Hawa ni watoto wa mjini haswaaa9/2010 Credit Lyonnais Paris BurglarsMwaka 2010 wezi waliotikuka walifanikiwa kuvunja na kuona kijanja katika Benki ya Mikopo ya Lyon iliyopo katikati ya jiji la Paris na kuiba viboksi vya kutunzia vito na pesa vyenye thamani ya mamilioni ya Euro pamoja na pesa taslimu.
Walifaniliwa kuingia kupitia mbinu za kijanja na kuvuruga mifump yotee ya ulinzi ma hivyo kuiba kiulaini bila kushtukiwa
Pia mwaka 2011 genge hilo lilifanya kufuru nyingine
Hadi sasa umekosekana ushahidi wa kiwezesha kuwashtaki
........
Hao ni km Wanigeria wanavyosumbua hapa AfrikaAsante kwa kumi kubwa bitoz
Kwa nini matukio mengi ni Ufaransa tu?
Handsome8/Carl Gugasian
Huyu ni kibaka maoni mwenye Shahada ya Uzamili kutoka Chuo Kikuu cha Pennsylvania huko nchini Marekani ambaye akiamua kutumia usomi wake kufanikishia matukio ya kijambazi
Alipohitimu tu akaanza kuiba magari katika casino 8 tofauti na kuyatumia kwenye matukio yake ya kihalifu
Aliprmdelra zaidi kuiba kwenye mabemki na slifika dakika 5 kabla ya benki kufungwa na kutumia dk 3 tu kubeba mpunga na kusepa zake bila kukamatwa
.....
Usnitch6/Derek 'Bertie' Smalls
Huyu alikuwa ni mwizi aliyebobea huko Uingereza katika miaka ya 1960
Kabla ya miaka ya 1970 alikuwa ni mwizi mwenye jina kubwa kwenye mitaa ya jiji la London
Mwezi Februari 1970 aliongoza genge liitwalo Wembley Mob kuvamia na kuiba pesa kiasi cha Pauni 240,000 katika benki ya Barclays kiasi ambacho ni rekodi kwa kipindi hicho
Kisha akapanda treni na kutimkia jijini Paris kusikilizia upepo
Baada ya juahidiwa kupewa kings na mwendesha mashtaka iwapo atakubali kuelezea wizi ulivyofanyika kwaajili ya faida ya Polisi siku zijazo alikubali kurudi na kutoboa siri ambapo genge zims lolipigwa mvua ya miaka 100 jela ila yeue akasamehewa
.......
Mahandsome na watu smart ndo wanaongoza kwa utaprliHandsome
Hata sisi tunakupenda shemela wetuhhaahahh na kweli shemela mnanifurahisha sana nawapenda sana
OKMkuu kabla ofisi haijafungwa kiongozi wa genge aliingia kupitia dirishani akabana humo halafu walivyofunga tu anaingiza wenzake
Km kumbukumbu zangu zipo sawa
.........
Algeria, wacomoro na wamoroco ni wengi sana hukoHao ni km Wanigeria wanavyosumbua hapa Afrika
Usiwaamini akina Arrsene Wenger ni matapelitapeli tu
Pia huko damu za kiarabu zimejaa(wazee wa fujofujo)
......
Alikuwa anasaidia vyombo vya usalama namna wizi walivyofanya, then nao wajipange na namna ya kukabilianaUsnitch
Sasa kwanini akawachoma wenzie
na mm nimeziona mda tu shemelaHata sisi tunakupenda shemela wetu
Nimeona nyayo za Lee
Shukrani sana1/Albert Spaggiari
Huyu kibaka ndo baba lao yaani kibaka kiwango cha SGR
Yeye yupo tofauti na wenzake maana pia ni tapeli aliyekubuhu
Alikuwa ni mpiga picha supastaa hivyo hakuna aliyemtilia mashtaka kana jamaa ni kibaka
Tukio linalokumbukwa ni lile ambao 'alichora ramani' na kuwatafuta watu wa kushirikiana nao na kufanikusha wizi uliotikisa Ufaransa na dunia kwa ujumla
Alifanikisha tukio la kuiba katika Vault ya kuhifadhia Vito huko Ufaransa na kisha kuacha maneno ukutani "Bila silaha,bila vurugu' hii ni sababu walichimba sjimo/handaki chini na kufanikiwa kuingia ndani na kisha kutoboa ukani kwenye vault na kufungua viboksi takribani 400 vyenye thamani ya pesa ya Ufaransa Milioni 60
Siku aliyokamatwa wananchi wa Ufaransa walipigwa butwaa yaani ni km Ifrisa Sultan au Kifesi ashikwe kwenye tukio kubwa la ujambazi]
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
.......
Asante sana kwa muziki mtamuMuziki Hutukutanisha Karibu
Habari za usiku huu makapuku wenzangu, saa yangu inaniambia ni saa tau dakika mbili. Napokea asante kwa wote niliowakumbusha muda.
Imani yangu wengi wetu tumekuwa na siku njema kabisa na yote tuliyofanya yameenda kama ilivyokuwa. Kwa wote yaliyoenda kombo, kesho ni siku nyingine na jua litawaka tena.
Unajisikia vipi pale unapokuwa unatembea njiani na unakutana mtu msiyefahamiana na pale mnapokaribiana kila mmoja anatabasamu, hivyo ndivyo siku yangu ilivyokuwa na nilipoenda kwa mangi kupoza koo nikakutana na mnywaji mwingine na tukajikuta tunaongea mengi sana, ya kufurahisha na sasa nimerudi 'nyumbani' kitambo, anawasalimia.
Nisikuchoshe kwa porojo, nakurudisha katika ka-kipengele ketu ka muziki tukiangalia utamu wa gitaa katika muziki.
Nina hakika kabisa umeshahisi 'taste' zangu katika muziki, yeah, napenda country music na kila aina ya muziki wenye gitaa. na leo tumwangalie mkali wa muziki wa country wa zama hizi za miaka ya 2000, acha wale 'mafaza'. namwongelea Billy Currington. Huyu ni mkali wa country na zaidi anajua kulipiga gitaa kisawasawa na hutochoka kusikiza gitaa lake likirandana na mashairi yake mazuri yenye ladha ya tufaa.
Ana tuzo kadhaa za muziki wa country na keshakuwa 'nominated ' kwa tuzo za grammy na academy.
Hapa tumwangalie katika wimbo wake 'People are Crazy'
Cuzoo huku umeolewa ninina mm nimeziona mda tu shemela
Mimi zaidi binamu.. Nimefurahi kukuona tenaAsante binamumiss youuu
Kivipi mkuu?Haya maelezo yanasadifu ID yako
Mimi piaMimi zaidi binamu.. Nimefurahi kukuona tena
Wanautumia utanashati wao vizuriMahandsome na watu smart ndo wanaongoza kwa utaprli
Waangalie Wakongomani
.....
Naona umeloweakwa nini cuzoo