Makapuku Forum

Somo zuri. Hakika jamaa walijipanga.
 
Nkrumah na Nyerere walishiriki vilivyo uanzishwaji huo pamoja na Marais wengine wa nchi kadhaa km vile Libya,Senegal,Ethiopia,Togo n.k
Nyerere alienda kama rais wa Tanganyika ....Nchi zilizopata uhuru pekee ndo zulikuwa wanachama
.......
Namuona Mobutu Sesseseko kibaraka wa Mataifa makubwa nae alikuwepo.
 
HBD Daniel
 
Ni moja kati ya fainali za kihistoria
Mashabiki mbuzi wa Liverpool waliamua kuzima TV na kwenda kulala wakati wa half time
.......
 
Zama hizi tuna Sergio Ramos jamaa ni bonge la beki mfungaji
John Terry zama zake zishaisha
Garry Cahill anajitahidi
......
 
Muda gani watu mnafanya kazi nawauliza ,mbona muda wote mko humu ? Tufanye kazi tufanye kazi narudia tufanyekazi tena na tena tufanye kazi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…