkuu huko kwa Malkia Elizabeth
........
