Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Tabia yake sio nzuriAlikuwa anasaidia vyombo vya usalama namna wizi walivyofanya, then nao wajipange na namna ya kukabiliana
Tabia yake sio nzuriAlikuwa anasaidia vyombo vya usalama namna wizi walivyofanya, then nao wajipange na namna ya kukabiliana
ahahha cuzoo nimeolewa ndio humu shemela shululu njoNaona umelowea![]()
Mbona cuzoo taarifa sijapata mpaka sahiziahahha cuzoo nimeolewa ndio humu shemela shululu njo

hahhaa usishangae sasa cuzoo ndio nakupa taarifaMbona cuzoo taarifa sijapata mpaka sahizi![]()
Ngoja niandae kamatihahhaa usishangae sasa cuzoo ndio nakupa taarifa

Lakini bado sijamjua shemeji

hahaha atakuja tuLakini bado sijamjua shemeji![]()
Shukrani mkuu1/Albert Spaggiari![]()
![]()
Huyu kibaka ndo baba lao yaani kibaka kiwango cha SGR
Yeye yupo tofauti na wenzake maana pia ni tapeli aliyekubuhu
Alikuwa ni mpiga picha supastaa hivyo hakuna aliyemtilia mashtaka kana jamaa ni kibaka
Tukio linalokumbukwa ni lile ambao 'alichora ramani' na kuwatafuta watu wa kushirikiana nao na kufanikusha wizi uliotikisa Ufaransa na dunia kwa ujumla
Alifanikisha tukio la kuiba katika Vault ya kuhifadhia Vito huko Ufaransa na kisha kuacha maneno ukutani "Bila silaha,bila vurugu' hii ni sababu walichimba sjimo/handaki chini na kufanikiwa kuingia ndani na kisha kutoboa ukani kwenye vault na kufungua viboksi takribani 400 vyenye thamani ya pesa ya Ufaransa Milioni 60
Siku aliyokamatwa wananchi wa Ufaransa walipigwa butwaa yaani ni km Ifrisa Sultan au Kifesi ashikwe kwenye tukio kubwa la ujambazi
]![]()
![]()
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
.......
Akuje nimuonehahaha atakuja tu
Binamu haya utakunywa mwenyewe maana wakati yanashuka kwenye koromea nitakuwa navuta hisia ya jina la maji mwishowe nitaishia kurudisha chenji

Hapa ndio mwanzo wa kutembea kwa miguu toka kigogo mpaka mbagala maji matitu![]()
hivi inakuaje lakini unawezaje kutoka bila hela
Basi ishikwe hata mkononiTatizo nafasi ya kuweka hiyo nauli![]()
![]()
Haya ni masafi sana binamu..... Wengi wanayasifia hivyo usife moyo sababu ya jina tuBinamu haya utakunywa mwenyewe maana wakati yanashuka kwenye koromea nitakuwa navuta hisia ya jina la maji mwishowe nitaishia kurudisha chenji![]()
